Baada ya kutoswa kama Msemaji wa Yanga FC hatimaye Jerry Muro kauwasha moto na kuikashifu mno Yanga

Asante sana kumkumbusha hili. Ni mwezi huu huu wa July alituandikia kuwa yeye ni Simba na Pawasa ni mshikaji wake Sana. Kila akionana nae huwa anamwambia waliondoka na simba yao.

Sent using Jamii Forums mobile app

Achana na mambo ya Simba SC na Pawassa Mkuu ila Wewe amini kuwa Mimi ni mwenzako mwana Yanga FC na hata sasa hivi haya maisha magumu ya Klabu inayopitia tunaumia wote. Hakuna Timu nisiyoipenda kama ya Simba SC na natamani mno kuwa katika hiyo Mechi yetu na wao ya Ngao ya Jamii tuwafunge ila kila nikiiangalia hii Njaa tuliyonayo Yanga FC huku tukisajili kwa Mkopo na Mali Kauli hakina naziona goli saba ( 7 ) a.k.a Week zinakuja. Hivi Ewe mwana Yanga FC mwenzangu huogopi ule Usajili wa ' hatari ' wa Watani zetu Simba SC?
 
Shabiki na mwanachama wa Yanga hawezi kuandika huu uharo, wewe ni mbumbumbu fc, maandamano fc, FIFA fc, matope fc, viti maalum fc mengne ongezea mwenyewe.....

Sent using Jamii Forums mobile app

Ewe mwana Yanga FC mwenzangu mbona ' unanitukana ' hivi? Nimekukosea nini? Sasa hivi Sisi wana Yanga FC tunatakiwa tuwe na mshikamano na tusigombane kwani kugombana Kwetu ndiyo ' dhahama ' ya kuja Kufungwa hata goli saba ( 7 ) na Simba SC mwezi ujao. Nakuomba sana mwana Yanga mwenzangu hebu tuunganishe nguvu tuweze kuitafutia Timu yetu mahala ambapo watafanyia mazoezi na pia tupate Pesa za kuwalipa akina Kamusoko, Ngoma na yule Kipa Mkameruni kwani kiukweli tumewakopa na wengine kuwasajili kwa Mali Kauli.
 
Shabiki na mwanachama wa Yanga hawezi kuandika huu uharo, wewe ni mbumbumbu fc, maandamano fc, FIFA fc, matope fc, viti maalum fc mengne ongezea mwenyewe.....

Sent using Jamii Forums mobile app

Ewe mwana Yanga FC mwenzangu mbona ' unanitukana ' hivi? Nimekukosea nini? Sasa hivi Sisi wana Yanga FC tunatakiwa tuwe na mshikamano na tusigombane kwani kugombana Kwetu ndiyo ' dhahama ' ya kuja Kufungwa hata goli saba ( 7 ) na Simba SC mwezi ujao. Nakuomba sana mwana Yanga mwenzangu hebu tuunganishe nguvu tuweze kuitafutia Timu yetu mahala ambapo watafanyia mazoezi na pia tupate Pesa za kuwalipa akina Kamusoko, Ngoma na yule Kipa Mkameruni kwani kiukweli tumewakopa na wengine kuwasajili kwa Mali Kauli.
 
