Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,810
- 15,393
Ni ushauri tu kwa wale wanaopenda kupita humu na kudokoa makala za watu na kuzitupia kwenye blog zao au kwenye magrupu ya Whattsup.
Baada ya kuona makala zangu ninazoweka humu zinasambaa hovyo na wengine wakijidai ni wao ndiyo waandishi wa makala hizo hivi sasa nimesajili makala zangu zote katika taasisi ya haki miliki yaani COPYRIGHT SOCIETY OF TANZANIA (COSOTA).
Kwa hiyo muambizane na muwe makini kuna watu wana kesi ngumu mahakamani sijawahi kuona na kwa bahati nzuri taasisi hii imejaa wasomi wanasheria na siyo wababaishaji.
Mwenye masikio na asikie na mwenye kusoma asome na kuelewa huu ujumbe.
Mzee Mtambuzi.
Baada ya kuona makala zangu ninazoweka humu zinasambaa hovyo na wengine wakijidai ni wao ndiyo waandishi wa makala hizo hivi sasa nimesajili makala zangu zote katika taasisi ya haki miliki yaani COPYRIGHT SOCIETY OF TANZANIA (COSOTA).
Kwa hiyo muambizane na muwe makini kuna watu wana kesi ngumu mahakamani sijawahi kuona na kwa bahati nzuri taasisi hii imejaa wasomi wanasheria na siyo wababaishaji.
Mwenye masikio na asikie na mwenye kusoma asome na kuelewa huu ujumbe.
Mzee Mtambuzi.