aagiza wastaafu wa jumuiya ya africa mashariki walipwe mara moja,na pia amtaka mkullo akaze buti kwenye makusanyo ya mapato...thanx to loliondo atleast someone is coming back to his senses
Kama nia yake ni nzuri then itaonekana kwa jinsi matamshi hayo yatakavyokuwa translated into actions; otherwise I am still pessimistic about mere statements and sentiments....typical of politicians....we want actions and not words. Kama news ingekuwa kuwa wastaafu wamelipwa hapo basi tungesema ama kweli mabadiliko...but words, jamani ni mangapi yametamka na yakabaki hivyo hivyo kuwa matamshi, maneno matupu hayavunji mfupa walisema wahenga na hawajakodea
Sijui kama itawezekana lakini kifupi si wastaafu tu bali ni wengi wanaoidai serikali kuanzia walimu, askari ma nurse/ ma doctor n. k nao walipwe ili haki itendeke.
Itabidi akaongeze dose kwa sababu kachoka kweli nuru yote imeondoka nao waliokuwa wakimsikiliza wizara ya fedha walikuwa wamenuna kama vile walilazimishwa kulikuwa hakuna connection kati ya mzungumzaji na wasikilizaji jamani watu kila mahali wanajionea tabu tuu
Kwa msimamo wa Loliondo dhuluma itatokomea tutaishi kama vile tupo peponi.
Tunasubiri Babu aseme kuhusu wapiga debe (madalali) wanaorusha nauli za kwenda
Loliondo, kwenye baraka za Mungu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.