#COVID19 Baada ya Kumsikiliza na Kumuelewa vyema Dk. Seche Malecela, Kesho najipeleka mwenyewe Kupata Chanjo yangu ya UVIKO 19 niwe salama zaidi

View attachment 1875470unang'ela panga'ng'a huku UKIMEZA "KUNDE"....

Nazo pia zinatoka kwa "mabeberu"....

Anyway ,Leo unamkataa J&J ,ila umesahau kuwa ndio ALIOKUFANYA USITOKE VIPELE VYA JOTO wakati wa uchanga na utoto wako....nawe unaendeleza kwa VITOTO VYAKO....

"Powder ya baby Johnson"....

#TujitokeziKuchanjwa
#NchiKwanza
#KaziIendelee
Watu wagumu kuelewa!!
Hujamuelewa Chige wewe. Pole sana.
 
Baada ya kusima hii, soon atarudi na bandiko lingine, vuta subira 😁!.
Ndugu yangu !!Afya yako ni muhimu sana.Ili jambo jambo halihitaji kukurupuka.Kwa sasa tuna bahati sana.Habari zote zipo Kiganjani mwetu.Sawa umemsikia Dr Malechela.

Lakin pia umesikia taarifa za huko USA jana ijumaa?Asilimia 75 ya waliochoma chanjo wanaumwa Covid serious. CDC imesema kati ya hao wengine walichoma chanjo mbili.Huu muda watanzania tujitahid kusoma taarifa Mara kwa Mara.Sio kama zamani tulivyodanganywa.
 
Na Wewe pia Mtetezi wa Tapeli wa Kiroho na Kiimani pale Ubungo usisahau pia Kumpelekea hiyo 'naniliu' yako ili 'aikung'ute' vizuri huku mkirekodiwa kisha iingie katika Shindano la Porn Movies World Wide sawa?
Sikutegemea mtu kama wewe unaweza kutoa matusi kiasi hiki.
Shame on you!!
 
View attachment 1875470unang'ela panga'ng'a huku UKIMEZA "KUNDE"....

Nazo pia zinatoka kwa "mabeberu"....

Anyway ,Leo unamkataa J&J ,ila umesahau kuwa ndio ALIOKUFANYA USITOKE VIPELE VYA JOTO wakati wa uchanga na utoto wako....nawe unaendeleza kwa VITOTO VYAKO....

"Powder ya baby Johnson"....

#TujitokeziKuchanjwa
#NchiKwanza
#KaziIendelee
Chanjo ya COVID-19 ufanisi wake ukoje
 
Chanjo ya corona huingiziwi sehemu ya virusi vya corona au kirusi kilichopunguzwa nguvu. Sasa maswali ya kujiuliza kwa nini uambukize na kwa nini uzalishe kirusi delta variant.

Chanjo zote zilizo chanjwa huko kipindi cha nyuma iwe ni ndui, polio homa ya manjano/ kijani, surua nk kulikuwa hamna sharti la kuvaa barakoa baada ya kuchanja ili usiendelee kuambukiza. Kwa corona ukichwanjwa lazima uendelee kuvaa barakoa. Barakoa itakuwa kama kuvaa soksi ya makalio sasa.
 
Hivi huyo Gwajima na hata JPM ni kasoro ipi za Kisayansi walizotaja?!!

JPM nilimuunga mkono mambo mawili tu....

1. Suala la kutoweka lockdown... coz' hata nami sikuwa in favor of lockdown though nilitarajia angewahi kupiga lockdown airport na mipaka!!!

2. Kuishi na corona... coz' automatically usipokuwa tayari na lockdown ina maana people have to learn how to live SAFELY with corona!!!

Haya, TAJA HAPA HIZO HOJA ZA KISAYANSI ZILIZOTOLEWA NA GWAJIMA, IKIBIDI HATA ZA JPM!
Magufuli alisema kabla ya kupokea chanjo itabidi wanasayansi wajiridhishe na ubora na ufanisi wake. Nitajie ni chanjo ipi ya UVIKO-19 ambayo nikifuata vizuri hatua zote za kisayansi wakati wa kuchanjwa nitakuwa siambukizi au siambikizwi?
 
Kuna Watu ambao achilia mbali tu Elimu zao kubwa bali hata uwezo wao mkubwa wa IQ na Kuchambua Masuala ya Kitaalam na Kitaaluma wakisema mambo GENTAMYCINE huwaamini na Kushawishika.

