#COVID19 Baada ya Kumsikiliza na Kumuelewa vyema Dk. Seche Malecela, Kesho najipeleka mwenyewe Kupata Chanjo yangu ya UVIKO 19 niwe salama zaidi

Huyu Seche Malecela kwa makusudi kabisa ameamua kupotosha. Kwa makusudi ameamua kutokuongelea hoja za msingi na kujikita zaici kutetea kwa nini chanjo ya corona imepatikana haraka!!
Kwa kifupi amesema ni kwa kwa kuwa corona inafanana na virusi vingine vya Sars ambavyo utafiti wake ulikuwa tayari umefanyika. Pamoja na hayo ni stage moja tu ya exploratory ndiyo ingekuwa imefanyika. Lakini pre-clinical testing ya angalau miaka miwili ilikuwa bado, pia clinical testing ya miaka angalau 4 ilikuwa bado nk. Kwa vyovyote vile hakuna chanjo ya kuchukua miezi tu kukamilika!
Lakini mbaya zaidi sayansi ya chanjo yenyewe ameipotosha nadhani ni kwa makusudi!! Kwa makusudi amekwepa neno messenger RNA ( mRNA). Ni kweli haingizwi mdudu mwilini lakini inaingizwa mRNA. mRNA hupeleka message kwenye vinasaba (DNA) ambavyo ndio huhusika na utengenezaji wa protein kwa mujibu wa message iliyoingizwa kwenye seli kupitia hiyo mRNA!! Anadai hakuna kitu kinachoingizwa kwenye DNA huo ni uongo!! Kinachoingizwa kwenye DNA kipo, ni hiyo message iliyobebwa na DNA. Katika harakati za DNA kufanyia kazi message iliyopelekwa kwenye DNA kuna uwezekano wa mutation kutokea! Ikitokea hiyo mutation itaambukiza vizazi vyote vijavyo na hakuna namna ya kurekebisha!! Hiyo ni genetic manipulation kama wafanyavyo kwenye mimea!!
Lakini kingjne ambacho mwele amekikwepa kwa makusudi ni chanjo yenyewe kukosa sifa za chanjo kama zilivyo chanjo zingine!! Chanjo ya ya corona hakukingi na maambukizi mapya, haikuepushi kuwaambukiza wengine, na pia haikusaidii kutokuugua kiasi cha kulazwa hospitalini. Mbaya zaidi kwa taarifa za sasa kabisa toka CDC huko marekani ni kwa asilimia 80 ya wagonjwa waliolazwa walishakamilisha chanjo ya corona!! Hizi ni data mpya zimetoka leo!! Dr Mwele kama wewe umechanjwa pole sisi hatudanganyiki!! Wewe kwa sasa unaishi kwa fadhila za mabeberu huna namna nyingine isipokuwa kutumiwa na mabeberu kwa manufaa yao!! Kwa faida yako soma link hii toka ughaibuni huko huko unakoishi! Namba hazidanganyi

Gentamycin soma post hii na link hii ikunasue na waliopata kitu kidogo ili wasaidie kuwaingiza mkenge watanzania! Kwa mtanzania aliyeko Marekani hana namna ya kukwepa chanjo liwalo na liwe!! Pole yenu ( Sina uhakika kama Seche Malechela ndiye Mwele Malechela niliyesoma naye genetics pale UDSM na kina Yunus Mgaya, halafu wanajitoa kabisa ufahamu na kuanza kusema vitu vya uongo eti hakuna kinachoingizwa kwenye DNA wakati DNA ndiyo target ya message iliyobebwa na mRNA! Vinginevyo waseme protein synthesis haitafanyika wakati ndio lengo lenyewe!! Nitafarijika kidogo kama huyo Seche siyo Mwele!

 
Kuna Watu ambao achilia mbali tu Elimu zao kubwa bali hata uwezo wao mkubwa wa IQ na Kuchambua Masuala ya Kitaalam na Kitaaluma wakisema mambo GENTAMYCINE huwaamini na Kushawishika.

Kwa Ufafanuzi mzuri nilioupata kutoka kwa Mwanamama na Daktari Nguli Seche Malecela ( Mtoto wa Waziri Mkuu Mstaafu Mzee John Samuel Malecela ) kuhusu Chanjo hii ya UVIKO 19 Kesho asubuhi naanza Kuzunguka Hospitalini Kote Mkoani Dar es Salaam ili nikachanjwe nayo.

Nawatakieni kila la kheri wale Wote mnaomuamini Kibwetere aliyechangamka aliyeko Ubungo Mkoani Dar es Salaam ambaye anajinasibu ni Mchunga Kondoo wa Bwana wakati kumbe ni Tapeli tu wa Kiroho na Kiimani huku pia akiwa ni Muigizaji mzuri wa Sinema za Ngono Mitandaoni.

Ahsante sana Rais Samia kwa Chanjo hii.
Angekuwepo Yule adui wa hii familia ni lazima angemtafutia sababu afutwe udaktari kabisa.
 
Mkuu, Mama hapaswi kutishwa bali kumshauri. Kumuwekea masharti kuwa "akifanya hivi ajiandae kwa hili" si maneno sahihi kwa Mama yetu. Ninajua grievances ulizonazo lakini hizo zisikutoe kwenye reli.

Tunahitaji kuungana kama taifa kukabiliana na janga hili bila kubezana kwa pande zote. Kikubwa tusiogope, tujiamini, tusamini vya kwetu kuanzia juu mpaka chini.

Nawasilisha.
Hana mtu wa kumwambia makundi CCM yako kibao yanautaka uraisi akimaliza tu asipoambiwa humu atajisahau atadhani all is well while it is not tell her Straight baadhi ya washauri wake sidhani kama ni raia I am not sure who is Mulamula? Somebody should check her background !!!!
 
Hivi kwanini we jamaa unapenda sana matusi bila sababu za msingi?!

Man, matusi sio ujanja... na wengine hatupendi tu ligi za matusi kwa sababu tunaona ushamba lakini matusi kama matusi, tunayaweza sana tu!!!

Btw, hivi umeelewa nimeandika nini hasa?!
Huyo popoma bila matusi hana hoja fala sana huyo manninna
 
Huyo tapeli Dk Malechela aliyesingizia ohh Kuna Sas sijui ugongonjwa gani Magufuli akampiga chini kwa uongo na kutaka kuua utalii kwa kisingizio Cha ugonjwa feki usiokuwepo? Mpuuzi huyo timu Magufuli tupo hatujamsahau na utapeli wake wa kutafuta pesa kwa nguvu kwa kuwazulia magonjwa hewa watanzania kama Mama Samia alivyojipanga kuzulia asilimia kubwa ya watanzania kuwa wanna ugonjwa hewa wa Corona na balozi Mulamula wake mtaalaamu wa Diplomasia hewa ya Corona

Hii Vita muulizeni hiyo Sas sijui yake aliyotuzulia watanzania huyo tapeli Dk Mwele Malechela iko wapi na mkoa upi

Mama Samia karudisha mitapeli mipiga pesa akiwemo inayojiita mi Dk kuwa mishauri yake akiwemo Mwele Malechela

Mama Samia utatunzwa maisha yote na serikali wewe na familia yako unataka pesa za wazungu za nini kutuumiza watanzania na michanjo yako tumekukosea Nini wewe Mama? Hulipi Kodi wewe na wabunge wako lakini mnataka wigo wa walipa Kodi uongezeke kwa maskini kupitia miamala nk hamtaki huo wigo uwafikie nyie

Na mlaaniwe Na Mungu kuanzia wewe na wabunge.Mungu na asimame Kati ya maskini na nyie aamue kwa haki Kati ya maskini na wewe na wabunge watu maskini

..aliyetimuliwa ni Dr.Mwele Malecela., PhD.

..aliyeshauri tukachanjwe ni Dr.Secelela " seche " Malecela.,MD.

 
Vigezo vitatu muhimu vya kuzingatia kwenye awamu hii ya kwanza ya chanjo dhidi ya uviko19...
1.Uwe uni mfanyakazi wa sekta ya afya. AU

2.Uwe una umri wa kuanzia miaka 50..Au

3.Uwe na magonywa ya kudumu .
 
Kuna Watu ambao achilia mbali tu Elimu zao kubwa bali hata uwezo wao mkubwa wa IQ na Kuchambua Masuala ya Kitaalam na Kitaaluma wakisema mambo GENTAMYCINE huwaamini na Kushawishika.

Kwa Ufafanuzi mzuri nilioupata kutoka kwa Mwanamama na Daktari Nguli Seche Malecela ( Mtoto wa Waziri Mkuu Mstaafu Mzee John Samuel Malecela ) kuhusu Chanjo hii ya UVIKO 19 Kesho asubuhi naanza Kuzunguka Hospitalini Kote Mkoani Dar es Salaam ili nikachanjwe nayo.

Nawatakieni kila la kheri wale Wote mnaomuamini Kibwetere aliyechangamka aliyeko Ubungo Mkoani Dar es Salaam ambaye anajinasibu ni Mchunga Kondoo wa Bwana wakati kumbe ni Tapeli tu wa Kiroho na Kiimani huku pia akiwa ni Muigizaji mzuri wa Sinema za Ngono Mitandaoni.

Ahsante sana Rais Samia kwa Chanjo hii.

