Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Huu ndio ukweli wa mambo. Kama kuna chama kina gundu basi ni Chadema maana kila wanalogusa kwao linabuma.
Kwa mkwara mzito walikuja na operation digital haki. Lakini ghafla bin vuu wakakengeuka na kudai kwa udi na uvumba wapo radhi kudai haki zao hata kwa kutumia majambia.
Tafiti za kisayansi zinaonyesha hata ziara za haki digital walizofanya hazijazaa matunda na sasa ndio wamepuuzwa kabisa na watanzania.
My take: Ipo haja ya kusomesha vijana kama akina Mdude hata online courses ili wafahamu sayansi ya siasa.
Kwa mkwara mzito walikuja na operation digital haki. Lakini ghafla bin vuu wakakengeuka na kudai kwa udi na uvumba wapo radhi kudai haki zao hata kwa kutumia majambia.
Tafiti za kisayansi zinaonyesha hata ziara za haki digital walizofanya hazijazaa matunda na sasa ndio wamepuuzwa kabisa na watanzania.
My take: Ipo haja ya kusomesha vijana kama akina Mdude hata online courses ili wafahamu sayansi ya siasa.