Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,263
Baada ya kuambiwa aache ushamba na IGP Simon Sirro, Kamanda Mambosasa Sasa ameacha ushamba wa kuvaa mavazi ya kivita kwenye press conference.
Sina hakika na viatu kama kapatia, isije ikawa kapiga sandals maana mtu kubadilika Siku 1 Siyo rahisi, tumpe muda!
Sina hakika na viatu kama kapatia, isije ikawa kapiga sandals maana mtu kubadilika Siku 1 Siyo rahisi, tumpe muda!