Baada ya kumeza haloperidol hapati usingizi kabisa

Habari za majukumu mke wangu amepatwa na matatizo ya akili tarehe 5 mwezi 2 mwaka huu mwanzo tulihisi labda ni mapepo tukaweka nguvu katika maombi sio siri hali ilizidi kua mbaya wa kukimbia barabarani kufikia hatua ya kujaribu kujiua kwa mara mbili na kumuokoa hakuwahi kuugua awali ila mwaka jana mwezi wa 9 alipata na ugonjwa wa kuhema kwashida,kutetemeka,mapigo ya moyo kwenda kasi,vichomi upande wa kushoto kwenye titi na mgongoni tulijaribu hosptal mbalimbali ikiwemo na bugando kwa ajiri ya vipimo lakini vipimo avikuweza onyesha tatizo lolote,ikabidi awekeze nguvu kwenye maombi kwa kuamini anaweza kukaa sawa lakini mwisho wa siku amejikuta anakuwa mtu wa mawazo kukosa usingizi na hatimae kuugua kabisa ugonjwa wa akili kupitia kusoma mawazo ya wengi jf nilianza tiba ya kumshauri pamoja na mazoezi alikuwa anaelenda poa tatizo ni kwenye wasiwasi nilipo jaribu hosptal kwa mtaalam wa hayo matatizo alimwandikia dawa za haloperidol anavyo meza usiku viwili kabla ya kulala amempa siku ya tarehe 20 mwezi 3 mwaka huu ila toka aanze kuvitumia amekua akisumbuliwa na tatizo la kukosa usingizi amezidi kupoteza furaha ile ya awali nimewasiliana na Dr. Kanishauri nisubiri japo kwa wiki mbili ndo nimpeleke hosptal na leo siku ya sita japo analalamika sana swala la usingizi kukosa kabisa sijakata tamaa na Dr. Ila kama kuna mwenye kujua zaidi juu ya hili anaweza nishauri au nisaidia kabisa namba zangu ni 0757978499View attachment 1053525

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo dawa kapewa mapema sana.

Hizo dawa wanapewa watu ambao wameshapimwa na kugundulika wana matatizo ya akili.

Sasa yawezekana mkeo alikuwa bado hajafikia huko kabisa.

Nauhakika alikuwa kwenye msongo mzito wa mawazo. Maana msongo wa mawazo una matabaka mbali mbali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MIMI SIO DOKTA NI GOOGLE MASTERHaldol
haloperidol) is an antipsychotic drug that decreases excitement in the brain. Haldol is used to treat psychotic disorders like schizophrenia, to control motor (movement) and verbal (for example, Tourette's syndrome) tics and is used to treat severe behavior problems in children. Haldol is available in generic form. Haldol is not approved for use in older adults with dementia because of increased chances of death during treatment. Common side effects of Haldol include:

nausea,

vomiting,

diarrhea,

dry mouth,

nervousness,

headache,

dizziness,

spinning sensation,

drowsiness,

sleep problems (insomnia),

restlessness,

anxiety,

skin rash,

itching,

spontaneous eye movements,

mood changes,

breast enlargement,

irregular menstrual periods,

loss of interest in sex,

blurred vision,

difficulty urinating or urinating less than usual, and

occasional movement disorders

Severe side effects of Haldol include:

death in the elderly,

prolongation of the QT heartbeat interval,

tardive dyskinesia (involuntary movements), prolonged erection (hours),

a symptom complex sometimes referred to as neuroleptic malignant syndrome (NMS) with fever,

irregular heartbeats,

mental status changes, and

renal failure

Haldol is available in sterile vials containing 5 mg strength Haldol per 1 ml of fluid used for injection. Usual starting dose is 2.5-5 mg intramuscularly. Dose may vary according to patient response to the drug. Switch to an oral form of this drug is recommended as soon as possible. Haldol may interact with other drugs so the patient needs close observation or monitoring to determine if other side effects develop. Haldol should only be used during pregnancy or in women likely to become pregnant only if the benefit clearly justifies a potential risk to the fetus; fetal abnormalities and fetal exposure to Haldol in the third trimester have shown dependence at birth. Women who are breastfeeding should not take Haldol because the drug may affect the infant. Although reports of use for behavior modification exist, the drug is not approved for use in children.
Our Haldol Side Effects Drug Center provides a comprehensive view of available drug information on the potential side effects when taking this medication.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani ni moja ya side effect... Kukosa usingizi

