#COVID19 Baada ya Kumsikiliza na Kumuelewa vyema Dk. Seche Malecela, Kesho najipeleka mwenyewe Kupata Chanjo yangu ya UVIKO 19 niwe salama zaidi

Kuna Watu ambao achilia mbali tu Elimu zao kubwa bali hata uwezo wao mkubwa wa IQ na Kuchambua Masuala ya Kitaalam na Kitaaluma wakisema mambo GENTAMYCINE huwaamini na Kushawishika.

Kwa Ufafanuzi mzuri nilioupata kutoka kwa Mwanamama na Daktari Nguli Seche Malecela ( Mtoto wa Waziri Mkuu Mstaafu Mzee John Samuel Malecela ) kuhusu Chanjo hii ya UVIKO 19 Kesho asubuhi naanza Kuzunguka Hospitalini Kote Mkoani Dar es Salaam ili nikachanjwe nayo.

Nawatakieni kila la kheri wale Wote mnaomuamini Kibwetere aliyechangamka aliyeko Ubungo Mkoani Dar es Salaam ambaye anajinasibu ni Mchunga Kondoo wa Bwana wakati kumbe ni Tapeli tu wa Kiroho na Kiimani huku pia akiwa ni Muigizaji mzuri wa Sinema za Ngono Mitandaoni.

Ahsante sana Rais Samia kwa Chanjo hii.
Hhahaaha, mbavu zangu mie kwa kibwetere
 
Wewe una tofauti gani na aliyesema papai lina corona!
Tatizo vipimo vyenyewe ndio maana si ajabu ukawa na maambukizi ila kipimo kinasoma negative au ukawa huna maambukizi ila kikasoma positive.
 
Asante sana! Mimi nilisema Mweche Malecela kwa makusudi alikwepa kutumia neno mRNA akasema hakuna sehemu ya kirusi kinachoingizwa kwenye seli bali kinachoingia kwe ye seli ni meseji!! Sasa unakataa nini na unakubali nini? Hii meseji ya Mweche ndio mRNA! Na hii meseji ni genetic material! Na siyo kwamba hii mRNA ni artificial hapana! Ila siyo full RNA ya corona. Bali wali -isolate ile sehemu ya RNA inayohusika na utengenezaji wa spike protein (the part which codes for the spike protein). Hii sehemu ndiyo wanayoiingiza kwenye seli ya mtu kupitia chanjo!! Yaani wanaamua kuidanganya seli kuwa hii mRNA imetoka kwenye DNA ya kwake wakati siyo!! Kwa hiyo hii mRNA iliyoingizwa haitatambuliwa kama foreign body!! Unapoanza kuingiza udanganyifu kwenye mfumo wa asili unaweka mazingira ya confusion kwenye mfumo mzima!! Hiyo ndiyo risk ambayo inaletwa na hizi chanjo za mRNA!!
Lakini kingine ni kuwa in a long run mfumo wa seli unaweza kuja kutambua hizo spike protein iliyotengeneza yenyewe kuwa SIYO foreign body, si zimetengenezwa na seli yenyewe!! Ikitokea hivyo, virusi wote jamii ya corona wenye spike proteins hawatatambuliwa na seli kama foreign body, kwa hiyo haitajaribu kutengeneza askari (antibodies) chidi yao maana imewatengeneza yenyewe!! Ikitokea hivyo mwili utakuwa na kinga sifuri dhidi ya virus hao na mtu lazima afe haraka!! Hii ndiyo risk kubwa kuliko zote! Ndiyo maana hii chanjo haiwezi kumkinga mtu asiambukizwe tena, maana mfumo wa ulinzi utaona spike protein ya corona kuwa ni ndugu! Hivyo kulazimu kutengeneza chanjo nyingine kama booster!! Mwisho wa siku mfumo wa kawaida wa asili wa kinga kushindwa kufanya kazi kabisa!! Hii ni hatari sana!
Mwisho ni kuwa kuna shaka kuwa kwenye chanjo ya corona kumepandikizwa vitu vingine ambavyo havihusiki kabisa na chanjo kutoka kwa watu wa new world order kina Bill Gate!! Side effect kama mkono kuwa magnetized (kuwa kama sumaku na kunasa vitu vidogo vya chuma) nk huwezi khvieleza kwa sayansi ya mRNA! For sure there is something fishy!! Wengine mkono unawasha bulb ndogo!! Hivi vitu vimewatokea baadhi ya watu na wameshuhudia na kusema laiti wangejua watakuwa hivyo wasingekubali kuchanjwa!!

