Baada ya kutangazwa kifo cha J.K. Nyerere mwaka 1999, ulifanya nini (first reaction)?

Kazuri Kadada

JF-Expert Member
Jul 8, 2014
536
435
Baada ya kutangazwa kifo cha J.K. Nyerere mnamo mwaka 1999, where were you and how did you react spontaneously?

wakuu leo naomba tukumbushane baada ya kutangazwa kwa kifo cha baba wa taifa, naomba kujua reaction yako ya kwanza ilikuwaje kwako na kwa wale uliokuwa nao mazingira yale uliyokuwapa (kama ni bar, kanisani, nyumbani, kwenye chombo cha usafiri, etc)

Mimi nakumbuka wakati mheshimiwa mkapa anatangaza kifo cha mwalimu, nilikuwa Pemba na watu kama 10+ tulikusanyika kuzunguka redio ya kijiji huku wengine wakitokwa na machozi wasijue nini cha kufanya kwa kuwa "NGUZO ILIKUWA IMEDONDOKA"

85252585874521584789.jpg


Nikaja kuambiwa kuwa kuna baadhi ya watu walizimia mpaka siku mbili bila kunyanyuka

kariakoo3.jpg


kwako wewe mwanajukwaa wa hapa JF how did you react???!!!!!!!!!!
 
Kutangazwa kifo cha J.K. Nyerere 1999, where were you and how did you react?

wakuu leo naomba tukumbushane baada ya kutangazwa kwa kifo cha baba wa taifa, naomba kujua reaction yako ya kwanza ilikuwaje kwako na kwa wale uliokuwa nao mazingira yale uliyokuwapa (kama ni bar, kanisani, nyumbani, kwenye chombo cha usafiri, etc)

Mimi nakumbuka wakati mheshimiwa mkapa anatangaza kifo cha mwalimu, nilikuwa Pemba na watu kama 10+ tulikusanyika kuzunguka redio ya kijiji huku wengine wakitokwa na machozi wasijue nini cha kufanya kwa kuwa "NGUZO ILIKUWA IMEDONDOKA"

View attachment 395633

Nikaja kuambiwa kuwa kuna baadhi ya watu walizimia mpaka siku mbili bila kunyanyuka

View attachment 395641

kwako wewe mwanajukwaa wa hapa JF how did you react???!!!!!!!!!!
mimi nilikuwa shule ya msingi na wanafunzi wote tuliitwa mstarini na kuambiwa nini kimetokea
 
unajua 199os ndio mwisho wa ustaarabu na utu ulipoishia watuwalikuwa wana utu, wanathamini wana uzalendo na huruma akiskia mtu kafa hata kama ni wambali atashtuka lkini sasa mtu afiwa na mzazi wake machozi pia ajilazmisha sembuse kuanguka
 
Kifo cha Nyerere kilileta na kukata disco mwezi mzima
na TV zilikuwa hazitangazi chochote kingine zaidi ya msiba
kifo cha Nyerere kinamna fulani ndo 'kilianzisha' bongo fleva

watu waliboreka mno na nyimbo za huzzuni ikawa ruhusa kwa kila msaniikutunga nyimbo yake kwenda kwenye tv na redio

ndo kina Jaydee wakaibukia pia...na wengine....

kabla ya hapo hakukuwa na nguvu sana kwa mziki wa bongo fleva...

binafsi walinifurahisha Club Bilicanas.....wao walijifanya kuna 'Tamasha la kumkumbuka baba wa Taifa'
hapo ikawa fursa ya watu kula debe siku hiyo baada ya kukosa burudani karibu mwezi mzima....

mimi nilipata mateso ya kuikosa CNN kupitia CTN kwa mwezi mzima
 
unajua 199os ndio mwisho wa ustaarabu na utu ulipoishia watuwalikuwa wana utu, wanathamini wana uzalendo na huruma akiskia mtu kafa hata kama ni wambali atashtuka lkini sasa mtu afiwa na mzazi wake machozi pia ajilazmisha sembuse kuanguka
kuna ukweli kidogo humo. watu wamekuwa wazungu sana siku hizi
 
Nilikuwa class, tena tumemix Hge, na Egm, ghafla nikamsikia Mr (rip) Mussoma anasema Nyerere hatunae, ilikuwa km minong'ono flani hv. Kisha habari ilisambaa fasta,shule nzima na shule ile watoto wa wakubwa kibao, waliambiwa na wazee wao kwa mobitel.
 
mkuu, ulianza kuangali CNN mwaka 1999? wewe hatari. mimi nilikuwa sina TV enzi hizo

Mimi TV ilikuwepo home pia kwa wazazi...
CNN nimetazama live since 1994 kupitia CTN
speech za Clinton siku inazinduliwa internet rasmi niliziona live(sikumbuki exacly but nahisi ilikuwa kuzindua 'worldwideweb')
na siku Clinton yuko Senegal ziara ya Africa..
hata ile Septermber 11 niliona live ndege ya pili inagonga jengo
kabla ya hapo nilikua live namuona George Bush anazungumza kwenye shule ya chekechea
mpira wa AFCON mwaka 1994 tuliona live kupitia CTN..
 
Mimi TV ilikuwepo home pia kwa wazazi...
CNN nimetazama live since 1994 kupitia CTN
speech za Clinton siku inazinduliwa internet rasmi niliziona live(sikumbuki exacly but nahisi ilikuwa kuzindua 'worldwideweb')
na siku Clinton yuko Senegal ziara ya Africa..
hata ile Septermber 11 niliona live ndege ya pili inagonga jengo
kabla ya hapo nilikua live namuona George Bush anazungumza kwenye shule ya chekechea
mpira wa AFCON mwaka 1994 tuliona live kupitia CTN..
safi sana mkuu, tupo pamoja...
 
Nilikuwa class, tena tumemix Hge, na Egm, ghafla nikamsikia Mr (rip) Mussoma anasema Nyerere hatunae, ilikuwa km minong'ono flani hv. Kisha habari ilisambaa fasta,shule nzima na shule ile watoto wa wakubwa kibao, waliambiwa na wazee wao kwa mobitel.
shule ya kishua au sio?
 
I was in primary school by then mwl mkuu wetu shule yetu ikiwa karibu na bunge la zamani hapo city centre alisema Nyerere amefariki London. Kusema kweli tulikua manyoka but tuliweza kubaini kuwa tumedanganywa na mzee alifariki muda mrefu tu na hapo tuliwahi kumsikia Nkapa kwa TVT akisema NYERERE IS RECOVERING SLOWLY simply in common language he meant NYERERE IS DYING SLOWLY. Nkapa anajua zaidi about this death which is typically man made and not natural.

May God rest his heart (Nyerere) in eternal repose.
 
Back
Top Bottom