Sent using Jamii Forums mobile app
MIMI SIO DOKTA NI GOOGLE MASTERHaldol
haloperidol) is an antipsychotic drug that decreases excitement in the brain. Haldol is used to treat psychotic disorders like schizophrenia, to control motor (movement) and verbal (for example, Tourette's syndrome) tics and is used to treat severe behavior problems in children. Haldol is available in generic form. Haldol is not approved for use in older adults with dementia because of increased chances of death during treatment. Common side effects of Haldol include:

nausea,

vomiting,

diarrhea,

dry mouth,

nervousness,

headache,

dizziness,

spinning sensation,

drowsiness,

sleep problems (insomnia),

restlessness,

anxiety,

skin rash,

itching,

spontaneous eye movements,

mood changes,

breast enlargement,

irregular menstrual periods,

loss of interest in sex,

blurred vision,

difficulty urinating or urinating less than usual, and

occasional movement disorders

Severe side effects of Haldol include:

death in the elderly,

prolongation of the QT heartbeat interval,

tardive dyskinesia (involuntary movements), prolonged erection (hours),

a symptom complex sometimes referred to as neuroleptic malignant syndrome (NMS) with fever,

irregular heartbeats,

mental status changes, and

renal failure

Haldol is available in sterile vials containing 5 mg strength Haldol per 1 ml of fluid used for injection. Usual starting dose is 2.5-5 mg intramuscularly. Dose may vary according to patient response to the drug. Switch to an oral form of this drug is recommended as soon as possible. Haldol may interact with other drugs so the patient needs close observation or monitoring to determine if other side effects develop. Haldol should only be used during pregnancy or in women likely to become pregnant only if the benefit clearly justifies a potential risk to the fetus; fetal abnormalities and fetal exposure to Haldol in the third trimester have shown dependence at birth. Women who are breastfeeding should not take Haldol because the drug may affect the infant. Although reports of use for behavior modification exist, the drug is not approved for use in children.
Our Haldol Side Effects Drug Center provides a comprehensive view of available drug information on the potential side effects when taking this medication.



Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeipata kwa undani nashukuru sana naanza kufunguliwa nashuru kwa msaada .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo dawa kapewa mapema sana.

Hizo dawa wanapewa watu ambao wameshapimwa na kugundulika wana matatizo ya akili.

Sasa yawezekana mkeo alikuwa bado hajafikia huko kabisa.

Nauhakika alikuwa kwenye msongo mzito wa mawazo. Maana msongo wa mawazo una matabaka mbali mbali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh inaumiza hasa kama dr. Kaamua kupita shortcut vp naweza fanya nini maana ndo alishameza na vipi naweza msaidia kumaliza tatizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa nini kifanyike ndugu yangu maana hali nitete

Sent using Jamii Forums mobile app
1. nenda hospitali tofauti ili upate opinion ya psychiatric dr mwingine, wasimulie life style ya mgonjwa kabla na mwanzo wa tatizo
2. wanapoprecribe dawa wakupe regime namna na wakati wa kumeza
3. bado kumuomba Mungu usichoke! je ulienda wapi?
 
Hizo dawa tulikuwa tunampa braza angu, nae alipatwa na mauza uza. Anaongea kama cherehani anyamazi yani iwe asubuhi iwe mchana iwe usiku anajipigisha story mwenyewe!

Hadi akadhoofu kama mtu mwenye ngoma yani! Zilikuwa zinamsaidia alale usingizi usiku kwa kuleta usingizi mzito hatimae analala japo kwa masaa hata 5. Japo zilikuwa na combination ya dawa zingine sikumbuki kwa jina.
 
Kama ameandikiwa haloperidol asiache kunywa. Ukienda pharmacy kuna dawa za usingizi zinauzwa bila prescription kama kalms au nytol hizi ni herbs.
 
Kama ameandikiwa haloperidol asiache kunywa. Ukienda pharmacy kuna dawa za usingizi zinauzwa bila prescription kama kalms au nytol hizi ni herbs.
Sawa leo nitamchukulia japo jana ilibidi nimpe valium kidonge kimoja naona kaamka misuli imeachia na kalala kwa muda mrefu nashukuru kwa ushauri mzuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo dawa tulikuwa tunampa braza angu, nae alipatwa na mauza uza. Anaongea kama cherehani anyamazi yani iwe asubuhi iwe mchana iwe usiku anajipigisha story mwenyewe!

Hadi akadhoofu kama mtu mwenye ngoma yani! Zilikuwa zinamsaidia alale usingizi usiku kwa kuleta usingizi mzito hatimae analala japo kwa masaa hata 5. Japo zilikuwa na combination ya dawa zingine sikumbuki kwa jina.
Majibu vipi zilimsaidia kumaliza tatizo au

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom