Kha 😹😹😹😹Kwa hiyo unataka kusema miungu ya kigeni imemaliza Vita vyao?
Allah amemshindaje Jehovah? Hebu fafanua maana tulikuwa tunaona Allah akipigwa kwelikweli.
Hebu tupe takwimu za vifo na majeruhi wa pande zote mbili
Kwisha habari yenuIran ndie alievuruga mipango ya Israel ktk vita hiiView attachment 1794207
Bwana kimsboy....dounia nzima ilisimama na gaza kwa kichapo ilichopewa wewe unapindisha maneno