Baada ya kuona Watu walio wakodi kuja kushangilia Helkopta hawajafika wakahairisha safari

silver25

JF-Expert Member
Jul 29, 2010
743
44
Jana CCM walifeli kama kawaida yao kufeli katika utekelezaji wa ahadi anazozitoa.
Kawaida ya hawa Magamba ni kukodi watu na kuwapakiza kwenye makenta, Malori, mabasi, vibasi na marandcruiser, kwaajiri ya kujaza mkutano,, lakini jana ilikuwa Tofauti maana walijaribu kusubiri watu wajae bila mafanikio na hata watoto jana HAWAKUWA WENGI KIASI CHA KUAHILISHA KUTUA KWA HELKOPTA YAO WAKISINGIZIA GIZA ETI WATAPATA AJALI.

HUKU WENZAO WAKITUA KWA KUSHANGILIWA NA WANAIGUNGA WOOOOTEEEE,, JAMANI IT IS THE TIME FOR CHANGE

PEEEEEEEEEEPOOOOOOOOO ............................





CCM wakiiba kura safari hii, sijui nisemeje
 
tusubiri trh 3 tutajua akili za watu wa igunga ni old fashoned au wamepevuka after 50 years of independence.
 
Dah ninawasiwasi, lakini nikijaribu kufuatilia Kampaign naona Kama kuna matumaini ya wanaigunga kuonesha mfano kama walio ufanya nchini Zambia
 
Jana CCM walifeli kama kawaida yao kufeli katika utekelezaji wa ahadi anazozitoa.
Kawaida ya hawa Magamba ni kukodi watu na kuwapakiza kwenye makenta, Malori, mabasi, vibasi na marandcruiser, kwaajiri ya kujaza mkutano,, lakini jana ilikuwa Tofauti maana walijaribu kusubiri watu wajae bila mafanikio na hata watoto jana HAWAKUWA WENGI KIASI CHA KUAHILISHA KUTUA KWA HELKOPTA YAO WAKISINGIZIA GIZA ETI WATAPATA AJALI.

HUKU WENZAO WAKITUA KWA KUSHANGILIWA NA WANAIGUNGA WOOOOTEEEE,, JAMANI IT IS THE TIME FOR CHANGE

PEEEEEEEEEEPOOOOOOOOO ............................





CCM wakiiba kura safari hii, sijui nisemeje

Na wewe nae ni mmoja wa GT wa JF ? . Kama ndivyo ndivyo basi ni hasara kubwa kwa mtandao huu na taifa kwa ujumla ! Inatusaidia nn hii humu ndani ? . Halafu ndio utaona watu wanaipenda na kuichangia sana. Tuna safari ndefu sana !
 
Jana CCM walifeli kama kawaida yao kufeli katika utekelezaji wa ahadi anazozitoa.
Kawaida ya hawa Magamba ni kukodi watu na kuwapakiza kwenye makenta, Malori, mabasi, vibasi na marandcruiser, kwaajiri ya kujaza mkutano,, lakini jana ilikuwa Tofauti maana walijaribu kusubiri watu wajae bila mafanikio na hata watoto jana HAWAKUWA WENGI KIASI CHA KUAHILISHA KUTUA KWA HELKOPTA YAO WAKISINGIZIA GIZA ETI WATAPATA AJALI.

HUKU WENZAO WAKITUA KWA KUSHANGILIWA NA WANAIGUNGA WOOOOTEEEE,, JAMANI IT IS THE TIME FOR CHANGE

PEEEEEEEEEEPOOOOOOOOO ............................





CCM wakiiba kura safari hii, sijui nisemeje
Tunashukuru kwa taarifa mkuu, tuko pamoja.
 
Aliyepewa kazi ya kuwasafirisha watu naye si mjinga amezitia ndani na kuingia mitini!!!!!!!!!!!
 
Jana CCM walifeli kama kawaida yao kufeli katika utekelezaji wa ahadi anazozitoa.
Kawaida ya hawa Magamba ni kukodi watu na kuwapakiza kwenye makenta, Malori, mabasi, vibasi na marandcruiser, kwaajiri ya kujaza mkutano,, lakini jana ilikuwa Tofauti maana walijaribu kusubiri watu wajae bila mafanikio na hata watoto jana HAWAKUWA WENGI KIASI CHA KUAHILISHA KUTUA KWA HELKOPTA YAO WAKISINGIZIA GIZA ETI WATAPATA AJALI.

