Habari wakuu,
Katika maisha sisi tunaotongoza hukubaliwa au kukataliwa hii haina ubishi, sasa nimeoa kwa ndoa ya kanisani kabisa lakini ajabu ni kwamba wale waliokuwa matawi na hawanitaki sasa wananitaka
Wakuu hivi hili suala kiutalamu nalihandle vipi au ndio niwamalize maana nikifikiria penzi lote lipo kwa ndoa changa hii
Hivi wanawake huwa mnawaza nini baada ya wanaume zenu kuoa halafu ninyi mnabaki mkidanga?
Katika maisha sisi tunaotongoza hukubaliwa au kukataliwa hii haina ubishi, sasa nimeoa kwa ndoa ya kanisani kabisa lakini ajabu ni kwamba wale waliokuwa matawi na hawanitaki sasa wananitaka
Wakuu hivi hili suala kiutalamu nalihandle vipi au ndio niwamalize maana nikifikiria penzi lote lipo kwa ndoa changa hii
Hivi wanawake huwa mnawaza nini baada ya wanaume zenu kuoa halafu ninyi mnabaki mkidanga?