Shukrani sana kwa ufafanuzi wako wenye mshiko - unayo yasema ni sahihi kabisa - kinacho shangaza hapa Big Pharma Companies zinazo zalisha chanjo hizi kwa kufadhiliwa kwa kiasi kikubwa na mabilionea wenye ajenda zao za siri, wao wamejenga mshikamano wa kuhakikisha wanashinikiza chanjo zao zikubalike ingawa kusema kweli bado ni experimental vaccines kutokana na teknolojia iliyo tumiwa kuzizalisha - wao wameungana kutimiza malengo yao,lakini wanao chanjwa hawana umoja was kuhoji makampuni ya magharibi yanayo zalisha chanjo zenye changa moto ambazo hazieleweki vizuri

Kila mtu mwenye kuelewa mambo anajuwa kwamba mbinu za uzalishaji wa chanjo za mRNA sijui na chanjo za vector kitu gani sijui zote ni genetically manipulated all are equally CHIMERAS! Mbinu za uzalishaji wa chanjo hizo haujawahi kutumika popote Duniani kuzalisha chanjo tulizo zoea miaka nenda rudi. Sasa W.H.O kuganganiza/lazimisha Dunia kutumia ya chanjo hizi madhara yake ndio tumeanza kuyasikia kwa baadhi ya watu Duniani waliochanjwa chanjo ambazo hazikuwahi kufanyiwa majaribio ya muda mrefu Dunia ikaridhika kwamba hazina walakini, nani ambaye hajui kwamba mpaka chanjo zikubalike chanjo no lazima zipitie kwenye majaribio ya muda mrefu kabla hazijaingizwa sokoni,je hilo lilifanyika, jibu ni hapana. Sasa swali ni: kwa nini chanjo hizi za kutumia teknolojia ya mRNA zimeharakishwa kuingizwa sokoni kwa matumizi - kuna nini nyuma ya pazia - ukihoji maswali yenye lengo zuri unabezwa bezwa na kupachikwa majina ya ajabu ajabu - hawataki kabisa kuhojiwa burning issues.

Cha kujiuliza tena hapa ni: Mbona Mataifa zaidi ya 60 (sitini) yanayo tumia chanjo za Uchina zinazo zalishwa kwa kutumia traditional techniques/method, mbona hatujawahi kusikia watu walio dungwa chanjo za Kichina au Urusi wanakufa ghafla, damu kuganda kwenye mishipa, kuvimba moyo,Neva kushindwa kusafirisha umeme, stroke, baadhi ya akina mama wanao nyonyesha wakajikuta baadhi ya watoto wao wamekumbwa na tatizo la inflammation kwenye mapafu - list ya after effect za chanjo za mRNA ni tall order kusema kweli.

Bottom line is: Mataifa yote Duniani yawe na mshikamano washikize W.H.O pamoja na Big Pharma Companies kwamba wasitishe chanjo hizi za magharibi na kushikiza Viwanda aidha vifungwe au vizalishe chanjo kwa njia ya asili wawaige wenzao wa Uchina na Urusi - hizi mbinu zao za kuzalisha chanjo kwa njia ya kumanipulate/tinker around genes yatakuja kuleta balaa Dunia hisipo kuwa makini. Hayo ni maoni yangu, I might be wrong - tujali usalama kwanza which is the most important thing .
 
