Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Ni kama kuna maushirikina ndani yake. Wengi ambao huwasaidia waheshimiwa wabunge kuingia mjengoni kwenye uchaguzi mkuu huwa wanasahaulika haraka sana.
Vijana na akina mama wengi hujitoa kimasomaso kuwapigania waheshimiwa wao washinde lakini pindi tu mtu anapoingia mjengoni hujisahaulisha sana. Huwatupa ndugu na jamaa waliosta nao kwenye kampeni.
Unakuta mtu anabadili namba ya simu na makazi yake. Vijana hubaki vijiweni kuiga miayo. Wakati usiku na mchana wamepigania na kulinda kura za mh. fulani.
Waheshimiwa husahau haraka sana wakishaingia tu mjengoni.
Vijana na akina mama wengi hujitoa kimasomaso kuwapigania waheshimiwa wao washinde lakini pindi tu mtu anapoingia mjengoni hujisahaulisha sana. Huwatupa ndugu na jamaa waliosta nao kwenye kampeni.
Unakuta mtu anabadili namba ya simu na makazi yake. Vijana hubaki vijiweni kuiga miayo. Wakati usiku na mchana wamepigania na kulinda kura za mh. fulani.
Waheshimiwa husahau haraka sana wakishaingia tu mjengoni.