Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,592
- 112,650
Wanakaa kuhesabu tu chupa za bia wanaona kunywa bia ni kupoteza hela....
Wanauliza "bia zitawafikisha wapi" sijui wao soda zimewafikisha wapi
Wanakaa kuhesabu tu chupa za bia wanaona kunywa bia ni kupoteza hela....
Utoto tuhNi nini sasa
Soda zimekufikisha wapi?Utoto tuh
Kwani pombe inakufikisha wapi?
Walevi sio wanafiki, wanasemaga ukweli daiam, hajakupenda kaipenda pombe, huyo ndio mke wa kuoa faster kabla pombe hazijaishaHabari wakuu
Hakika wanawake kuwaelewa ni ngumu mno, ni mwezi mmoja umepita tangu nilivyomuapproach mtoto mmoja hapa jiji la joto na akanitolea nje.
Nikapambana kila namna lakini mtoto hakunielewa ndani ya siku 4 nikajikatia tamaa. Ilibaki tunaonana kupitia status za wasap pasipo kucoment chochote
Wikiend hii nilijichanganya kiwanja nikatulia napiga zangu Serengeti lite..Tungi lilipozidi nilijikuta nimepost selfie niko na bia kama tano hivi.
Hapohapo yule mtoto alipoiview tu basi akili yake ikamruka...hee kumbe unakunywa bia? Nikajisemea tu napunguza mawazo..Hapo ndio akajiset na kuuliza lini niwe nae anipe kile nataka.
Hapa najiuliza hivi ni hizi bia tu ndio zimemfanya mtoto adate kiasi hiki, maana sio kwa sms na calls za fujo.
Hivi wanawake nini kinawapendeza? Mwanzo nilikuingia kiuchungaji ukazingua, kuona bia tu basi mambo yamekubali.
Wanawake mueleweke vipi lakini.
Chapombe huyo msichanaHabari wakuu
Hakika wanawake kuwaelewa ni ngumu mno, ni mwezi mmoja umepita tangu nilivyomuapproach mtoto mmoja hapa jiji la joto na akanitolea nje.
Nikapambana kila namna lakini mtoto hakunielewa ndani ya siku 4 nikajikatia tamaa. Ilibaki tunaonana kupitia status za wasap pasipo kucoment chochote
Wikiend hii nilijichanganya kiwanja nikatulia napiga zangu Serengeti lite..Tungi lilipozidi nilijikuta nimepost selfie niko na bia kama tano hivi.
Hapohapo yule mtoto alipoiview tu basi akili yake ikamruka...hee kumbe unakunywa bia? Nikajisemea tu napunguza mawazo..Hapo ndio akajiset na kuuliza lini niwe nae anipe kile nataka.
Hapa najiuliza hivi ni hizi bia tu ndio zimemfanya mtoto adate kiasi hiki, maana sio kwa sms na calls za fujo.
Hivi wanawake nini kinawapendeza? Mwanzo nilikuingia kiuchungaji ukazingua, kuona bia tu basi mambo yamekubali.
Wanawake mueleweke vipi lakini.
saa nne asubuhi leo niko nae siku nzimaChapombe huyo msichana
Amekuona una pesaHabari wakuu
Hakika wanawake kuwaelewa ni ngumu mno, ni mwezi mmoja umepita tangu nilivyomuapproach mtoto mmoja hapa jiji la joto na akanitolea nje.
Nikapambana kila namna lakini mtoto hakunielewa ndani ya siku 4 nikajikatia tamaa. Ilibaki tunaonana kupitia status za wasap pasipo kucoment chochote
Wikiend hii nilijichanganya kiwanja nikatulia napiga zangu Serengeti lite..Tungi lilipozidi nilijikuta nimepost selfie niko na bia kama tano hivi.
Hapohapo yule mtoto alipoiview tu basi akili yake ikamruka...hee kumbe unakunywa bia? Nikajisemea tu napunguza mawazo..Hapo ndio akajiset na kuuliza lini niwe nae anipe kile nataka.
Hapa najiuliza hivi ni hizi bia tu ndio zimemfanya mtoto adate kiasi hiki, maana sio kwa sms na calls za fujo.
Hivi wanawake nini kinawapendeza? Mwanzo nilikuingia kiuchungaji ukazingua, kuona bia tu basi mambo yamekubali.
Wanawake mueleweke vipi lakini.
Muhusika kasema anakunywa bia. Wala sio mlevi. Kuna mnywaji na mlevi. Tofautisha hapoUlevi sio sifa nzuri mkuu
Walevi mnakubaligi BasiMuhusika kasema anakunywa bia. Wala sio mlevi. Kuna mnywaji na mlevi. Tofautisha hapo
Utoto raha sana.