Katika kuonyesha kuwa hakufurahishwa ' totally ' na ' kufurumushwa ' Kwake katika Cheo chake alichojitungia mwenyewe cha Ukurugenzi wa Habari na Mawasiliano ( ambacho hata katika Katiba ya Yanga hakipo ) na ambacho sasa amepewa Ndugu Dismas Ten atayakekuwa akisaidiwa na Godlisten Anderson ' Chicharito ' aliyekuwa mpayukaji maarufu wa Klabu ya Yanga Ndugu Jerry Muro wakati akihojiwa na Waandishi wa Habari ambapo sehemu ndogo ya hayo mahojiano yake yanapatikana katika Mtandao wa Azam Media aliweza kuyasema haya yafuatayo ambayo sitayaongeza wala kuyapunguza...
  1. " Yanga ndiyo ilinihitaji na sikuihitaji Yanga "
  2. " Nimeenda Yanga nikiwa Tajiri tayari hivyo sikuenda pale kwa ajili ya Njaa "
  3. " Yanga inaongozwa na Viongozi Wezi na ina mashabiki Wapuuzi na Wanafiki sana "
  4. " Nimeibadilisha Yanga kutoka kuwa Timu ya Kishamba na kuwa Timu ya Kisasa "
  5. " Yanga inaibiwa na Manji alikuwa anaogopa kuwakemea kwakuwa alikuwa anajua wanakula nae wote na kwamba angewakemea basi hao hao Wezi wasingemrudisha tena Madarakani "
  6. " Mimi nimesoma na nina Elimu kubwa hivyo kuendelea kubaki katika Timu ya Wapuuzi ni kujivunjia tu Heshima yangu hasa kwa wale wanaojua uwezo wangu uliotukuka "
  7. " Hata huyo aliyenirithi asitegemee kulipwa Mshahara kwa wakati na najua atakimbia mwenyewe kwani Mimi nilikuwa sipati taabu ya Mshahara kwakuwa nimesoma sana halafu nje ya Yanga nilikuwa nafanya Kazi zangu binafsi ambapo nina Mabasi na Madaladala lakini pia nina Mke mzuri na Familia nzuri hivyo walichokifanya Yanga Kwangu ni kama tu kumpiga teke Chura "
Haya wana Yanga FC ' wenzangu ' tuliomo humu JF aliyekuwa Msemaji wetu Jerry Cornelius Muro ndiyo katuwashia hivyo moto na hizo Kashfa je hayo aliyotuambia ni ya kweli au kuna kitu ambacho anatutafuta ubaya sisi Wana Yanga hasa katika Kipindi hiki Kigumu na cha Shida hadi bado tunahangaika Kusajili Wachezaji wa Kuwakopa na kwa Mali Kauli?

Je wana Yanga wenzangu sisi leo ni wa kuitwa ' Wapuuzi ' na aliyekuwa Msemaji wetu Kipenzi na ambaye kila Uchao tulikuwa ' tunamtukuza ' na ' kumpamba ' Jerry C. Muro? Ni matumaini yangu makubwa Uongozi wetu chini ya Kaimu Rais wetu wa Yanga Bwana Clement Sanga na Katibu Mkuu wa Yanga Mwalimu Charles Boniface Mkwasa hawatalinyamazia hili kwani kiukweli Jerry Muro ' ametutukana ' na ' ametudhalilisha ' sana Sisi wana Yanga.

Wenu Mwanachama Mtiifu wa Yanga FC GENTAMYCINE na nitoe tu pongezi zangu kwa Uongozi wa Yanga kwa kuamua kumsajili Mchezaji Ibrahim Ajib na kuamua Kambi ya Timu yetu iwe kati ya Kigurunyembe Mkoani Morogoro au Kyela Mkoani Mbeya na tusiwaige wale ambao walipanda Ndege na sasa wapo zao kwa Madiba wanafanya mazoezi yao.

Hakika hakuna kama Yanga FC Afrika na duniani!

Nawasilisha.
Haya sio maneno Jerry Sizonje wewe, umeongeza sukari yako kwenye hii thread na wewe utakuwa ni shabiki wa MIKIA FC.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Achana na mambo ya Simba SC na Pawassa Mkuu ila Wewe amini kuwa Mimi ni mwenzako mwana Yanga FC na hata sasa hivi haya maisha magumu ya Klabu inayopitia tunaumia wote. Hakuna Timu nisiyoipenda kama ya Simba SC na natamani mno kuwa katika hiyo Mechi yetu na wao ya Ngao ya Jamii tuwafunge ila kila nikiiangalia hii Njaa tuliyonayo Yanga FC huku tukisajili kwa Mkopo na Mali Kauli hakina naziona goli saba ( 7 ) a.k.a Week zinakuja. Hivi Ewe mwana Yanga FC mwenzangu huogopi ule Usajili wa ' hatari ' wa Watani zetu Simba SC?
Maneno matupu hayavunji mfupa. Katema ushuzi wake na sasa tumbo liko tupu anajisikia raha.

Kila la heri JM, tumekusikia.
 