Vipi ule ugonjwa hatari wa Zika uliogunduliwa Morogoro, Mbona huyo mtaalamu hajatuambia ilifikia wapi, aisee kweli Mabeberu wametubrainwash, huyo mtaalamu toka afurushwe ni ngumu sana kuaminika labda wewe utushawishi.
 
Dhana ya hiari inahitaji utahira kueleweka, ugumu wa hiari uko wapi?kwanza kwa nini imekuwa hiari?kuna hoja kadha wa kadha kuhusu hiari?na je, hii dhana ya ushawishi na mijadala chachu yake ni nini? Ukiwa hai ni mjanja, ukifa ni fala, huu upendo umetoka wapi, kama hawataki tozo wahamie burundi na chanjo ni uhuru waamue kwenda kuzimu au kubaki na tozo za Samia.
 
:D :D :D nikijua bado unaanda majibu. Ngoja niitafute.
🤣 🤣 🤣... wala sikuwahi kuisoma, manake baada ya kuona notification, nikaanza kuifungua! Hapo hapo nikapata message "you're not allowed so and so..."!
 
Kuna Watu ambao achilia mbali tu Elimu zao kubwa bali hata uwezo wao mkubwa wa IQ na Kuchambua Masuala ya Kitaalam na Kitaaluma wakisema mambo GENTAMYCINE huwaamini na Kushawishika.

Kwa Ufafanuzi mzuri nilioupata kutoka kwa Mwanamama na Daktari Nguli Seche Malecela ( Mtoto wa Waziri Mkuu Mstaafu Mzee John Samuel Malecela ) kuhusu Chanjo hii ya UVIKO 19 Kesho asubuhi naanza Kuzunguka Hospitalini Kote Mkoani Dar es Salaam ili nikachanjwe nayo.

Nawatakieni kila la kheri wale Wote mnaomuamini Kibwetere aliyechangamka aliyeko Ubungo Mkoani Dar es Salaam ambaye anajinasibu ni Mchunga Kondoo wa Bwana wakati kumbe ni Tapeli tu wa Kiroho na Kiimani huku pia akiwa ni Muigizaji mzuri wa Sinema za Ngono Mitandaoni.

Ahsante sana Rais Samia kwa Chanjo hii.
What if she is wrong?!

Mtu hajawahi tengeneza hata antibiotic..hata technology ya kutengeneza chanjo hajui formula yake hata hizo lab hajawahi ingia anaishia kuona kwa picha..

Tuishie kusema hv jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza..chanjo ni imani..tunawaamini wazungu hawana jambo baya na sisi wanataka kutukinga au laah kutufanyia majaribio
 
Shukrani sana kwa ufafanuzi wako wenye mshiko - unayo yasema ni sahihi kabisa - kinacho shangaza hapa Big Pharma Companies zinazo zalisha chanjo hizi kwa kufadhiliwa kwa kiasi kikubwa na mabilionea wenye ajenda zao za siri, wao wamejenga mshikamano wa kuhakikisha wanashinikiza chanjo zao zikubalike ingawa kusema kweli bado ni experimental vaccines kutokana na teknolojia iliyo tumiwa kuzizalisha - wao wameungana kutimiza malengo yao,lakini wanao chanjwa hawana umoja was kuhoji makampuni ya magharibi yanayo zalisha chanjo zenye changa moto ambazo hazieleweki vizuri

Kila mtu mwenye kuelewa mambo anajuwa kwamba mbinu za uzalishaji wa chanjo za mRNA sijui na chanjo za vector kitu gani sijui zote ni genetically manipulated all are equally CHIMERAS! Mbinu za uzalishaji wa chanjo hizo haujawahi kutumika popote Duniani kuzalisha chanjo tulizo zoea miaka nenda rudi. Sasa W.H.O kuganganiza/lazimisha Dunia kutumia ya chanjo hizi madhara yake ndio tumeanza kuyasikia kwa baadhi ya watu Duniani waliochanjwa chanjo ambazo hazikuwahi kufanyiwa majaribio ya muda mrefu Dunia ikaridhika kwamba hazina walakini, nani ambaye hajui kwamba mpaka chanjo zikubalike chanjo no lazima zipitie kwenye majaribio ya muda mrefu kabla hazijaingizwa sokoni,je hilo lilifanyika, jibu ni hapana. Sasa swali ni: kwa nini chanjo hizi za kutumia teknolojia ya mRNA zimeharakishwa kuingizwa sokoni kwa matumizi - kuna nini nyuma ya pazia - ukihoji maswali yenye lengo zuri unabezwa bezwa na kupachikwa majina ya ajabu ajabu - hawataki kabisa kuhojiwa burning issues.

Cha kujiuliza tena hapa ni: Mbona Mataifa zaidi ya 60 (sitini) yanayo tumia chanjo za Uchina zinazo zalishwa kwa kutumia traditional techniques/method, mbona hatujawahi kusikia watu walio dungwa chanjo za Kichina au Urusi wanakufa ghafla, damu kuganda kwenye mishipa, kuvimba moyo,Neva kushindwa kusafirisha umeme, stroke, baadhi ya akina mama wanao nyonyesha wakajikuta baadhi ya watoto wao wamekumbwa na tatizo la inflammation kwenye mapafu - list ya after effect za chanjo za mRNA ni tall order kusema kweli.

Bottom line is: Mataifa yote Duniani yawe na mshikamano washikize W.H.O pamoja na Big Pharma Companies kwamba wasitishe chanjo hizi za magharibi na kushikiza Viwanda aidha vifungwe au vizalishe chanjo kwa njia ya asili wawaige wenzao wa Uchina na Urusi - hizi mbinu zao za kuzalisha chanjo kwa njia ya kumanipulate/tinker around genes yatakuja kuleta balaa Dunia hisipo kuwa makini. Hayo ni maoni yangu, I might be wrong - tujali usalama kwanza which is the most important thing .

mkuu umeeleza vizuri sana... tatizo watu hawahoji..wanakuwa emotional tu..
 
🤣 🤣 🤣... wala sikuwahi kuisoma, manake baada ya kuona notification, nikaanza kuifungua! Hapo hapo nikapata message "you're not allowed so and so..."!
Naona/nadhani moderators hawakufurahishwa na mswali yangu kwako yalikuwa maswali ambayo nadhani majibu yake ungemaliza page nzima ya uzi, ha hahaaa! (joking anyway kuhusu page).

Naogopa kuyauliza tena hapa wanaweza kunilima ban, maana siwaelewi siku hizi.
 
Kuna Watu ambao achilia mbali tu Elimu zao kubwa bali hata uwezo wao mkubwa wa IQ na Kuchambua Masuala ya Kitaalam na Kitaaluma wakisema mambo GENTAMYCINE huwaamini na Kushawishika.

Kwa Ufafanuzi mzuri nilioupata kutoka kwa Mwanamama na Daktari Nguli Seche Malecela ( Mtoto wa Waziri Mkuu Mstaafu Mzee John Samuel Malecela ) kuhusu Chanjo hii ya UVIKO 19 Kesho asubuhi naanza Kuzunguka Hospitalini Kote Mkoani Dar es Salaam ili nikachanjwe nayo.

Nawatakieni kila la kheri wale Wote mnaomuamini Kibwetere aliyechangamka aliyeko Ubungo Mkoani Dar es Salaam ambaye anajinasibu ni Mchunga Kondoo wa Bwana wakati kumbe ni Tapeli tu wa Kiroho na Kiimani huku pia akiwa ni Muigizaji mzuri wa Sinema za Ngono Mitandaoni.

Ahsante sana Rais Samia kwa Chanjo hii.
TUPE MREJESHO BAADA YA KUCHANJA MKUU
 
Back
Top Bottom