Hiyo haijalishi, mbona Coast Ni tawi lenu lakini wamewanyima point kwa Mkapa pamoja na mchezaji wao kutolewa mapema kwa red cardNaona leo mnafikisha Alama 15 Kiulaini kabisa Watani. Hongereni na hivi Kocha wao Mkuu Wapinzani wenu ni Yanga SC wa Kufa Mtu.