Nashangaa moderaters kuuacha huu uzi.Nasikitika hadi Kushangaa kuona Watanzania tukijikita zaidi katika Kupambana na Rushwa ya Ngono kwa Wahadhiri wa Chuo dhidi ya Wanafunzi wa Kike Vyuoni huku tukilisahau eneo lingine Muhimu.
Sasa leo nawataarifu kama kuna Sekta ambayo kwa miaka ya hivi karibuni kama Miaka Kumi inaongoza kwa Watendaji wake Kupenda Rushwa ya Ngono ni ya Tiba / Udaktari ambapo Madaktari wengi wa Kiume wanaongoza Kuwalala Mabinti na Wanawake wenye Changamoto za Kiafya na hawana Pesa huko Mahospitalini.
Vitengo ambavyo Vinaongoza kwa Madaktari kupenda Rushwa ya Ngono kwa Wagonjwa wa Kike au Wanawake ni vya Meno, Ganzi na Uzazi ambapo kwa wale Mabinti waliopata Ujauzito na hawana Pesa za Kulipia ili Kuitoa hulazimika Kutoa Uroda / Rushwa ya Ngono ili wapate Unafuu wa Kutolewa.
Pia kuna Wanawake tena hasa Wake za Watu ambao hubeba Mimba za Mahawara zao hivyo hulazimika kwenda kwa Madaktari Kuzitoa na katika hali ya Kuficha Siri au hata na Wao kutokuwa na Pesa za Kutosha hulazimika Kujirahisi kwa Madaktari wa Kiume ili walale nao na wapate Unafuu wa Kusaidiwa.
Tatizo hili la Rushwa ya Ngono lilipuuzwa na Kufumbiwa macho na Wadau ila sasa limeshaota Mizizi na kama kuna sehemu inayoongoza kwa Rushwa ya Ngono sasa nchini ni Mahospitalini na huko Vyuoni naona mnawaonea tu fanyeni upesi Uchunguzi wenu juu ya hili na najua mtakubaliana nami.
Tena kwa wale Mabinti au Wanawake ambao hutakiwa na Madaktari wakiwa Mahospitalini hulazimika Kupigwa Sindano za Ganzi kama sehemu ya Kuanza kwa Tiba zao ambapo wakishaanza Kusinzia tu kwa Dawa kuwaingia vyema Madaktari nao hufungua Zipu zao na Kuwaingizia Mibolo yao na wakimaliza huendelea Kuwatibu ambapo wakimaliza na Mgonjwa Kuamka Usingizini hukijuta Manii zimetawala katika Sehemu zao za Siri ambapo wengi wao huona Aibu Kuhoji na huamua Kuuchuna na Kuondoka.
Hospitali za Serikali na Binasfi hawachekani kwa hii Dhambi mbaya na ambayo pia inaenda Kinyume na Maadili ya Udaktari kwa Kulala na Mgonjwa lakini pia si Kitendo cha Kiungwana kwa Binadamu na kujitafutia tu Laana zisizo za lazima kwa Mwenyezi Mungu.
Tegeni Mitego mtawaibua wengi mno!!
Upotoshaji wa aina hii haukubaliki