6WaS9
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 2,426
- 2,784
Ndio guardian/guarantor/mzazi mmoja wapo ulimchuwa ata signMkuu ukisha i print hiyo form kipengele cha mdhamini kina sehem ya kuweka dole gumba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio guardian/guarantor/mzazi mmoja wapo ulimchuwa ata signMkuu ukisha i print hiyo form kipengele cha mdhamini kina sehem ya kuweka dole gumba?
Ndio guardian/guarantor/mzazi mmoja wapo ulimchuwa ata sign
Dogo mzazi wake kama mdhamini yuko mbali. Je mzazi akiwekewa dole gumba pale na mtu mwingine kuna effect?Ndio guardian/guarantor/mzazi mmoja wapo ulimchuwa ata sign
Usiombe mkopo mkuu...niamini Mimi Ni graduateMkuu nisaidieni, ukishai print hiyo form unatakiwa ufanyeje tena, maana wengne wanasema et inakua kama kumbukumbu zako (reference). Hapo EMS unatuma kwenda wapi mbona nilsikia et HESLB wanatumia data za online? Kiufupi sielewi
Weka saini ya kawaida usiweke dole gumbaDogo mzazi wake kama mdhamini yuko mbali. Je mzazi akiwekewa dole gumba pale na mtu mwingine kuna effect?
Shukran mkuu.Weka saini ya kawaida usiweke dole gumba