Huyu Shamsha Vua simwelewi hata kidogo.
Miezi michache iliyopita alizungumzia faida za muungano kwa wazanzibar, alihoji wznz kung'ang'ania mafuta a gesi wakati wenzao wameshaanza kuvuna gesi na kusema wznz hawaoni watakuwa wanajinyima?
Pili, suala la mafuta na gesi mbona limeshaondolewa katika mambo ya muungano kitambo? Mansour Himid kabla hajafukuzwa CCM alipeleka mswada BLW na kupitisha haraka haraka hata kama lilikuwa jambo lililogusa muungano.
Hakuna mtu wa bara aliyelalamika, sasa sijui anataka mafuta na gesi ipi iondolewe tena.
Tatu, wakati akisema mafuta na gesi yaondolewe amekiri kuwa kuendesha wizara ya ulinzi inahitaji gharama kubwa.
Kwa uzoefu wake katika wizara hiyo analitambua hilo vema. Sijui anadhani gharama hizo atazibeba nani maana kama unaondoa mafuta na gesi kwanini usiondoe ulinzi na usalama? Nani atalinda mafuta na gesi yako ambayo haimhusu Mtanganyika ?
Vua anadai kuwa kiti katika UN na sarafu vinahitaji gharama kubwa. Kwani kwa sasa nani analipia gharama hizo? Mbona anakwenda kinyume na madai ya wznz kuhusu kugawana nafasi za ubalozi sawa?!!Kwanini wznz waombe nafasi sawa za ubalozi wakati hawajui nani analipa gharama za nafasi hizo? Hata mama Fatma Karume kalalamika sana kuhusu mabalozi kuwa 3 kati ya 30!!
Shamsi angeenda kwa mama Fatma amuulize gharama za ubalozi zinalipwa na nani?
Jasusi JokaKuu Mchambuzi FJM
Sasa kama Tanganyika haipo, wazanzibar wanalalalmika kunyonywa na nani? Wazanzibar wanasema mkoloni wa bara, ni yupi huyo?kwa akili yako kwani hizo harama zinalipwa na nani? Kama sio serekali ya muungano fahamu tanganyika haiwezi kutoa gharama yeyote kwani haipo
Hapana hawajalazimisshwa. Wanakuja katika bunge Dodoma wenyewe tena wanachukua na pesa 'haramu' za mkoloni Tanganyika.Ukiaangalia kwa makini kabisa utaona miaka yote waznz wamekuwa waking'anga'nia kujitenga wakati sisi tunawalazimisha kuwa nao, swali; kuna nini hasa watanganyika wanachong'ang'ania znz?
Huyu Shamsha Vua simwelewi hata kidogo.
Miezi michache iliyopita alizungumzia faida za muungano kwa wazanzibar, alihoji wznz kung'ang'ania mafuta a gesi wakati wenzao wameshaanza kuvuna gesi na kusema wznz hawaoni watakuwa wanajinyima?
Pili, suala la mafuta na gesi mbona limeshaondolewa katika mambo ya muungano kitambo? Mansour Himid kabla hajafukuzwa CCM alipeleka mswada BLW na kupitisha haraka haraka hata kama lilikuwa jambo lililogusa muungano.
Hakuna mtu wa bara aliyelalamika, sasa sijui anataka mafuta na gesi ipi iondolewe tena.
Tatu, wakati akisema mafuta na gesi yaondolewe amekiri kuwa kuendesha wizara ya ulinzi inahitaji gharama kubwa.
Kwa uzoefu wake katika wizara hiyo analitambua hilo vema. Sijui anadhani gharama hizo atazibeba nani maana kama unaondoa mafuta na gesi kwanini usiondoe ulinzi na usalama? Nani atalinda mafuta na gesi yako ambayo haimhusu Mtanganyika ?
Vua anadai kuwa kiti katika UN na sarafu vinahitaji gharama kubwa. Kwani kwa sasa nani analipia gharama hizo? Mbona anakwenda kinyume na madai ya wznz kuhusu kugawana nafasi za ubalozi sawa?!!Kwanini wznz waombe nafasi sawa za ubalozi wakati hawajui nani analipa gharama za nafasi hizo? Hata mama Fatma Karume kalalamika sana kuhusu mabalozi kuwa 3 kati ya 30!!
Shamsi angeenda kwa mama Fatma amuulize gharama za ubalozi zinalipwa na nani?
Jasusi JokaKuu Mchambuzi FJM
Huwezi kuwa na mamlaka kamili halafu usiwe nayo wakati huo huo kuhusiana na kitu hicho hicho! Ni sawasawa na kutaka kuwa uko kwenye ndoa na uwe single at the same time... u can't.
Huwezi kuwa na mamlaka kamili halafu usiwe nayo wakati huo huo kuhusiana na kitu hicho hicho! Ni sawasawa na kutaka kuwa uko kwenye ndoa na uwe single at the same time... u can't.
