johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,761
Nimeusoma wasifu wa Kiongozi wa Al qaeda aliyeuwawa na Wamarekani juzi Dr.Ayman
Kiukweli jamaa alitisha na mission zake zilikuwa hatari tupu
Nilichojifunza ni kwamba Ugaidi ni Imani na falsafa
Itoshe tu kusema Mbowe siyo Gaidi
Kiukweli jamaa alitisha na mission zake zilikuwa hatari tupu
Nilichojifunza ni kwamba Ugaidi ni Imani na falsafa
Itoshe tu kusema Mbowe siyo Gaidi