son of a teacher
JF-Expert Member
- Jul 30, 2017
- 515
- 1,364
Usisahau kuwachukua shilawadu
Sie wapenzi wa shilawadu pia tushuhudie fumanizi
Sie wapenzi wa shilawadu pia tushuhudie fumanizi
Huyo bosi ni mwanaume anajua uchungu wa mke ,hata ww ungemkubalia labda bosi angekuwa mwanamke hapo sawaHuyu Bossi ni mzaramo anapenda umbeya.Mwambie akishamfumania mkewe amtumie boss video.
Kwa akili hii rafiki yako ataendelea kukusaidia. Hivi umejiuliza ikiwa huyo msaidizi wako na huyo mkeo hawapo JF? Vipi ikiwa wamesoma huu uzi wako?
BTW ni nini kimekuwasha kuja kupost huku ukijua mission not accomplished
AsanteHongera Hongera kwa kua na boss anayejali fumanizi kuliko kazi
Mbona hukuleta mrejeshoAsante
inauma kwa sababu umeweka k kma kipaumbele chakoUtuletee mrejesho after fumanizi mkuu...ila pole buddy...kuchapiwa kusikie tu kwa wenzako..inauma