Kwa Ufafanuzi mzuri nilioupata kutoka kwa Mwanamama na Daktari Nguli Seche Malecela ( Mtoto wa Waziri Mkuu Mstaafu Mzee John Samuel Malecela ) kuhusu Chanjo hii ya UVIKO 19 Kesho asubuhi naanza Kuzunguka Hospitalini Kote Mkoani Dar es Salaam ili nikachanjwe nayo.

Nawatakieni kila la kheri wale Wote mnaomuamini Kibwetere aliyechangamka aliyeko Ubungo Mkoani Dar es Salaam ambaye anajinasibu ni Mchunga Kondoo wa Bwana wakati kumbe ni Tapeli tu wa Kiroho na Kiimani huku pia akiwa ni Muigizaji mzuri wa Sinema za Ngono Mitandaoni.

Ahsante sana Rais Samia kwa Chanjo hii.
Nenda tu kwa kuwa ni.maamuzi yako ila jiulize kwanza mara mbili
 
Naona Pro Kibwetere sana mnakuja tu.
Wapo watu wenye uwezo wa kuelezea na kushawishi (hata pumba/ujinga) na akakubalika na wasomi na wajinga.
SUALA la chanjo sihitaji kushawishiwa natumia AKILI ZANGU binafsi.



NB:MIMI NI TIMU MAGUFULI JANA,LEO,KESHO NA HATA MILELE.na gwajima NI NABII WA KWELI
 
Kuna Watu ambao achilia mbali tu Elimu zao kubwa bali hata uwezo wao mkubwa wa IQ na Kuchambua Masuala ya Kitaalam na Kitaaluma wakisema mambo GENTAMYCINE huwaamini na Kushawishika.

Kwa Ufafanuzi mzuri nilioupata kutoka kwa Mwanamama na Daktari Nguli Seche Malecela ( Mtoto wa Waziri Mkuu Mstaafu Mzee John Samuel Malecela ) kuhusu Chanjo hii ya UVIKO 19 Kesho asubuhi naanza Kuzunguka Hospitalini Kote Mkoani Dar es Salaam ili nikachanjwe nayo.

Nawatakieni kila la kheri wale Wote mnaomuamini Kibwetere aliyechangamka aliyeko Ubungo Mkoani Dar es Salaam ambaye anajinasibu ni Mchunga Kondoo wa Bwana wakati kumbe ni Tapeli tu wa Kiroho na Kiimani huku pia akiwa ni Muigizaji mzuri wa Sinema za Ngono Mitandaoni.

Ahsante sana Rais Samia kwa Chanjo hii.
CCM haipendi watu kama SECHE, huwezi ona aki-trend!
Ingekuwa ya Gwajima ama wema sepetu inge trend.
 
Nimemsikiliza kwa makini daktari bingwa Malecela.

Ameelezea vizuri sana ila tu kuna sehemu mbili zinahitaji mjadala zaidi.

Suala la hizi chanjo za mRNA kuwepo kwa muda mrefu kabla ni sahihi lakini kwa kiasi kikubwa kipindi hicho anachosema kilikuwa Exploratory and pre-clinical stage.

Chanjo inapokuwa developed inapitia stage kuu kama tatu hivi;Exploratory stage,kipindi ambacho wataalamu wanaumiza vichwa kwa research za kugundua na kutengeneza dawa/vidudu pandikizi ambazo zitaendelezwa na kufanyiwa testing ili kuona kama zinafaa kukinga magonjwa fulani wanayoyalenga.

Then wakishazitengeneza wanaanza kuzifanyia testing maabara kwa kuzipandikiza kwenye vitu fulani vinaitwa culture pamoja na wanyama ili kuona kama zina ufanisi kwa kusudio husika.Hii inaitwa pre-clinical stage.

Chanjo ikivuka hapo ndipo inakwenda kutafutiwa kibali cha kufanya majaribio kwa binadamu halisi(clinical development) ambayo nayo huwa na stages kuanzia watu wachache hadi kuhusisha watu wengi.

Sasa nadhani watu wanapozungumzia muda mfupi wa chanjo hizi za covid wanamaanisha clinical development stage.(na nadhani wana hoja ya msingi sana hapa).

Kirusi cha covid kimegunduliwa mwaka 2019.Kabla ya hapo kilionekana kwa popo kikiwa hakina uwezo wa kuhamia kwa human host.
So hili ni somo jipya kwa wanasayansi ambalo lilihitaji muda wa kutosha kuelewa nini kinaendelea kwa mgeni huyu kuingia kwa binadamu.

Suala la pili ni pale aliposema kuwa habari ya chanjo hizi kuathiri DNA ni arguments za mitandaoni..with all due respect hapana..huu ni mjadala wa kisayansi umeanzishwa na wanasayansi na unahitaji majibu ya kisayansi.It's not a mere belief,its scientific argument.

Sayansi ya mRNA vaccine imechukua advantage ya sayansi ya mwili ili kufanya matibabu mwilini.How?

Katika seli kuna kitu kinaitwa nucleus,ndio makao makuu ya seli ambamo chembe ndogo inayobeba taarifa zote za uundaji na uendelezaji wa kiumbe husika inahifadhiwa.Chembe hiyo huitwa DNA.Sayansi yote ya binadamu imo ndani ya DNA.Ramani nzima ya utu wako imo humo.If anybody tamper with it,then you are finished.

Inapotokea mwili unataka kufanyika kitendo fulani cha uundaji au maintenance,DNA hutoa taarifa za kinachotakiwa kufanyika na kuiweka taarifa hiyo kwenye muundo fulani unaoweza kusomeka(message) na sehemu nyingine za seli.Huo muundo unaitwa RNA.
RNA(message) inakwenda kwenye sehemu nyingine ya seli inayohusika na utengenezaji inaitwa cytoplasm.Ndani ya cytoplasm kuna kitu kinaitwa ribosomes ndicho kinadecode RNA message na kutengeneza protein (matofali) zinazokwenda nje ya seli kufanya ujenzi au tukio lililokusudiwa.

Covid 19 virus anachofanya ni kuingia kwenye seli ya mwili na kutuma RNA zake kuinstruct seli itengeneze genetic materials kuunda more viruses.Kwa maana zaidi ni kuwa anaiteka na kuigeuza seli kuwa kiwanda cha kuzalisha virus wenzie zaidi.

Katika kufanya ufedhuli wake huo huyu virus anatumia kiungo fulani mwilini mwake kujiunganisha na seli ya host wake.Hicho kiungo kinaitwa spike protein.Ni kama hook fulani ambayo anainasisha kwenye cell surface ya host na kuigeuza mrija wa kupitishia RNA zake.So presence ya spike protein kwenye mwili wa virus ndio silaha kuu ya kujipenyeza na kuidhibiti seli ya host wake.

Mfumo wa ulinzi wa mwili huchukua muda kutambua mgeni huyu ambaye hajawahi kuonekana kabla.So wakati immune system inajivuta kumwelewa ili imshughulikie yeye muda huo anautumia kuathiri seli nyingi zaidi na kuzalisha virus wengi.Ndio maana natural immunity kama iko chini inakuwa shida kupambana na corona sababu hii by the time imetambua adui na kuanzisha vita inakuwa tayari viral load ni kubwa sasa kama mtu ana weak immunity ndio tatizo linakuwa kubwa zaidi.

Chanjo ya mRNA nayo inautumia mfumo ule ule kuusaidia mwili mapema kupambana kabla hali haijawa mbaya.

Yenyewe inaipa immune system uwezo wa kutambua virus mapema ili kumshughulikia mapema kabisa asisambae. So timing is the key.

Wazungu walichunguza genetic codes za virus wakachukua kipande kidogo cha information zinazohusu namna anavyounda ile spike protein yake wakatengeneza RNA yao maabara na kuiweka kwenye vaccine.

So hiyo RNA ya vaccine imebeba instruction ya kutengeneza ile sehemu ya kirusi inayotumika kujiunganisha na seli(spike proteins).

Unapodungwa vaccine ile RNA (mRNA) iliyowekwa humo inakwenda kwenye cytoplasm ya seli mwilini na kuinstruct seli itengeneze spike proteins.
As a result seli inatengeneza spike proteins nyingi lakini sababu ni hizo spikes tu na sio mdudu kamili inakuwa haina madhara kwa mwili ISIPOKUWA kitendo hiki kinaistua immunity ya mwili na kugundua kuna kitu kisichohusika kwenye mwili na kuanza kushambulia.
Immunity ikishatambua kuwa kitu fulani hakihitajiki basi inaweka memory hata baada ya miaka kikiingia tena kinakuwa kishatambulika na kushambuliwa.Ni kwa jinsi hiyo tunapata herd immunity.

So baadae hata akiingia virus mwenyewe as long as ana zile spike proteins ambazo immune imeshakuwa programmed kuzitambua kama antibodies anashambuliwa mapema kabla hajajizalisha zaidi na kwa namna hii ndivyo chanjo ya mRNA inasaidia.

HATA HIVYO kuna argument ya kisayansi kwamba kitendo cha seli ya mwili kugeuza DNA yake kuwa RNA ni kitendo kinachoweza kuwa reversed(reverse transcription) in presence of certain enzymes.Yaani under certain foreign influence inawezekana RNA ikageuka tena kuwa DNA.
Hapo ndipo huja hoja ya uhatari wa kutumia teknolojia hii ya kuinject foreign RNA kwenye human cell.

