Na ndiyo wanachokisubili kina Ighonde baada ya kuua watauwawa nao.Ukaua utawaua tu, just watch out and see
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ndiyo wanachokisubili kina Ighonde baada ya kuua watauwawa nao.Ukaua utawaua tu, just watch out and see
Huna jipya umekaa kiukabila kabila tu.
Kwa nini niwe mtumwa wa Dr Slaa na siyo Sumaye na Mary Nagu ambao wanapesa nyingi na vyeo kuliko Slaa?? Kumbuka na wao ni wairaqw kama Dr Slaa. Ni swali tu.
Porojo tupu.
Kamuombe balozi wa kichina akuandikieMikael P Aweda Hebu tuwekee hati ya makubaliano ya kuungana pia.
Mipasho ndo imesalia kwa wachumia tumbo ccm.
Ukaua utawaua tu, just watch out and see
Wadau,
Jana nilipigiwa simu na mtu ambaye ninamfahamu kidogo kama mwanachadema kwani tuliwahi kuonana mara moja tukaongea naye kwa muda mrefu maeneo ya ukonga Dsm. Jana alinipigia simu na kunipongeza kwa makala yangu JF na facebook. Baada ya pongezi nyingi kuliko kawaida akanisihi kuwa sisi wazalendo wa kweli ndani ya Chadema tukae kwa umakini na tujadili kwa undani hatima ya chadema yetu ndani ya ukawa.
Baada ya kuongea naye kwa muda mrefu kwenye simu akiwa na umakini wa hali ya juu sana na akionekana kama mtu mwenye kuipenda sana chadema kuliko viongozi wa juu wa chadema, alinisihi nikutane naye kwenye hoteli Ubungo Plaza kwa chakula cha mchana ili tujadili hatima ya Chama chetu. Nilimkatalia.
Hata hivyo, nina maswali matatu kwa watu wapinzani wa ukawa ndani ya chadema na CUF.
Mosi, Ni kwa nini wanaopinga ukawa kwa nguvu ni watu wenye matatizo ndani ya vyama vyao kama Yona aliyekanwa uongozi halali wa chadema Temeke kuwa siyo mwenyekiti?? Fuatilia wapinzani wote wa ukawa JF, Utaliona hilo.
Pili, kwa nini taarifa zao au propaganda zao zinatoka zaidi kwenye magazeti yanyomilikiwa na ccm moja kwa moja au makada wa ccm ? Na kwa nini mara nyingi huwa wanaficha vyanzo vya habari zao? (Juliana shonza (mwanaccm aliyeasi chadema, ndo ameleta taarifa hapa JF ya mjumbe wa Baraza kuu cuf kujiuzulu)
Tatu, gharama ya kunikaribisha kwenye chakula cha mchana ubungo Plaza kujadili mambo haya inatoka kwa nani na kwa maslahi ya nani?? Au ana mhusika anagaenda gani zaidi?? Mtu huyu kwa kumwangalia tu kwa macho ya kawaida, siyo mtu wa kunikaribisha chakula cha mchana ubungo Plaza. Na kwa nini ubungo Plaza, mbona mara ya kwanza tulipoonana tulikaa masaa mawili na tukaishia kunywa maji na soda tu tena kwenye mgahawa wa kawaida.
NB; Kilichonishtua zaidi ni pale nilipomshauri kuwa awasilishe hofu yake kwa viongozi wa juu lakini hakutaka hilo, badala yake aonnane na mimi ili tujadili hatima ya chadema yetu sisi wazalendo wa chadema.
Ni maswali ninayojiuliza, wahenga wanasema hakuna swali la kijinga ila kuna jibu la kijinga.
Baada ya kumsikiliza ushauri wa akili yake niliuchanganya na akili yangu, nikajiambia mwenyewe, sidanganyiki.
Nawasilisha.
Mipasho ndo imesalia kwa wachumia tumbo ccm.
CCM lazima wajue kuwa kuna watu hawana bei. Hata ukipewa ghorofa ili uwasaliti watz lazima utaiacha hapa duniani tu NA utaondoka na shuka moja na jeneza moja tu. Kwenye biblia mstari una sema, Heri jina jema kuliko mali nyingi. Wote leo tunaimba habari za nyerere kwa vile tu hakuwahi kuwa fisadi.
Ni lini cuf wameacha kuwa ccm B?
ni lini nccr mageuzi wameacha kuwa tawi la CCM?
haya majina mabaya mabaya ya kuwachafua wenzenu mchana kisha jioni mnawaita marafiki haamaaanshi uroho wa madaraka wa chadema?
Aweda you are not in that status ya kuitwa kuongwa au sijui nini, to know your enemy really, ungeenda na ungepata conclusion zaidi. May be jamaa alitaka kukupa news muhimu sana, siri au support ya unachokiamini
umeishajenga negative cloud, na unasomeka hapa na anajua yeye ndiye aliyeongea na simu jana
if yu are a man, please you need to hold things (be patient) until ume confirm beyond reasonable doubt kuwa ana lengo baya
ulichoandika hapa , umekurupuka, hujatulia.....sifa ya mwanaume ni kuweka vitu kifuani
why you guys can not hold things in your heart????
who are you na UKAWA yako ambayo kila mwenye akili wakiwemo akina Mwanakijiji wanajiuliza maswali mengi sana?? nikikuuliza maswali kumi kuhusu ukawa huwezi kujibu, nakuonea huruma kuja na swaga hizi hapa ili UONEKANE NA AINA MBOWE AU SLAA kuwa WW NI MFIA CHAMA!!!!
Hivi hao akina Msigwa, Mr. sugu,.......name them hawapati hizo sekeseke za kutaka kuhongwa au kurubuniwa?? mbona hawasemi, sio kila kitu cha kusemasema tu, ume miss information muhimu na umeishi njiani.....hujafika kileleni!!
Yaani uko mlaini kiasi cha kuwa unaogopa ukienda utanyong'onyeshwa na kulainika?? you are weak, let me be straight now. Na utakumbuka muda mrefu sana nimekuwa nikihoji uongozi wako, IQ yako, uwezo wako wa kufikiri everyday naona pumba tu
You are wrong!!! very wrong binadamu ana mambo mengi sana na huwezi kujua ana kitu gani may be it was beneficial kwako
so angetokea ghafla mmekutana huko mamtoni, au kwenye ndege ungeharisha safari....stand up, be a man, IT WAS VERY VERY VERY NICE OPPORTUNITY FOR YOU TO CONVINCE THEM all BEAUTIES OF UKAWA!!!
you have missed this chance kinachoonekana huwezi ukatetea ukawa na ndio maana UMEKIMBIA.period
unasukumwa na kujipendekeza, be you..kuna ikao chochote cha wanachama wa chadema kilichokaa kupitisha hii la UKAWA?? ney ...no,
au ulifikiri wanataka kukuua??? kwa lipi? wewe nani???? UKAWA haijawa threat hivyo na please stop this childish!!! tuma vitu vya kulisha ubongo wetu
sorry
Mwenye busara huyaona mabaya na kujificha,mjinga anayafuata na kuumiaAweda you are not in that status ya kuitwa kuongwa au sijui nini, to know your enemy really, ungeenda na ungepata conclusion zaidi. May be jamaa alitaka kukupa news muhimu sana, siri au support ya unachokiamini
umeishajenga negative cloud, na unasomeka hapa na anajua yeye ndiye aliyeongea na simu jana
if yu are a man, please you need to hold things (be patient) until ume confirm beyond reasonable doubt kuwa ana lengo baya
ulichoandika hapa , umekurupuka, hujatulia.....sifa ya mwanaume ni kuweka vitu kifuani
why you guys can not hold things in your heart????
who are you na UKAWA yako ambayo kila mwenye akili wakiwemo akina Mwanakijiji wanajiuliza maswali mengi sana?? nikikuuliza maswali kumi kuhusu ukawa huwezi kujibu, nakuonea huruma kuja na swaga hizi hapa ili UONEKANE NA AINA MBOWE AU SLAA kuwa WW NI MFIA CHAMA!!!!
Hivi hao akina Msigwa, Mr. sugu,.......name them hawapati hizo sekeseke za kutaka kuhongwa au kurubuniwa?? mbona hawasemi, sio kila kitu cha kusemasema tu, ume miss information muhimu na umeishi njiani.....hujafika kileleni!!
Yaani uko mlaini kiasi cha kuwa unaogopa ukienda utanyong'onyeshwa na kulainika?? you are weak, let me be straight now. Na utakumbuka muda mrefu sana nimekuwa nikihoji uongozi wako, IQ yako, uwezo wako wa kufikiri everyday naona pumba tu
You are wrong!!! very wrong binadamu ana mambo mengi sana na huwezi kujua ana kitu gani may be it was beneficial kwako
so angetokea ghafla mmekutana huko mamtoni, au kwenye ndege ungeharisha safari....stand up, be a man, IT WAS VERY VERY VERY NICE OPPORTUNITY FOR YOU TO CONVINCE THEM all BEAUTIES OF UKAWA!!!
you have missed this chance kinachoonekana huwezi ukatetea ukawa na ndio maana UMEKIMBIA.period
unasukumwa na kujipendekeza, be you..kuna ikao chochote cha wanachama wa chadema kilichokaa kupitisha hii la UKAWA?? ney ...no,
au ulifikiri wanataka kukuua??? kwa lipi? wewe nani???? UKAWA haijawa threat hivyo na please stop this childish!!! tuma vitu vya kulisha ubongo wetu
sorry
Dr Slaa alipotaja majina ya mafisadi wakiwepo majina ya Marais aliulizwa waandishi kama haogopi kufa. Yeye alijibu, maji ukishavulia nguo, huna budi kuyaoga. Nina uhakika kuwa kila mtu akiogopa kufa au tukiwa dhaifu mbele ya rushwa nina uhakika ccm wataiuza nchi hii kwa bei ya jumla siku moja. Nina uhakika hilo halitatokea katika kizazi changu.
Wadau,
Jana nilipigiwa simu na mtu ambaye ninamfahamu kidogo kama mwanachadema kwani tuliwahi kuonana mara moja tukaongea naye kwa muda mrefu maeneo ya ukonga Dsm. Jana alinipigia simu na kunipongeza kwa makala yangu JF na facebook. Baada ya pongezi nyingi kuliko kawaida akanisihi kuwa sisi wazalendo wa kweli ndani ya Chadema tukae kwa umakini na tujadili kwa undani hatima ya chadema yetu ndani ya ukawa.
Baada ya kuongea naye kwa muda mrefu kwenye simu akiwa na umakini wa hali ya juu sana na akionekana kama mtu mwenye kuipenda sana chadema kuliko viongozi wa juu wa chadema, alinisihi nikutane naye kwenye hoteli Ubungo Plaza kwa chakula cha mchana ili tujadili hatima ya Chama chetu. Nilimkatalia.
Hata hivyo, nina maswali matatu kwa wapinzani wa UKAWA ndani ya chadema na CUF.
Mosi, Ni kwa nini wanaopinga ukawa kwa nguvu ni watu wenye matatizo ndani ya vyama vyao kama Yona aliyekanwa uongozi halali wa chadema Temeke kuwa siyo mwenyekiti?? Fuatilia wapinzani wote wa ukawa JF, Utaliona hilo.
Pili, kwa nini taarifa zao au propaganda zao zinatoka zaidi kwenye magazeti yanyomilikiwa na ccm moja kwa moja au makada wa ccm ? Na kwa nini mara nyingi huwa wanaficha vyanzo vya habari zao? (Juliana shonza mwanaccm aliyeasi chadema, ndo ameleta taarifa hapa JF ya mjumbe wa Baraza kuu cuf kujiuzulu)
Tatu, gharama ya kunikaribisha kwenye chakula cha mchana ubungo Plaza kujadili mambo haya inatoka kwa nani na kwa maslahi ya nani?? Au mhusika anagaenda gani zaidi?? Mtu huyu kwa kumwangalia tu kwa macho ya kawaida, siyo mtu wa kunikaribisha chakula cha mchana ubungo Plaza. Na kwa nini ubungo Plaza, mbona mara ya kwanza tulipoonana tulikaa masaa mawili na tukaishia kunywa maji na soda tu tena kwenye mgahawa wa kawaida.
NB; Kilichonishtua zaidi ni pale nilipomshauri kuwa awasilishe hofu yake kwa viongozi wa juu lakini hakutaka hilo, badala yake aonnane na mimi ili tujadili hatima ya chadema yetu sisi wazalendo wa chadema.
Ni maswali ninayojiuliza, wahenga wanasema hakuna swali la kijinga ila kuna jibu la kijinga.
Baada ya kumsikiliza ushauri wa akili yake niliuchanganya na akili yangu, nikajiambia mwenyewe, sidanganyiki.
Nawasilisha.