Baada ya kupiga kura ni kuhesabu na kubandika matokeo,je watu wakiondoka watajuaje matokeo?

marcusgarvey

JF-Expert Member
Aug 16, 2015
891
235
Hili ni swali muhimu ambalo linahitaji ufafanuzi,kama sheria ya uchaguzi inampa mpiga kura haki ya kupiga kura na kujua matokeo ya kura ktk kituo alichopigia kura,kuna tatizo gani mpiga kura kukaa umbali wa mita 200 kusubiri matokeo ya kura ytake kama sheria Inavyosema?

Hii inatia shaka kuona nec ikitaka watu warudi majumbani mwao huku ikijua wazi kuwa,mpiga kura ana haki ya Msingi kujua matokeo ya kura aliyopiga,ndio maana baada ya kuhesabu matokeo yanabandikwa ili kumpa haki aliyepiga kura na aliyepigiwa kujua matokeo sahihi ya kura

Kama sheria inasema,baada ya kupiga kura watu wakae mita 200 kusubiri matokeo,ni vyema haki hii isinyongwe,watu wasitishiwe maana ni haki yao

Kama watu wanataka ushindi wa bao la mkono wajue imekura kwao,kupata matokeo ya kura yako ktk kituo ichopigia kura ni haki yako
 
Hili ni swali muhimu ambalo linahitaji ufafanuzi,kama sheria ya uchaguzi inampa mpiga kura haki ya kupiga kura na kujua matokeo ya kura ktk kituo alichopigia kura,kuna tatizo gani mpiga kura kukaa umbali wa mita 200 kusubiri matokeo ya kura ytake kama sheria Inavyosema?

Hii inatia shaka kuona nec ikitaka watu warudi majumbani mwao huku ikijua wazi kuwa,mpiga kura ana haki ya Msingi kujua matokeo ya kura aliyopiga,ndio maana baada ya kuhesabu matokeo yanabandikwa ili kumpa haki aliyepiga kura na aliyepigiwa kujua matokeo sahihi ya kura

Kama sheria inasema,baada ya kupiga kura watu wakae mita 200 kusubiri matokeo,ni vyema haki hii isinyongwe,watu wasitishiwe maana ni haki yao

Kama watu wanataka ushindi wa bao la mkono wajue imekura kwao,kupata matokeo ya kura yako ktk kituo ichopigia kura ni haki yako

imekura kwao = nimekusoma mkuu, ndiyo maana tumeambiwa twende nyumbani baada ya kupiga Kura watu wa aina yako hua na Sime Viunoni
 
Hili ni swali muhimu ambalo linahitaji ufafanuzi,kama sheria ya uchaguzi inampa mpiga kura haki ya kupiga kura na kujua matokeo ya kura ktk kituo alichopigia kura,kuna tatizo gani mpiga kura kukaa umbali wa mita 200 kusubiri matokeo ya kura ytake kama sheria Inavyosema?

Hii inatia shaka kuona nec ikitaka watu warudi majumbani mwao huku ikijua wazi kuwa,mpiga kura ana haki ya Msingi kujua matokeo ya kura aliyopiga,ndio maana baada ya kuhesabu matokeo yanabandikwa ili kumpa haki aliyepiga kura na aliyepigiwa kujua matokeo sahihi ya kura

Kama sheria inasema,baada ya kupiga kura watu wakae mita 200 kusubiri matokeo,ni vyema haki hii isinyongwe,watu wasitishiwe maana ni haki yao

Kama watu wanataka ushindi wa bao la mkono wajue imekura kwao,kupata matokeo ya kura yako ktk kituo ichopigia kura ni haki yako
Sheria inasema unaweza kusubiria matokeo ndani ya mita mia moja na sio mita mia mbili.
 
Back
Top Bottom