MBUFYA
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 445
- 68
Mifuko ya jamii nchini ambayo inachangiwa na wafanyakazi imegeuzwa kuwa chanzo cha kulipia miradi ya serikali badala ya kuhifadhi jamii yaani wanachama wake. inasikitisha kuona kuwa, wanachama hawana maamuzi juu ya mifuko hiyo na kulazimishwa kuchukua fedha hizo baada ya kuzeeka. hii ni dalili tosha mifuko hii imefulia na haina pesa za kutosha: