Mkomavu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2016
- 11,753
- 16,743
Unataka toba usiseme siri zako, ni baina ya wewe na mungu wako, ukisema siri yako, toba hio huwa haipokewi.Baada ya ujana kuuputia vya kutosha sasa naamua kuacha mambo haya hasa ya wanawake ,ninamrudia Mungu na ninataka kuwa mtu wa heshima sasa maana nimefanya mengi mno,
Nakumbuka nimeshatembea na wake za watu, watoto wa geti kali, wasichana wa vyuo, machangudoa mpaka baadhi ya ndugu wenye undugu wa mbali sana,
Nakumbuka nimewahi kutembea na mke wa daktari hapa Singapore kipindi nimekuja natafta kazi nikashindwa kuipata kwa wakati , yeye alinisaidia kwa masharti ya kumfanya ishu ya kikubwa...
Mke wa mzungu ananitaka, sijui nifanye nini? (True Story) - JamiiForums
Nakumbuka siku moja natokea sehem dar wakati wa likizo nikamuibua mmoja kwenye DSM ni shida
Ananisogezea nasogeza analeta tena, sitapanda tena DCM - JamiiForums
Kuna siku nikiwa bado dar niliponea chup chup kupigwa risasi na mme wa mtu kisa nimeenda kwake nkidhani mme wake kasafiri ilikuwa shida nikaokolewa na watu wa msikitini, yaan tabu tupu
Wanawake mlio olewa tuwekeni wazi tunapowatongoza,riziki ulinifanya kukosakosa risasi kwa kunidanganya uko single - JamiiForums
Kuna siku nimeponea kuchomwa kisu hivi hivi, yaan nikaangalia faida ya haya mambo nikawa sijaiona, nilimfuata demu kwake, kumbe ana wenzake na wote wanataka ni hatari ndugu zangu
Sitarudia kumfuata demu kwake! Ilibaki kidogo nichomwe kisu Singapore - JamiiForums
Nilikuwa na techniques maalumu na Nina wapata aisee
Jifunze hapa technics za kuwapata mademu kulingana na mazingira - JamiiForums
Nimefanya mpaka research ya mambo haya kuanzia Rwanda,Burundi,Tz ,Kenya na Uganda yaan kila ladha
East Africa,wadada wa Tanzania ni watamu kuliko kwingine,my own research, - JamiiForums
Nimetengana na wanawake kibao kisa tabia ya kutoridhika na kugeuka kila apitapo mwanamke mzuri mwenye tako na shape kali
Naomba msaada wa ushauri, tabia yangu hii imenitenganisha na wapenzi lukuki anatamani kuiacha - JamiiForums
Kuna siku nimechezea kwa mke wa balozi nikizuga kumfundisha tuition hii ilikuwa hatari japo sikugundulika, nikala hela wee
Hivi kinachofanya mke wa mtu kuwa mtamu sana nini? Nimekumbuka utamu wa mke wa balozi - JamiiForums
......
Yalipoanza kunikabili makubwa mmm ndo nikaanza kuona bora nitulie hakika yan mambo si mazuri na umri unawenda hivo
Nahisi kufukuzwa kazi kisa wanawake walionigombania kesi imefika kwenyewe - JamiiForums
Nawahasa vijana tuokoke hasa ukiona umegonga miaka 30 bila kujirekebisha aisee unaweza kuukwaa UKIMWI ni hatari
Unnaachwa na miaka mingapi mkuu!Miaka 30 unasema umemaliza kula ujana?
@30 ujana ndo unaanza!!Unnaachwa na miaka mingapi mkuu!
Ooouh nimekuelewa... kwa hiyo mimi sasa nina 21 nina miaka 9 mbele kabla sijaanza ujana.@30 ujana ndo unaanza!!
Kabla ya hapo unakuwa na masharti mengi!!
Baada ya 30, hakuna wa kukuuliza!!
@40 ndo unaanza kuslow down!
Muulize Asprin @30 alikuwa na speed ipi ya ujana!!
Inamaana wewe hujatulia?ukioa ukatulia mkeo atakuletea ukimwi nyumbani tena juu ya kitanda ulichonunua wewe
amuonea Asprin mkuu. Mimi ninamkakati wa kupeleka maombi Roma ili awe Mtakatifu wa kwanza aliye hai@30 ujana ndo unaanza!!
Kabla ya hapo unakuwa na masharti mengi!!
Baada ya 30, hakuna wa kukuuliza!!
@40 ndo unaanza kuslow down!
Muulize Asprin @30 alikuwa na speed ipi ya ujana!!
MWANAUME astaafu ujana wa aina hiyo akiwa na miaka 30!!
wewe!!
Ndo matendo yenyewe hayo!!Ooouh nimekuelewa... kwa hiyo mimi sasa nina 21 nina miaka 9 mbele kabla sijaanza ujana.
Asprin atanipoteza.
Nikajua ujana ni matendo zaidi kuliko umri.
Aseeh... Shukrani.Ndo matendo yenyewe hayo!!
Huyo anaamini kashamaliza lakin niamini Mimi!!
NDO ANAANZA!!
hawezi kuwa na hiyo kasi (KAMA NI KWELI)af ikakata paaaap simply because amefikisha miaka 30!!
nah nah!!
KUNA MENGI YA KUPITIA KABLA HUJATANDUKA DALUGA!!
hayatokeagi kabla ya kipindi husika!!
Asprin SA hizi kuna deals za hela hafanyi!!
Hata umwambie zitalipa vipi
ana Mambo mengi ya kujiuliza kabla hajaamua kufanya KITU!!
Some ten years back kulikuwa hakuna hiyo!!
Deals ni mfano tu was Mambo ambayo at a certain age huwezi KUFIKIRI KUTOYAFANYA!!
MAAANA NDO ALAMA YA RIKA!!
na kinyume chake.
Kama unaoa kansani kwa walokole sawa kila LA kheriHii hatari sasa
Nimemsaidia tu kumwambia vitu hataambiwa ili asiwe so ambitious.Aseeh... Shukrani.
Ila 30 inavishawishi na damu inachemka wanawake na nyie ndiyo siku hizi mmekuwa warembo sio watoto sio kina mama sio kina dada.
Huyu haponi atasahau week hii ijayo kadondoka.
Jitahidi tumweke kwenye maombi yetu.