johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,801
- 141,703
Kwa sasa mijadala ya siasa za uchaguzi inaelekea ukiongoni na yule Robert Amsterdam anakwenda kuufyata mkia wake.
Maalimu Seif na ACT-Wazalendo kwa ujumla wamekubali yaliyopita si ndwele tugange yajayo na sasa ni rasmi Zanzibar imetulia.
Huku Tanganyika bungeni vyama vya upinzani wamejaa wanawake watupu hivyo kama itampendeza Rais Magufuli akamteua Mbowe kuwa mbunge ili uwepo usawa wa kijinsia kwa kambi ya upinzani basi litakuwa ni jambo jema na hapo tutahitimisha rasmi siasa za Uchaguzi na kujikita kwenye kuchapa kazi.
Shoka moja mbuyu chini.
Maendeleo hayana vyama!
Maalimu Seif na ACT-Wazalendo kwa ujumla wamekubali yaliyopita si ndwele tugange yajayo na sasa ni rasmi Zanzibar imetulia.
Huku Tanganyika bungeni vyama vya upinzani wamejaa wanawake watupu hivyo kama itampendeza Rais Magufuli akamteua Mbowe kuwa mbunge ili uwepo usawa wa kijinsia kwa kambi ya upinzani basi litakuwa ni jambo jema na hapo tutahitimisha rasmi siasa za Uchaguzi na kujikita kwenye kuchapa kazi.
Shoka moja mbuyu chini.
Maendeleo hayana vyama!