#COVID19 Baada ya Kumsikiliza na Kumuelewa vyema Dk. Seche Malecela, Kesho najipeleka mwenyewe Kupata Chanjo yangu ya UVIKO 19 niwe salama zaidi

Unakunywa pombe kila siku hujachunguza madhara ya pombe.

Unavuta sigara kila siku, hujachunguza madhara ya sigara.

Unapasha chakula kwenye microwave kila siku- huna wahi kuchunguza athari za mionzi.

Unapigwa na jua kila siku- hujachunguza madhara ya mionzi ya jua kwenye ngozi.

Unavuta polluted air kila siku

Condom hujui hata bei yake.
Wasiovuta sigara na kunywa pombe kwa kuogopa madhara yake wana haki ya kuogopa madhara ya chanjo?
 
Unakunywa pombe kila siku hujachunguza madhara ya pombe.

Unavuta sigara kila siku, hujachunguza madhara ya sigara.

Unapasha chakula kwenye microwave kila siku- huna wahi kuchunguza athari za mionzi.

Unapigwa na jua kila siku- hujachunguza madhara ya mionzi ya jua kwenye ngozi.

Unavuta polluted air kila siku

Condom hujui hata bei yake.

Halafu wanashupaza shingo kwamba wazungu wanataka kutuua kwenye chanjo wakati mambo wanayofanya ni zaidi ya kujiua wao wenyewe.
 
Ndugu yangu !!Afya yako ni muhimu sana.Ili jambo jambo halihitaji kukurupuka.Kwa sasa tuna bahati sana.Habari zote zipo Kiganjani mwetu.Sawa umemsikia Dr Malechela.

Lakin pia umesikia taarifa za huko USA jana ijumaa?Asilimia 75 ya waliochoma chanjo wanaumwa Covid serious. CDC imesema kati ya hao wengine walichoma chanjo mbili.Huu muda watanzania tujitahid kusoma taarifa Mara kwa Mara.Sio kama zamani tulivyodanganywa.
Wewe una tofauti gani na aliyesema papai lina corona!
 
Kwa hiyo mwenda zake ana wafuasi wengi sana kwa mimilioni hapa tz tofauti na mlivyokuwa mnasema kwamba anachukiwa sana?
Nimekuambia ana kundi kubwa la wajinga!! Kwahiyo kama kuwa na kundi kubwa la wajinga ni suala la kujivunia, then the answer is YES, Magu ana wafuasi wengi ambao majority ni wajinga watakaokubali kila wanachoambiwa!!

Na hili kundi kubwa la wajinga ndio mtaji mkuu wa CCM... hili mbona lipo wazi muda mrefu tu?!
 
Nimekuambia ana kundi kubwa la wajinga!! Kwahiyo kama kuwa na kundi kubwa la wajinga ni suala la kujivunia, then the answer is YES, Magu ana wafuasi wengi ambao majority ni wajinga watakaokubali kila wanachoambiwa!!

Na hili kundi kubwa la wajinga ndio mtaji mkuu wa CCM... hili mbona lipo wazi muda mrefu tu?!
Ok.

Sasa kundi la werevu mko wapi mkamalize hizo dozi milioni 1 chap?

Ina maana werevu hapa tz hawazidi hata milioni 1 katika watu milioni 60?

Basi mwenda zake ana kundi kubwa sana!
 
Ok.

Sasa kundi la werevu mko wapi mkamalize hizo dozi milioni 1 chap?
Ina maana werevu hapa tz hawazidi hata milioni 1 katika watu milioni 60?

Basi mwenda zake ana kundi kubwa sana!
Kama nilivyosema mara kadhaa... tatizo lenu source yenu ya habari ni Internet Hoax pamoja na Gwajima, na matokeo yake hamjui what's going on in a real world!!

What's going on in a real world, ni hiki hapa:-
Chanjo.png


Sasa hiyo sarcastic argument uliyoanza kuitoa tangu janahuku mwenyewe ukihisi ni bonge la hoja hivi unaamini ina mashiko kweli wakati chanjo yenyewe haijaanza kutolewa kwa public?
 
Kama nilivyosema mara kadhaa... tatizo lenu source yenu ya habari ni Internet Hoax pamoja na Gwajima, na matokeo yake hamjui what's going on in a real world!!

What's going on in a real world, ni hiki hapa:-
View attachment 1876705

Sasa hiyo sarcastic argument uliyoanza kuitoa tangu janahuku mwenyewe ukihisi ni bonge la hoja hivi unaamini ina mashiko kweli wakati chanjo yenyewe haijaanza kutolewa kwa public?
Kwa hiyo nyie werevu kesho mtakimbilia na kuimaliza chap?
 
Kwa hiyo nyie werevu kesho mtakimbilia na kuimaliza chap?
Kwa mtindo huu, una haki zako za kuwa Mfuasi wa Gwajima...

Mosi, nimegundua sio mfuatiliaji wa habari kutoka credible sources,

Pili, una papara ya kusoma... taarifa inasema August... sasa kwani kesho ni August 03 mzee?!

But all in all, sitaenda kwa sababu, mosi, kwa sasa nimesafiri, but good enough, tayari nimeshachanja!!

Lakini hata kama ningekuwasijasafiri, bado nisingeenda kuchanja kwa sababu awamu hii chanjo haitatolewa kwa kila mmoja, nami si miongoni mwa wale waliopewa first priority!!

Chanjo2.png
 
Wengi wetu hatuna utamaduni wa kufatilia habari na mambo ya msingi.

