Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,782
Ukitaka kupata kichekesho hiki onana na LMB7Lwakatare ndio mbabe wa siasa za kagera
Chadema ndio mmeptoea hivyo kagera
Jr
Ukitaka kupata kichekesho hiki onana na LMB7Lwakatare ndio mbabe wa siasa za kagera
Chadema ndio mmeptoea hivyo kagera
Thibitisha kuwa ni yeye. Maana ninyi kwa uzushi shetani anasubiri
Huwa hamna visasi. Mnamalizana nao kama kwa Chacha wangweChadema haijawahi kuwa na visasi mjomba
Kweli! Sasa imekuwaje akapata Kibali?umesahau mikusanyiko si ruksa!
Pimbi, nguruwe pori, ngiri, manyumbu, in one sentence!!! Sisi siyo wabaguzi, mbaguzi ni mzungu anayetuita Nyani!!Alichokisema lwakatare jana ni ukweli mtupu,akili za machadema zimejaa plastiki kwao uzushi na uongo ni sera za chama.Ona huyu pimbi anavyokurupuka,huo ni mkutano wa lwakatare? Nini tofauti ya akili zako na za nguruwe pori( ngiri)?Lwakatare ndio baba wa siasa za bukoba,nyie manyumbu wa chadema lazima mkae.
Na hapa?
WATU NYOMI
😆😆😆we jamaa mkatili kishenzi
Kuna wengine mmmejaaliwa roho ngumu kuliko ya paka. Wenzenu baada ya kusoma alama za nyakati wako busy kutafuta kinga.Lwakatare ndio mbabe wa siasa za kagera
Chadema ndio mmeptoea hivyo kagera
Eti mtoto wa mjini , hahahaaaa unachekesha aiseee .. yaani Lwakatare mtoto wa mjini ??? Bc sawaRwakatare ni mtoto wa mjini.hajawai shindwa siasa za Kagera.
🤣🤣🤣🤣🤣
Wacha weeee !!!Rwakatare ni mtoto wa mjini.hajawai shindwa siasa za Kagera.
Habari ndo hiyo.Wacha weeee !!!