Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,486
- 86,003
Simply because alikua Mbunge wa Taifa na sio wa jimboKwa mar
Kwa mara ya kwanza ndo unamsikia warioba?
Warioba alisha puuzwa kitambo, kwa sababu enzi zake hakuwahi kuheshimika maana alipingwa hata na akina wasira na kuangushwa kwenye ubunge.
Ana misimamo yake lakini hiyo pekee haiwezi kuongoza nchi.
Kwa sababu hata wakati akiwa mbunge na wazili hakuwahi kufanya chochote katika jimbo lake, ina maana alishindwa kuongoza jimbo, na hana cha kukumbukwa.
Ukienda ikizu huwezi kuta kitu cha kumkumbuka kwamba alisababisha kitu hicho kuwekwa.