Yuko nchi ya hao wanaotengeneza chanjo unategemea atakueleza ukweli!!! Katika maelezo yake yote ni ya kutetea chanjo bila kuweka ushahidi.

Ushahidi ulio wazi ni nchi jirani zetu ambazo zilipewa mikopo ya chanjo lakini kwa sasa zimekumbwa na wimbi jipya la maambukizi kiasi kwamba huduma za afya zimezidiwa.

Tafiti zimeonesha kuwa kwa nchi zinazoendelea waliochanjwa wanaeneza aina ya kirusi hatari zaidi. Sababu kubwa ni kutokuzingatia ushauri wa kujikinga ndani ya siku 14 ambapo mwili unajitengenezea uwezo wa kujikinga. Kwa hiyo tutarajie mlipuko wa wagonjwa nchini muda si mrefu kwa kuwa wachache wanazingatia ushauri wa kujikinga
 
Mbona wakati wa mwenda zake skuwahi kuongea chochote kuhusu chanjo si ndo wale waliokuwa wanapiga chapuo kujifukiza
Leo hii chanjo ya msaada imekuja wanajitokeza kuongea wasomi watanzania sijawahi kuwaelewa wako kama wanasiasa
We nenda kachanjwe baadae usirudi kuandika thread nyingne
 
Tuna watu wa ajabu sana,mtu anakwambia hio ndio Chapa ya 666,kwahio ukiikwepa unasubiri kunyakuliwa na Yesu,mtu anasema hayo yupo baa analewa baadae anatafuta Malaya halafu anasema anasubiri kunyakuliwa.

Amesahau kwamba kuna amri kumi za Mungu.

Jamani wakristo toka lini pombe dhambi🥸
 
Kuna Watu ambao achilia mbali tu Elimu zao kubwa bali hata uwezo wao mkubwa wa IQ na Kuchambua Masuala ya Kitaalam na Kitaaluma wakisema mambo GENTAMYCINE huwaamini na Kushawishika.

Kwa Ufafanuzi mzuri nilioupata kutoka kwa Mwanamama na Daktari Nguli Seche Malecela ( Mtoto wa Waziri Mkuu Mstaafu Mzee John Samuel Malecela ) kuhusu Chanjo hii ya UVIKO 19 Kesho asubuhi naanza Kuzunguka Hospitalini Kote Mkoani Dar es Salaam ili nikachanjwe nayo.

Nawatakieni kila la kheri wale Wote mnaomuamini Kibwetere aliyechangamka aliyeko Ubungo Mkoani Dar es Salaam ambaye anajinasibu ni Mchunga Kondoo wa Bwana wakati kumbe ni Tapeli tu wa Kiroho na Kiimani huku pia akiwa ni Muigizaji mzuri wa Sinema za Ngono Mitandaoni.

Ahsante sana Rais Samia kwa Chanjo hii.
Ok kuchambua masuala ya kisayansi na kuwa na Elimu kubwa sawa! Dr Malecela kaeleza vizuri ila mambo ya Covird 19 ni complicated wanasyansi wanapingana ktk dhana mbali mbali inakuwaje waseme hata ukichanjwa uwezekano wa kupata Covid upo , sasa chanjo hapo ndpo inapokosa ushawishi. Upate chanjo halaf mwisho wa siku bado haupo salama inakuwa ngumu kuingia kwa akili.
 
Kuna Watu ambao achilia mbali tu Elimu zao kubwa bali hata uwezo wao mkubwa wa IQ na Kuchambua Masuala ya Kitaalam na Kitaaluma wakisema mambo GENTAMYCINE huwaamini na Kushawishika.

Kwa Ufafanuzi mzuri nilioupata kutoka kwa Mwanamama na Daktari Nguli Seche Malecela ( Mtoto wa Waziri Mkuu Mstaafu Mzee John Samuel Malecela ) kuhusu Chanjo hii ya UVIKO 19 Kesho asubuhi naanza Kuzunguka Hospitalini Kote Mkoani Dar es Salaam ili nikachanjwe nayo.

Nawatakieni kila la kheri wale Wote mnaomuamini Kibwetere aliyechangamka aliyeko Ubungo Mkoani Dar es Salaam ambaye anajinasibu ni Mchunga Kondoo wa Bwana wakati kumbe ni Tapeli tu wa Kiroho na Kiimani huku pia akiwa ni Muigizaji mzuri wa Sinema za Ngono Mitandaoni.

Ahsante sana Rais Samia kwa Chanjo hii.
Daaah kama umemwelewa huyo! Mimi kumuelewa itachukua mda sana maana ugonjwa wake wa zika tangu apigwe burn na ugonjwa aliondoka nao hatukuwahi kusikia ugonjwa huo ni kama ulikuwa kinywani mwenyewe
 
Back
Top Bottom