BioPsychologist
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 724
- 1,014
Hello JF members!
Bila Shaka mu-wazima wa afya!
SIO KUOMBA USHAURI BALI NI KU SHARE CHANGAMOTO NA MITIZAMO MBALIMBALI
Taaluma yangu ni mwanasaikolojia (Psychologist) currently nashauri watu katika nyanja mbalimbali za maisha na mostly case nyingi nazokutana nazo ni za mahusiano ya kimapenzi, kwa kweli sehemu hii kuna shida kubwa sana usione watu barabarani wana furaha kuna mengi wanameza.
Issue kubwa iliyonifanya niandike huu uzi ni kuwa kuna MWANAMKE mmoja alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na jamaa ambae amekuwa hampendi na kumnyanyasa sana kwa mda wa miaka miwili,kifupi jamaa hakumpenda kivile huyu Dada but Dada alikuwa amezama sana licha ya kujua kuwa hapendwi lakini alishindwa kujikwamua katika mateso hayo ya kimapenzi, nmemsaidia na sasa kawa poa sana na anaendelea na maisha kama kawaida.
Shida ni kuwa sasa kageuka na kuanza kuni napproach mimi (Mshauri wake) lakini mimi kama mwana taaluma na kutokana na miiko ya kitaaluma (Counselling ethics) sipaswi kujenga mahusiano ya kimapenzi na mteja wangu, nmemweleza lakini haelewi kabisa, kwangu nmejaribu kumwambia nimeoa lakini anasema kafanya uchunguzi na kujua sijaoa offcoz ni kweli sijaoa!
Jamani niombe kwa wale wanaodhani kuwa washauri wote wako perfect hii sio kweli kwa 100% kuna washauri wengi tuu (Counselors) hata wao wanasumbuliwa na mahusiano yao, sisi tuna nafasi ya kitaaluma lakini haifanyi tupoteze udhaifu wa kibinadamu tulioumbwa nao, (still we are human being).
Najiamini kuwa hana uwezo wa kunishawishi, bali nimeona nilifikishe hapa either kupata ABCs na mitizamo ya wengine pia na kama kuna watu wanaotoa huduma kama hizi naomba ku share pia uzoefu wenu katika hili.
Karibu!
Bila Shaka mu-wazima wa afya!
SIO KUOMBA USHAURI BALI NI KU SHARE CHANGAMOTO NA MITIZAMO MBALIMBALI
Taaluma yangu ni mwanasaikolojia (Psychologist) currently nashauri watu katika nyanja mbalimbali za maisha na mostly case nyingi nazokutana nazo ni za mahusiano ya kimapenzi, kwa kweli sehemu hii kuna shida kubwa sana usione watu barabarani wana furaha kuna mengi wanameza.
Issue kubwa iliyonifanya niandike huu uzi ni kuwa kuna MWANAMKE mmoja alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na jamaa ambae amekuwa hampendi na kumnyanyasa sana kwa mda wa miaka miwili,kifupi jamaa hakumpenda kivile huyu Dada but Dada alikuwa amezama sana licha ya kujua kuwa hapendwi lakini alishindwa kujikwamua katika mateso hayo ya kimapenzi, nmemsaidia na sasa kawa poa sana na anaendelea na maisha kama kawaida.
Shida ni kuwa sasa kageuka na kuanza kuni napproach mimi (Mshauri wake) lakini mimi kama mwana taaluma na kutokana na miiko ya kitaaluma (Counselling ethics) sipaswi kujenga mahusiano ya kimapenzi na mteja wangu, nmemweleza lakini haelewi kabisa, kwangu nmejaribu kumwambia nimeoa lakini anasema kafanya uchunguzi na kujua sijaoa offcoz ni kweli sijaoa!
Jamani niombe kwa wale wanaodhani kuwa washauri wote wako perfect hii sio kweli kwa 100% kuna washauri wengi tuu (Counselors) hata wao wanasumbuliwa na mahusiano yao, sisi tuna nafasi ya kitaaluma lakini haifanyi tupoteze udhaifu wa kibinadamu tulioumbwa nao, (still we are human being).
Najiamini kuwa hana uwezo wa kunishawishi, bali nimeona nilifikishe hapa either kupata ABCs na mitizamo ya wengine pia na kama kuna watu wanaotoa huduma kama hizi naomba ku share pia uzoefu wenu katika hili.
Karibu!