Katika kuonyesha kuwa hakufurahishwa ' totally ' na ' kufurumushwa ' Kwake katika Cheo chake alichojitungia mwenyewe cha Ukurugenzi wa Habari na Mawasiliano ( ambacho hata katika Katiba ya Yanga hakipo ) na ambacho sasa amepewa Ndugu Dismas Ten atayakekuwa akisaidiwa na Godlisten Anderson ' Chicharito ' aliyekuwa mpayukaji maarufu wa Klabu ya Yanga Ndugu Jerry Muro wakati akihojiwa na Waandishi wa Habari ambapo sehemu ndogo ya hayo mahojiano yake yanapatikana katika Mtandao wa Azam Media aliweza kuyasema haya yafuatayo ambayo sitayaongeza wala kuyapunguza...
  1. " Yanga ndiyo ilinihitaji na sikuihitaji Yanga "
  2. " Nimeenda Yanga nikiwa Tajiri tayari hivyo sikuenda pale kwa ajili ya Njaa "
  3. " Yanga inaongozwa na Viongozi Wezi na ina mashabiki Wapuuzi na Wanafiki sana "
  4. " Nimeibadilisha Yanga kutoka kuwa Timu ya Kishamba na kuwa Timu ya Kisasa "
  5. " Yanga inaibiwa na Manji alikuwa anaogopa kuwakemea kwakuwa alikuwa anajua wanakula nae wote na kwamba angewakemea basi hao hao Wezi wasingemrudisha tena Madarakani "
  6. " Mimi nimesoma na nina Elimu kubwa hivyo kuendelea kubaki katika Timu ya Wapuuzi ni kujivunjia tu Heshima yangu hasa kwa wale wanaojua uwezo wangu uliotukuka "
  7. " Hata huyo aliyenirithi asitegemee kulipwa Mshahara kwa wakati na najua atakimbia mwenyewe kwani Mimi nilikuwa sipati taabu ya Mshahara kwakuwa nimesoma sana halafu nje ya Yanga nilikuwa nafanya Kazi zangu binafsi ambapo nina Mabasi na Madaladala lakini pia nina Mke mzuri na Familia nzuri hivyo walichokifanya Yanga Kwangu ni kama tu kumpiga teke Chura "
Haya wana Yanga FC ' wenzangu ' tuliomo humu JF aliyekuwa Msemaji wetu Jerry Cornelius Muro ndiyo katuwashia hivyo moto na hizo Kashfa je hayo aliyotuambia ni ya kweli au kuna kitu ambacho anatutafuta ubaya sisi Wana Yanga hasa katika Kipindi hiki Kigumu na cha Shida hadi bado tunahangaika Kusajili Wachezaji wa Kuwakopa na kwa Mali Kauli?

Je wana Yanga wenzangu sisi leo ni wa kuitwa ' Wapuuzi ' na aliyekuwa Msemaji wetu Kipenzi na ambaye kila Uchao tulikuwa ' tunamtukuza ' na ' kumpamba ' Jerry C. Muro? Ni matumaini yangu makubwa Uongozi wetu chini ya Kaimu Rais wetu wa Yanga Bwana Clement Sanga na Katibu Mkuu wa Yanga Mwalimu Charles Boniface Mkwasa hawatalinyamazia hili kwani kiukweli Jerry Muro ' ametutukana ' na ' ametudhalilisha ' sana Sisi wana Yanga.

Wenu Mwanachama Mtiifu wa Yanga FC GENTAMYCINE na nitoe tu pongezi zangu kwa Uongozi wa Yanga kwa kuamua kumsajili Mchezaji Ibrahim Ajib na kuamua Kambi ya Timu yetu iwe kati ya Kigurunyembe Mkoani Morogoro au Kyela Mkoani Mbeya na tusiwaige wale ambao walipanda Ndege na sasa wapo zao kwa Madiba wanafanya mazoezi yao.

Hakika hakuna kama Yanga FC Afrika na duniani!

Nawasilisha.

Kwanini hakusema haya kabla mm naona turndelee na yanga yetu yanga ilikuwepo na itakuwepo
 
Back
Top Bottom