GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,542
- 108,852
- Thread starter
- #121
Tokea uharibiwe Nyabe umekuwa Mad.Genta haujawahi post cha maana.
Tokea uharibiwe Nyabe umekuwa Mad.Genta haujawahi post cha maana.
Jua halina madhara kwa Muafrika ambapo jua huwaka masaa 12 kila siku . Wadhungu ndio linawadhuru kutokana na mazingira ya kwaoUnakunywa pombe kila siku hujachunguza madhara ya pombe.
Unavuta sigara kila siku, hujachunguza madhara ya sigara.
Unapasha chakula kwenye microwave kila siku- huna wahi kuchunguza athari za mionzi.
Unapigwa na jua kila siku- hujachunguza madhara ya mionzi ya jua kwenye ngozi.
Unavuta polluted air kila siku
Condom hujui hata bei yake.
Mimi bado nina mashaka sana na aliyoyasema kuhusu chimbuko la hii chanjo:-Kuna Watu ambao achilia mbali tu Elimu zao kubwa bali hata uwezo wao mkubwa wa IQ na Kuchambua Masuala ya Kitaalam na Kitaaluma wakisema mambo GENTAMYCINE huwaamini na Kushawishika.
Kwa Ufafanuzi mzuri nilioupata kutoka kwa Mwanamama na Daktari Nguli Seche Malecela ( Mtoto wa Waziri Mkuu Mstaafu Mzee John Samuel Malecela ) kuhusu Chanjo hii ya UVIKO 19 Kesho asubuhi naanza Kuzunguka Hospitalini Kote Mkoani Dar es Salaam ili nikachanjwe nayo.
Nawatakieni kila la kheri wale Wote mnaomuamini Kibwetere aliyechangamka aliyeko Ubungo Mkoani Dar es Salaam ambaye anajinasibu ni Mchunga Kondoo wa Bwana wakati kumbe ni Tapeli tu wa Kiroho na Kiimani huku pia akiwa ni Muigizaji mzuri wa Sinema za Ngono Mitandaoni.
Ahsante sana Rais Samia kwa Chanjo hii.
Na inakuwaje pia unanifuatilia 24/7 JF?Kati ya watu ninaowapuuza JF ni wewe GENTAMYCINE.
Akikujibu naomba Unitagi Mkuu wangu.Lakini unamfuatilia na kusoma post zake zote!
Pitia clinical authorities publications za chanzo, Gwajima yupo sawa kabisa, ila kuchanja ni hiari.Kuna Watu ambao achilia mbali tu Elimu zao kubwa bali hata uwezo wao mkubwa wa IQ na Kuchambua Masuala ya Kitaalam na Kitaaluma wakisema mambo GENTAMYCINE huwaamini na Kushawishika.
Kwa Ufafanuzi mzuri nilioupata kutoka kwa Mwanamama na Daktari Nguli Seche Malecela ( Mtoto wa Waziri Mkuu Mstaafu Mzee John Samuel Malecela ) kuhusu Chanjo hii ya UVIKO 19 Kesho asubuhi naanza Kuzunguka Hospitalini Kote Mkoani Dar es Salaam ili nikachanjwe nayo.
Nawatakieni kila la kheri wale Wote mnaomuamini Kibwetere aliyechangamka aliyeko Ubungo Mkoani Dar es Salaam ambaye anajinasibu ni Mchunga Kondoo wa Bwana wakati kumbe ni Tapeli tu wa Kiroho na Kiimani huku pia akiwa ni Muigizaji mzuri wa Sinema za Ngono Mitandaoni.
Ahsante sana Rais Samia kwa Chanjo hii.
Ukimsikiliza kwa makini Dr. Mwele, halafu ukasikiliza hotuba ya Bush ya 2005 na ya Obama ya 2008 kuhusu flue like pandemic, ni uthibitisho kuwa covid19 pandemic ni tukio la kupangwa, kwa hiyo everything is hoax, and the chanjo is just like a mouse trap.Mimi bado nina mashaka sana na aliyoyasema kuhusu chimbuko la hii chanjo:-
1. Kwanini wataalamu wengine wakiwemo waliotengeneza hizi chanjo hawajawahi kusema kwamba chimbuko la chanjo yao ni utafiti wa huyo mwanasayansi wa tangu 2003!?
2. Kama kweli aliyoyasema ni sahihi kwamba hii chanjo utafiti wake ni mwendelezo wa utafiti ulioanza 2003 na hauhusishi vimelea vya kirusi cha corona kwanini huo ufafanuzi usitolewe na WHO wenyewe ili kuhamasisha jamii zichanjwe maana inaonekana itakuwa chanjo salama zaidi kuwahi kutokea duniani
3. Kwanini asijibu na hoja ya chanjo za magonjwa mengine Kama HIV na Maralia kushindikana hadi leo japo ugonjwa upo siku nyingi na huu wa corona wa juzi tu imewezekana!?
Mkuu, ugonjwa ulikuwepo hata kabla ya hizo hotuba. Hata Wizara ya Afya ya Tanzania ilikuwa na taarifa hizo.Ukimsikiliza kwa makini Dr. Mwele, halafu ukasikiliza hotuba ya Bush ya 2005 na ya Obama ya 2008 kuhusu flue like pandemic, ni uthibitisho kuwa covid19 pandemic ni tukio la kupangwa, kwa hiyo everything is hoax, and the chanjo is just like a mouse trap.
