Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,104
- 49,388
Kwa wiki mbili hivi kumekuwa na minong’ono juu ya madereva wanaotoa huduma kupitia Bolt
Tuhuma hizo zinahusisha kujeruhi, kupiga, kutapeli na kunyang’anya abiria mali zao
Pia kupeleka abiria kwenye wrong destination.
Hizi tuhuma zinaweza kuwa ni za kweli ila ikawa ni mipango mikakati ya wapinzani wao kuwamaliza, Baada ya Bolt kutamba sana ndani ya soko.
pia nimewaza pengine ni udogo wa bei unaofanya madereva wanapata pesa kidogo huku wakihitajika kupeleka hesabu kwa maboss na wao kuendesha maisha Yao.hivyo wanajikuta wanaishi kwa msongo wa mawazo na ku overreact kwa wateja!
Tuhuma hizo zinahusisha kujeruhi, kupiga, kutapeli na kunyang’anya abiria mali zao
Pia kupeleka abiria kwenye wrong destination.
Hizi tuhuma zinaweza kuwa ni za kweli ila ikawa ni mipango mikakati ya wapinzani wao kuwamaliza, Baada ya Bolt kutamba sana ndani ya soko.
pia nimewaza pengine ni udogo wa bei unaofanya madereva wanapata pesa kidogo huku wakihitajika kupeleka hesabu kwa maboss na wao kuendesha maisha Yao.hivyo wanajikuta wanaishi kwa msongo wa mawazo na ku overreact kwa wateja!
Je kuna ndugu humu amewahi kukutana na matukio ya kusikitisha kutoka huduma ya Bolt?