silver25
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 743
- 44
Jana CCM walifeli kama kawaida yao kufeli katika utekelezaji wa ahadi anazozitoa.
Kawaida ya hawa Magamba ni kukodi watu na kuwapakiza kwenye makenta, Malori, mabasi, vibasi na marandcruiser, kwaajiri ya kujaza mkutano,, lakini jana ilikuwa Tofauti maana walijaribu kusubiri watu wajae bila mafanikio na hata watoto jana HAWAKUWA WENGI KIASI CHA KUAHILISHA KUTUA KWA HELKOPTA YAO WAKISINGIZIA GIZA ETI WATAPATA AJALI.
HUKU WENZAO WAKITUA KWA KUSHANGILIWA NA WANAIGUNGA WOOOOTEEEE,, JAMANI IT IS THE TIME FOR CHANGE
PEEEEEEEEEEPOOOOOOOOO ............................
CCM wakiiba kura safari hii, sijui nisemeje
Kawaida ya hawa Magamba ni kukodi watu na kuwapakiza kwenye makenta, Malori, mabasi, vibasi na marandcruiser, kwaajiri ya kujaza mkutano,, lakini jana ilikuwa Tofauti maana walijaribu kusubiri watu wajae bila mafanikio na hata watoto jana HAWAKUWA WENGI KIASI CHA KUAHILISHA KUTUA KWA HELKOPTA YAO WAKISINGIZIA GIZA ETI WATAPATA AJALI.
HUKU WENZAO WAKITUA KWA KUSHANGILIWA NA WANAIGUNGA WOOOOTEEEE,, JAMANI IT IS THE TIME FOR CHANGE
PEEEEEEEEEEPOOOOOOOOO ............................
CCM wakiiba kura safari hii, sijui nisemeje