Mwaka 2015 Wizara ya Afya ya Tz ilitutahadharisha kuhusu kirusi cha Corona kilochokuwa kimeshambulia Asia mwaka 2014. SOMA HAPA.

Na hapa JF taarifa ililetwa. Coronavirus disease: Mnaujua huu ugonjwa? SOMA HAPA

Mwaka 2013 Wizara ya Afya ilishatutaka tujihadhari na kirusi cha Corona kilichoshambulia Asia mwaka 2012
Taarifa ya wizara hii hapa. SOMA HAPA

Mwaka 2002 ugonjwa wa Corona ulipiga Asia hasa China. SOMA HAPA

Mkuu, ugonjwa ulikuwepo hata kabla ya hizo hotuba. Hata Wizara ya Afya ya Tanzania ilikuwa na taarifa hizo.

Kwanza mkuu hakuna kirusi kinachoitwa Covid kama ulivyokitaja. Najua umepitiwa kidogo. Kirusi cha sasa kinaitwa SARS-CoV-2 kilichoibuka mwaka 2019, kinafanana kwa 86% na SARS-CoV-1 kilichoibukia China mwaka 2002.

Familia ya virusi vya Corona inafanana sana. Vipo vinavyofanana hadi kwa 96% mfano hiki kinachosumbua sasa SARS-Cov-2 na RaTG13. So, study iliyoanza mwaka 2003 ingeweza kutoa dira hata kwa SARS-COV-2 na jamii nyingine ya Corona Virus.
Mkuu nakubaliana na sehemu ya mwanzo ya hii post yako ya mwisho kwamba Sars cov2 kiliibuka 2019 na kusababisha ugonjwa huu wa covid 19 tunaohangaika nao leo hii.(covid inayosababishwa na sars cov2 haikuwepo before 2019).

Sasa huoni hizo post zako hapo juu zinapingana na hiyo post yako ya mwisho hapo?

Kuhusu sentensi yangu ya "kirusi cha covid" labda hujaelewa mantiki ya sentensi kumaanisha "kirusi kinachosababisha ugonjwa wa covid".
Naeleweka na watu wengi nikisema covid virus kuliko Sars cov 2 as long as content ya post yangu uliyoquote ilihusu covid 19 virus.

Virusi vya corona vina similarities zake lakini pia tofauti ambazo ni very significant.

Vipo ambavyo ni less harmful lakini pia vipo ambavyo ni very hamrful na hasa vile ambavyo mwanzoni vilikuwa kwa wanyama bila uwezo wa kuambukiza kwa binadamu lakini baadae katika mazingira yanayoviwezesha kubadilika structure vikapata njia ya kumwingia binadamu(zoonotic viruses) kama Sars cov1,Mers,Sars cov 2.

Hiyo post uliyoniquote niliposema covid virus(covid 19 au Sars-cov-2) ni kitu kigeni na kinahitaji muda wa kutosha kukielewa nilimaanisha hoja hiyo hapo juu,kwamba zoonotic virus ambaye hajawahi kuwepo(katika form aliyo nayo sasa) before 2019 na shughuli aliyotuletea jinsi inavyotuhenyesha inaonyesha hizo research za coronavirus before 2019 unazosema hazijatusaidia sana maana tunadeal na kitu tofauti hakikuwepo kwenye nature katika hali kilivyo sasa ndani ya binadamu(kimemutate kuaccomodate human host na kuwa a new strain).Ni strain mpya ya coronavirus,inatusumbua na tunahitaji muda kuielewa vizuri na sio kurukia conclusions haraka haraka bila kujiridhisha.
Kinachoendelea duniani kinaprove my point.
 
Ndugu yangu !!Afya yako ni muhimu sana.Ili jambo jambo halihitaji kukurupuka.Kwa sasa tuna bahati sana.Habari zote zipo Kiganjani mwetu.Sawa umemsikia Dr Malechela.

Lakin pia umesikia taarifa za huko USA jana ijumaa?Asilimia 75 ya waliochoma chanjo wanaumwa Covid serious. CDC imesema kati ya hao wengine walichoma chanjo mbili.Huu muda watanzania tujitahid kusoma taarifa Mara kwa Mara.Sio kama zamani tulivyodanganywa.
Weka source inayosema “asilimia 75 ya waliochoma chanjo wanaumwa COVID serious”.
 
Ndugu yangu !!Afya yako ni muhimu sana.Ili jambo jambo halihitaji kukurupuka.Kwa sasa tuna bahati sana.Habari zote zipo Kiganjani mwetu.Sawa umemsikia Dr Malechela.

Lakin pia umesikia taarifa za huko USA jana ijumaa?Asilimia 75 ya waliochoma chanjo wanaumwa Covid serious. CDC imesema kati ya hao wengine walichoma chanjo mbili.Huu muda watanzania tujitahid kusoma taarifa Mara kwa Mara.Sio kama zamani tulivyodanganywa.
Si kweli,,wamarekani 250,wamechanja haiwezekani asilimia 75% wakawa serious ill
 
Wewe unaonekana una akili za kimwendazake, baada ya kuweka hapa hiyo taarifa. Au unataka nani aisambaze ili watu wengine uwaokoe. Maana hata yule marehemu alikuwa anaropoka mapovu bila kuwa na evidence.
Lini walijibu hoja zake hiyo ubayesema alikuwa anaropoka tu? Muacheni Magu kitabu chake kilishafungwa.
 
Back
Top Bottom