Sasa kama ulikuwepo toka kipindi hicho mbona haukuwa tishio kama hivi Sasa?Mkuu, ugonjwa ulikuwepo hata kabla ya hizo hotuba. Hata Wizara ya Afya ya Tanzania ilikuwa na taarifa hizo.
US imeachanja zaidi ya raia milion 300 ,una maanisha asilimia 75% ya hao wamepata covid19? Chanzo cha hii habari yako ni kipi?Ndugu yangu !!Afya yako ni muhimu sana.Ili jambo jambo halihitaji kukurupuka.Kwa sasa tuna bahati sana.Habari zote zipo Kiganjani mwetu.Sawa umemsikia Dr Malechela.
Lakin pia umesikia taarifa za huko USA jana ijumaa?Asilimia 75 ya waliochoma chanjo wanaumwa Covid serious. CDC imesema kati ya hao wengine walichoma chanjo mbili.Huu muda watanzania tujitahid kusoma taarifa Mara kwa Mara.Sio kama zamani tulivyodanganywa.
Mkuu nadhani ile ilikuwa Sars cov1.Hii ya sasa ni Sars cov 2 ingawa zote ni jamii za coronavirus ila zina utofauti kidogo.Hii ya sasa haijawahi kuwa contagious kwa binadamu kabla ya Wuhan cases.Mkuu, ugonjwa ulikuwepo hata kabla ya hizo hotuba. Hata Wizara ya Afya ya Tanzania ilikuwa na taarifa hizo.
Masikin wewe ukute hata akaunti yako benk inasoma 0.86 unajifanya ujuaji**** ya mama yako ndio takataka.
Ni kweli mkuu. Kirusi cha Corona ni familia kubwa, ndani yake kuna mamia ya virusi vya Corona ambavyo vimegawanywa katika familia ndogo kuu 4 na zote zinafahamika, hivyo kiongozi anaweza toa tahadhari ya kesho.Mkuu nadhani ile ilikuwa Sars cov1.Hii ya sasa ni Sars cov 2 ingawa zote ni jamii za coronavirus ila zina utofauti kidogo.Hii ya sasa haijawahi kuwa contagious kwa binadamu kabla ya Wuhan cases.
umeenda vyema lakin Tatizi limeanzia hapaNawatakieni kila la kheri wale Wote mnaomuamini Kibwetere aliyechangamka aliyeko Ubungo Mkoani Dar es Salaam ambaye anajinasibu ni Mchunga Kondoo wa Bwana wakati kumbe ni Tapeli tu wa Kiroho na Kiimani huku pia akiwa ni Muigizaji mzuri wa Sinema za Ngono Mitandaoni.
Kwanza mkuu hakuna kirusi kinachoitwa Covid kama ulivyokitaja. Najua umepitiwa kidogo. Kirusi cha sasa kinaitwa SARS-CoV-2 kilichoibuka mwaka 2019, kinafanana kwa 86% na SARS-CoV-1 kilichoibukia China mwaka 2002.Kirusi cha covid kimegunduliwa mwaka 2019.Kabla ya hapo kilionekana kwa popo kikiwa hakina uwezo wa kuhamia kwa human host.
So hili ni somo jipya kwa wanasayansi ambalo lilihitaji muda wa kutosha kuelewa nini kinaendelea kwa mgeni huyu kuingia kwa binadamu.
Safi sana mkuu,sema hawa watu wameaminishwa vibaya,so kuelewa somo sio kazi rahisi,wanaishi kwa hisia na sio kwa uhalisia.Kwanza mkuu hakuna kirusi kinachoitwa Covid kama ulivyokitaja. Kirusi cha sasa kinaitwa SARS-CoV-2 cha 2019, kinafanana kwa 86% na SARS-CoV-1 kilichoibukia China mwaka 2002. Familia ya virusi vya Corona inafanana sana. Vipo vinavyofanana hadi kwa 96% mfano RaTG13. So, study iliyoanza mwaka 2013 ingeweza kutoa dira hata kwa SARS-COV-2 na jamii nyingine ya Corona Virus.
Si kesho jumatatu ndio rasmi wanaanza, chanjo Ni muhimu Sana!Kuna Watu ambao achilia mbali tu Elimu zao kubwa bali hata uwezo wao mkubwa wa IQ na Kuchambua Masuala ya Kitaalam na Kitaaluma wakisema mambo GENTAMYCINE huwaamini na Kushawishika.
Kwa Ufafanuzi mzuri nilioupata kutoka kwa Mwanamama na Daktari Nguli Seche Malecela ( Mtoto wa Waziri Mkuu Mstaafu Mzee John Samuel Malecela ) kuhusu Chanjo hii ya UVIKO 19 Kesho asubuhi naanza Kuzunguka Hospitalini Kote Mkoani Dar es Salaam ili nikachanjwe nayo.
Nawatakieni kila la kheri wale Wote mnaomuamini Kibwetere aliyechangamka aliyeko Ubungo Mkoani Dar es Salaam ambaye anajinasibu ni Mchunga Kondoo wa Bwana wakati kumbe ni Tapeli tu wa Kiroho na Kiimani huku pia akiwa ni Muigizaji mzuri wa Sinema za Ngono Mitandaoni.
Ahsante sana Rais Samia kwa Chanjo hii.
Mungu akubariki sana Farolito .Tuna watu wa ajabu sana,mtu anakwambia hio ndio Chapa ya 666,kwahio ukiikwepa unasubiri kunyakuliwa na Yesu,mtu anasema hayo yupo baa analewa baadae anatafuta Malaya halafu anasema anasubiri kunyakuliwa.
Amesahau kwamba kuna amri kumi za Mungu.