brave one JF-Expert Member Feb 5, 2013 4,876 7,366 Dec 3, 2018 #1 Baada ya kushindwa kuifunga man utd jumamosi iliyopita klabu ya Southampton yamtimua kocha wake Mark Hughes Attachments Screenshot_20181203-133809~2.jpeg 70.6 KB · Views: 25
Baada ya kushindwa kuifunga man utd jumamosi iliyopita klabu ya Southampton yamtimua kocha wake Mark Hughes
magnifico JF-Expert Member Jan 14, 2013 7,412 13,137 Dec 3, 2018 #2 Hata mimi nilishangaa unafungwa vipi na Lukaku?
Daudi1 JF-Expert Member Dec 14, 2013 8,761 8,640 Dec 3, 2018 #3 magnifico said: Hata mimi nilishangaa unafungwa vipi na Lukaku? Click to expand... Hahahahahaha
N nguvu JF-Expert Member Jun 13, 2013 21,010 19,793 Dec 3, 2018 #4 Mi nataka kujua morinyo yeye kapona vipi kufukuzwa?
Davet JF-Expert Member Apr 5, 2013 42,369 205,759 Dec 4, 2018 #6 magnifico said: Hata mimi nilishangaa unafungwa vipi na Lukaku? Click to expand...
MLA PANYA SWANGA JF-Expert Member Jul 31, 2015 5,159 5,399 Dec 4, 2018 #7 Huyo kocha angepewa muda zaidi japo wenzetu wanaangalia mambo mengi na wanaenda na mikataba tu siyo maneno.
Huyo kocha angepewa muda zaidi japo wenzetu wanaangalia mambo mengi na wanaenda na mikataba tu siyo maneno.