Dola Iddy Wa Chelsea
JF-Expert Member
- Sep 26, 2014
- 2,114
- 1,485
Habari za muda huu wana MMU,
Mnamo miezi miwili iliyopita nilifanikiwa kutekwa na pepo la ngono kupita kiasi kana kwamba nilijitolea kufa ama kupona ili mradi tu niuridhishe mwili wangu ,
Kwa wafuatiliaji wa Nyuzi zangu humu wanajua masaibu yaliyonikuta kwa binti myaturu khadija na sitaki nikumbushie tena manake nilipotoka siwezi kurejea ,
Baada ya kuleta nyuzi za huyo binti humu na uchafu tulioufanya wengi walinishauri baada ya muda wa kama miezi miwili au mitatu niende hosipitali nikajue afya ,
Sikuweza kuamini masikio yangu kuwa im H.I.V NEGATIVE!
Sichepuki tenaaa.
Niite Baba Gabriel!
Mnamo miezi miwili iliyopita nilifanikiwa kutekwa na pepo la ngono kupita kiasi kana kwamba nilijitolea kufa ama kupona ili mradi tu niuridhishe mwili wangu ,
Kwa wafuatiliaji wa Nyuzi zangu humu wanajua masaibu yaliyonikuta kwa binti myaturu khadija na sitaki nikumbushie tena manake nilipotoka siwezi kurejea ,
Baada ya kuleta nyuzi za huyo binti humu na uchafu tulioufanya wengi walinishauri baada ya muda wa kama miezi miwili au mitatu niende hosipitali nikajue afya ,
Sikuweza kuamini masikio yangu kuwa im H.I.V NEGATIVE!
Sichepuki tenaaa.
Niite Baba Gabriel!