HUKU WENZAO WAKITUA KWA KUSHANGILIWA NA WANAIGUNGA WOOOOTEEEE,, JAMANI IT IS THE TIME FOR CHANGE

PEEEEEEEEEEPOOOOOOOOO ............................





CCM wakiiba kura safari hii, sijui nisemeje
Mkuu kwa mtaji huu inabidi urudi skuli.
Enzi ya Mwalimu kulikuwepo na kisomo cha manufaa aka kisomo cha ngumbaru aka kisomo cha watu wazima.
Unahitajika kwenda huko ukajipolish kuandika.
 
mungu ibariki Tanzania, wafungue na wanaiginga waijue kweli ili waweze kuwa Huru!
 
Mkuu kwa mtaji huu inabidi urudi skuli.
Enzi ya Mwalimu kulikuwepo na kisomo cha manufaa aka kisomo cha ngumbaru aka kisomo cha watu wazima.
Unahitajika kwenda huko ukajipolish kuandika.
Vipi limekuchoma au?????????? lako hilo babu.
 
Na wewe nae ni mmoja wa GT wa JF ? . Kama ndivyo ndivyo basi ni hasara kubwa kwa mtandao huu na taifa kwa ujumla ! Inatusaidia nn hii humu ndani ? . Halafu ndio utaona watu wanaipenda na kuichangia sana. Tuna safari ndefu sana !

huwezi kutukokota kwenye safari yenu ndefu ya kutumbukia shimoni, hamna pa kuponea.
 
Tutaona kama watu wa Igunga wameanza kubadilika kama watu wa Kinondoni au bado wapo usingizini kama watu wa temeke.
Na wewe nae ni mmoja wa GT wa JF ? . Kama ndivyo ndivyo basi ni hasara kubwa kwa mtandao huu na taifa kwa ujumla ! Inatusaidia nn hii humu ndani ? . Halafu ndio utaona watu wanaipenda na kuichangia sana. Tuna safari ndefu sana !
 
Mkuu kwa mtaji huu inabidi urudi skuli.
Enzi ya Mwalimu kulikuwepo na kisomo cha manufaa aka kisomo cha ngumbaru aka kisomo cha watu wazima.
Unahitajika kwenda huko ukajipolish kuandika.

nasikia wasoma huko ngumbaru, eti ni mwaka wa nne mfululizo sasa wafeli, una kicwa cha panzi bibie!! ndo mana huoni haya kuporomosha mash.uz.i.
 
nasikia wasoma huko ngumbaru, eti ni mwaka wa nne mfululizo sasa wafeli, una kicwa cha panzi bibie!! ndo mana huoni haya kuporomosha mash.uz.i.
Mashuzi mabaya zaidi ni yale yatokayo mdomoni kwako. Hivi hao nzi wanao kuzunguka huwaoni?
Hebu jichunguze afya yako hasa ya fikra.
 
Na wewe nae ni mmoja wa GT wa JF ? . Kama ndivyo ndivyo basi ni hasara kubwa kwa mtandao huu na taifa kwa ujumla ! Inatusaidia nn hii humu ndani ? . Halafu ndio utaona watu wanaipenda na kuichangia sana. Tuna safari ndefu sana !

Bila kuwa na Wasaliti katika Nchi fulani au kundi fulani Neno usaliti lisingekuwa na Maana, na bila kuwa na watu wasiyoona katika Dunia hii basi neno Kipofu pia lisingekuwa na Maana,,, Kwasababu usipo jua umbali wa mahali fulani huwezi kuuongelea umbali huo Kaka,, na kama huwez ni bora ukae kimya au ukapige mswaki usije sababisha Harufu mbaya kwa wale wanao ujua umbali wa kile kinacho zungumziwa,
Kama hujahusishwa sehemu basi ujue huusiki, na kama huhusiki basi kaa pembeni,, wana JF ni wastaharabu na si WATUMIA NGUVU KAMA WEWE UNAVYO TUMIA NGUVU, mimi ni mwana JF hata kabla yako.. Kajipange vizuri kisha UJE KUWATETEA WALIO KUTUMA
 
ungetupa kafoto kama ingewezekan, tungefarijika. Lakini shukrani kwa taarifa. Mapambano kotekote.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom