GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,518
- 108,793
- Thread starter
- #21
Asante sana kumkumbusha hili. Ni mwezi huu huu wa July alituandikia kuwa yeye ni Simba na Pawasa ni mshikaji wake Sana. Kila akionana nae huwa anamwambia waliondoka na simba yao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Achana na mambo ya Simba SC na Pawassa Mkuu ila Wewe amini kuwa Mimi ni mwenzako mwana Yanga FC na hata sasa hivi haya maisha magumu ya Klabu inayopitia tunaumia wote. Hakuna Timu nisiyoipenda kama ya Simba SC na natamani mno kuwa katika hiyo Mechi yetu na wao ya Ngao ya Jamii tuwafunge ila kila nikiiangalia hii Njaa tuliyonayo Yanga FC huku tukisajili kwa Mkopo na Mali Kauli hakina naziona goli saba ( 7 ) a.k.a Week zinakuja. Hivi Ewe mwana Yanga FC mwenzangu huogopi ule Usajili wa ' hatari ' wa Watani zetu Simba SC?