Ukisikia umburula, uzezeta ndo huu, kuwaza vyama, watu wanaongelea ishu za kitaifa wewe unakurupuka na CHADEMA na Mbowe, think big!Hili ni dongo la wazi kwa Mbowe wa chadema. Lilian vs Joisi.
Mdebwedo huyo aende zake akale ulojo.....
Nilishasema siku nyimngi, hawa jamaa wanasumbuliwa na ubinafsi, wao chao ni chao ila chetu pia chao. Kelele ni pale wanapondolewa kwenye uongozi, hususani kwenye serikali Muungano ambako kama watu binafsi hunufaika zaidi.
Hata huyo Seif, siku akiukwaa Urais Zanzibar hamtasikia tena kelele za mamlaka kamili kwani atakuwa kaukwaa utukufu anaouota siku zote, hata leo hii Maalim Seif wa kabla ya serikali ya umoja ni tofauti sana na huyu wa leo.
Sasa huyo dogo wa Mwera, Nahodha, atabwabwaja saaana!!!
Friday, December 27, 2013
Waziri Mstaafu wa Ulinzi na Jeshi la kujenga taifa, Mhe Shamsi Vuai Nahodha alipokuwa akizungumza na WanaCCM kwenye jengo la Makao Makuu ya CCM Mkoa wa Mjini Magharibi Amani jana.
Mwakilishi wa jimbo la Mwanakwerekwe Shamsi Vuai Nahodha amesena anaungana na kundi la wazanzibar wanaotaka Zanzibar kuwa na mamlaka kamili ndani ya katiba ijayo ya jamhuri ya muungano Tanzania.
Akizungumza na wanachama na viongozi katika ofisi za CCM mkoa wa mjini kichama amesema katika baadhi ya maeneo ya kuendesha nchi suala la mamlaka kamili ni muhimu kuimarisha uchumi wa Zanzibar.
Nahodha aliewahi kuwa waziri wa mambo ya ndani na waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga taifa amedai yeye ni mtetezi wa suala la mafuta na gesi liondolewe kwenye muungano.
Hata hivyo amesema anashangazwa na baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa wanaodai sarafu ya Zanzibar, kiti cha umoja wa mataifa na wizara ya ulinzi akidai masuala hayo yanahitaji gharama kubwa za uendeshaji.
Aidha Nahodha amesema wakati Zanzibar ikiendelea kuadhimisha miaka 50 ya Mapinduziu Zanzibar muungano utaendelea kubaki uti wa mgongo wa maendeleo ya ulinzi na usalama wake.
Amesema licha ya mfumbo wa muungano wa serikali mbili kujaa matatizo, lakini njia ya kuyapatia ufumbuzi ziko huru badala ya kun'gan'gania muungano wa mkataba au serikali tatu akidai haiku salama na Zanzibar
Chanzo: Zanzibar Islamic news blog
Friday, December 27, 2013
Waziri Mstaafu wa Ulinzi na Jeshi la kujenga taifa, Mhe Shamsi Vuai Nahodha alipokuwa akizungumza na WanaCCM kwenye jengo la Makao Makuu ya CCM Mkoa wa Mjini Magharibi Amani jana.
Mwakilishi wa jimbo la Mwanakwerekwe Shamsi Vuai Nahodha amesena anaungana na kundi la wazanzibar wanaotaka Zanzibar kuwa na mamlaka kamili ndani ya katiba ijayo ya jamhuri ya muungano Tanzania.
Akizungumza na wanachama na viongozi katika ofisi za CCM mkoa wa mjini kichama amesema katika baadhi ya maeneo ya kuendesha nchi suala la mamlaka kamili ni muhimu kuimarisha uchumi wa Zanzibar.
Nahodha aliewahi kuwa waziri wa mambo ya ndani na waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga taifa amedai yeye ni mtetezi wa suala la mafuta na gesi liondolewe kwenye muungano.
Hata hivyo amesema anashangazwa na baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa wanaodai sarafu ya Zanzibar, kiti cha umoja wa mataifa na wizara ya ulinzi akidai masuala hayo yanahitaji gharama kubwa za uendeshaji.
Aidha Nahodha amesema wakati Zanzibar ikiendelea kuadhimisha miaka 50 ya Mapinduziu Zanzibar muungano utaendelea kubaki uti wa mgongo wa maendeleo ya ulinzi na usalama wake.
Amesema licha ya mfumbo wa muungano wa serikali mbili kujaa matatizo, lakini njia ya kuyapatia ufumbuzi ziko huru badala ya kun'gan'gania muungano wa mkataba au serikali tatu akidai haiku salama na Zanzibar
Chanzo: Zanzibar Islamic news blog
Hili ni dongo la wazi kwa Mbowe wa chadema. Lilian vs Joisi.