Kuna watu wanauliza hii mRNA ya vaccine ikishafanya kazi yake ya kuinstruct seli kutengeneza spike proteins yenyewe inakwenda wapi?
Wanaambiwa kuwa mwili ukianza kuzishighulikia zile spikes inashughulikia na hiyo RNA na host cell.
Linaulizwa swali jingine,sasa inakuwaje baadhi ya watu walioumwa na kupona covid wakipimwa kwa kile kipimo maalum kinachotambua genetic codes za virus wanaonekana kuwa positive ilhali damu zao ziko clean hazina viral load tena?hii imprint inayosomwa na kipimo inatokea wapi?kipimo kinasoma kitu gani?!!!

Kuna swali linaulizwa,je kitendo cha mwili kutegemea genetic instruction toka nje ili kutrigger immune response hakiathiri natural body immunity in the long run?
Na watu wamefanya research na kugundua wagonjwa waliopona covid kwa kuacha natural immunity response ifanye kazi wako stable na salama zaidi dhidi ya future infection kuliko wale ambao wamechanjwa.Watu wanachanjwa na bado wanaugua tena.Natural immunity ni strong hata kwa variants compared to vaccine immunity kwa mujibu wa baadhi ya research.So why hatuzungumzii kuwawezesha pia wale wenye natural immune(na ni wengi zaidi) badala yake tunawazodoa wasipochanja?kwanini hawawekwi kwenye jedwali na tunawalazimisha kuchanja?!

So you can see hii ni mijadala ya kisayansi na sio ya mere beliefs.

Inahitaji majibu na sio kuwa dragged.
Asante sana! Mimi nilisema Mweche Malecela kwa makusudi alikwepa kutumia neno mRNA akasema hakuna sehemu ya kirusi kinachoingizwa kwenye seli bali kinachoingia kwe ye seli ni meseji!! Sasa unakataa nini na unakubali nini? Hii meseji ya Mweche ndio mRNA! Na hii meseji ni genetic material! Na siyo kwamba hii mRNA ni artificial hapana! Ila siyo full RNA ya corona. Bali wali -isolate ile sehemu ya RNA inayohusika na utengenezaji wa spike protein (the part which codes for the spike protein). Hii sehemu ndiyo wanayoiingiza kwenye seli ya mtu kupitia chanjo!! Yaani wanaamua kuidanganya seli kuwa hii mRNA imetoka kwenye DNA ya kwake wakati siyo!! Kwa hiyo hii mRNA iliyoingizwa haitatambuliwa kama foreign body!! Unapoanza kuingiza udanganyifu kwenye mfumo wa asili unaweka mazingira ya confusion kwenye mfumo mzima!! Hiyo ndiyo risk ambayo inaletwa na hizi chanjo za mRNA!!
Lakini kingine ni kuwa in a long run mfumo wa seli unaweza kuja kutambua hizo spike protein iliyotengeneza yenyewe kuwa SIYO foreign body, si zimetengenezwa na seli yenyewe!! Ikitokea hivyo, virusi wote jamii ya corona wenye spike proteins hawatatambuliwa na seli kama foreign body, kwa hiyo haitajaribu kutengeneza askari (antibodies) chidi yao maana imewatengeneza yenyewe!! Ikitokea hivyo mwili utakuwa na kinga sifuri dhidi ya virus hao na mtu lazima afe haraka!! Hii ndiyo risk kubwa kuliko zote! Ndiyo maana hii chanjo haiwezi kumkinga mtu asiambukizwe tena, maana mfumo wa ulinzi utaona spike protein ya corona kuwa ni ndugu! Hivyo kulazimu kutengeneza chanjo nyingine kama booster!! Mwisho wa siku mfumo wa kawaida wa asili wa kinga kushindwa kufanya kazi kabisa!! Hii ni hatari sana!
Mwisho ni kuwa kuna shaka kuwa kwenye chanjo ya corona kumepandikizwa vitu vingine ambavyo havihusiki kabisa na chanjo kutoka kwa watu wa new world order kina Bill Gate!! Side effect kama mkono kuwa magnetized (kuwa kama sumaku na kunasa vitu vidogo vya chuma) nk huwezi khvieleza kwa sayansi ya mRNA! For sure there is something fishy!! Wengine mkono unawasha bulb ndogo!! Hivi vitu vimewatokea baadhi ya watu na wameshuhudia na kusema laiti wangejua watakuwa hivyo wasingekubali kuchanjwa!!
 
Back
Top Bottom