khaligraph
JF-Expert Member
- Nov 19, 2016
- 1,083
- 961
Brother...nadhan hii ni ishu ya m2 mmoja mmoja.
Ungefanya ivyo zamani..Sasa hivi tungekuwa tunakuhesabu katika kundi la kina ginimbi .
Wewe uliyefahamu zamani una nyumba ngapi au benki una bilioni ngapiUngefanya ivyo zamani..Sasa hivi tungekuwa tunakuhesabu katika kundi la kina ginimbi .
HahahaWewe uliyefahamu zamani una nyumba ngapi au benki una bilioni ngapi
Kwani chaputa inakwamisha vp maendeleo, jazia nyama point mkuu naandika reportKama Kuna CHAPUTA yeyote aliefanikiwa aje atoe ushuhuda hapa
Najua hayupo
Ya kwangu hayakuhusu..jikite kwa mleta mada.Wewe uliyefahamu zamani una nyumba ngapi au benki una bilioni ngapi
Ni heri ubebe zege kazi ngumu kuliko kutafuta kumridhisha mwanadamu. Ni zaidi ya kazi ngumu hapa duniani.Wanajf wegine hatupo vizuri mkuu, usilazimishe wote tuwe vizuri,
Na mapenzi ni magumu sababu wewe ulikuwa unahangaika 'kuwalizisha' badala ya 'kuwaridhisha'..!
Unamzungumzia Vanyyyy BoiiiiiiiiNilishangaa Sana kuona mtu Kama Rayvanny wa wcb analalamika kuchapiwa.
Ulipiga 2 years back to back, ase we noma.Punyeto siwezi piga mkuu
Nimetest 2 years back ikanishinda
I believe mazoezi yatanisaidia Sana.
Kama Kuna CHAPUTA yeyote aliefanikiwa aje atoe ushuhuda hapa
Najua hayup
Lkn ukiwa unatoa hizo protein kwa wanawake kila siku unakua na mafanikio sio?Huwezi kuwa CHAPUTA ukafanikiwa
Kile unachokitoa kila siku ndo utajiri wako.
Acha kumdanganya mtoa madaYa kwangu hayakuhusu..jikite kwa mleta mada.
Wewe ndiye unaeona namdanganyaAcha kumdanganya mtoa mada
Ungemuuliza vizuri akupe maana yakekuna jamaa mmoja alianzisha uzi anaomba ushauri kuhusu Maisha...
Kuna dada mmoja (jina nimelisahau) aliongea vingi ila me nilidaka moja "wanawake piga chini watakupotezea muda" hii kauli mpaka leo huwa naiwaza iweje itoke kwa mwanamke....
maan yake inaeleweka... iko wazi kabisaaUngemuuliza vizuri akupe maana yake