Ni miaka 15, sasa nimeugua tumbo nawashukuru wanajf kwani hamkunitupa kila nilipokuja kuwaomba ushauri.
Nilizunguka hospitali nyingi hadi Muhimbili lakini ikawa bila-bila!Namshukuru sana dakatri wa 20 kunitibu yeye aliniweka wazi kuwa wakati mwingine mgonjwa anaweza kujitibu mwenyewe hasa kwa kuufuatilia mwili wake Jamani nilipima vipimo vya Bariam meal na Barium enema havikuleta majibu.
Daktari akaanza kunipa dawa za vidonda vya tumbo ambazo hazikusaidia baada ya kupima CT-SCAN,mishipa ya tumbo iligundulika kuwa imetanuka.
Specialist wa matumbo akanijuza kuwa huenda ni minyoo nikaanza kuitafuta na hatimaye nimegundulika nina amiba wengi ambao wamekuwa sugu nimepewa tinidazole kwa siku 10.
Sasa ninawaomba ushauri wa chakula dawa ili niweze kuwamaliza ,amiba hawa kani wamenifanya vibaya ,naomba mnijuze tafadhali .
Karibu kwa mawasiliano
Nilizunguka hospitali nyingi hadi Muhimbili lakini ikawa bila-bila!Namshukuru sana dakatri wa 20 kunitibu yeye aliniweka wazi kuwa wakati mwingine mgonjwa anaweza kujitibu mwenyewe hasa kwa kuufuatilia mwili wake Jamani nilipima vipimo vya Bariam meal na Barium enema havikuleta majibu.
Daktari akaanza kunipa dawa za vidonda vya tumbo ambazo hazikusaidia baada ya kupima CT-SCAN,mishipa ya tumbo iligundulika kuwa imetanuka.
Specialist wa matumbo akanijuza kuwa huenda ni minyoo nikaanza kuitafuta na hatimaye nimegundulika nina amiba wengi ambao wamekuwa sugu nimepewa tinidazole kwa siku 10.
Sasa ninawaomba ushauri wa chakula dawa ili niweze kuwamaliza ,amiba hawa kani wamenifanya vibaya ,naomba mnijuze tafadhali .
Karibu kwa mawasiliano