Nguva Jike
JF-Expert Member
- Jan 22, 2018
- 852
- 1,005
Habari wadau!
Jana jioni nimerudi Kwa mbwembwe nyumbani baada ya kupokea laki kadhaa toka kwa boss wangu. Nikamuomba wife anifanyie massage, nikampa Tsh. 50,000.
Wacha nifaidi, kumbe wanafanya makusudi wanaweza
Jana jioni nimerudi Kwa mbwembwe nyumbani baada ya kupokea laki kadhaa toka kwa boss wangu. Nikamuomba wife anifanyie massage, nikampa Tsh. 50,000.
Wacha nifaidi, kumbe wanafanya makusudi wanaweza