Baada ya kula kipigo Israel, Yair Lapid asema, siku za Netanyahu zinahesabika

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
8,991
17,888
Baada ya kula kipigo Israel, Yair Lapid asema, siku za Netanyahu zinahesabika

May 21, 2021 12:58 UTC

[https://media]

Yair Lapid aliyepewa jukumu la kuunda serikali ya utawala wa Kizayuni amekiri kwamba Wazayuni hawakupata matunda yoyote katika vita vya siku 11 vilivyoisha jana usiku na kusisitiza kuwa, wakati wa kuondoka Benjamin Netanyahu umewadia.

Shirika la habari la FARS limemnukuu Lapid akisema hayo leo Ijumaa kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter na kuongeza kuwa, siku za waziri mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, sasa zinahesabika.

Shirika la habari la Shahab la Palestina limefasiri baadhi ya ujumbe huo wa Twitter wa Yair Lapid, aliyepewa jukumu la kuunda serikali mpya ya utawala wa Kizayuni akisema: "Wakazi wa viongoji (vya Kizayuni) hasa wakazi wa vitongoji vilivyoko karibu na Ghaza, wamekumbwa na mvua ya makombora na maroketi na hakuna matunda yoyote yaliyopatikana."

[https://media]Yair Lapid

Amesema, kuboronga Netanyahu kumeshuhudiwa katika sehemu nyingi, kuanzia Meron (akikusudia kuangamizwa Wazayuni katika Mlima Merono huko Ghaza), hadi (katika Msikiti wa) al Aqsa na mpaka (mjini) Lod (akikusudia maandamano ya Wapalestina katika mji huo); kote huko Netanyahu ameboronga, hivyo wakati wa kuondoka umefika.

Lawama kali zimemuelemea waziri mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu katika hali ambayo baada ya utawala wa Kizayuni kushindwa na makundi ya wanamapambano wa Palestina kwenye vita vya siku 11 vya "Saifil Quds" vilivyoisha jana usiku, televisheni ya Russia al Yaum imelinukuu gazeti la The Times of Israel likiripoti kuwa, Avigdor Lieberman, waziri wa zamani wa vita wa utawala wa Kizayuni ambaye pia ni mkuu wa chama cha Yisrael Beiteinu na viongozi wengine mbalimbali wa utawala wa Kizayuni pamoja na wabunge wa Israel, wanaendelea kumlaumu vikali Netanyahu kwa kukubali kusimamisha vita kwa aibu na fedheha kubwa.

4bhk6328fbe0ae1l8j_800C450.jpeg
 
Kwa hiyo hii vita mmeshinda wa palestina?
Hesabu ndogo
Waliokufa 2476
Palestine 2446
Israel 30
Unapigana na adui aliyefungwa kamba mikononi na miguuni halafu unajiita mshindi

Israel level yake sio kundi la HAMAS level yake ni uturuki, Iran India,China Pakistani na wengineo...

Kundi la Hamas ni wananchi wa kawaida ambao hawana kambi za jeshi, kambi za mafunzo, hawatambuliki kwenye medani yoyote ya kijeshi, hawana viwanda vya silaha, ndege za kivita, vifaru, meli au nyambizi za kivita

Kwa hiyo Israel kutumia siku 11kuwashambulia huku wao wakijibu bila ushindi ni aibu

Dhana ya ushindi kwenye vita si kuua raia wasio na hatia(wanawake, wazee na watoto) ni kinyume na haki za binadamu na kanuni za umoja wa mataifa


Dhana ya ushindi ni kumdhibiti adui yako Kila nyanja Hadi akubali kushindwa na kuweka silaha chini
 
Unapigana na adui aliyefungwa kamba mikononi na miguuni halafu unajiita mshindi

Israel level yake sio kundi la HAMAS level yake ni uturuki, Iran India,China Pakistani na wengineo...

Kundi la Hamas ni wananchi wa kawaida ambao hawana kambi za jeshi, kambi za mafunzo, hawatambuliki kwenye medani yoyote ya kijeshi, hawana viwanda vya silaha, ndege za kivita, vifaru, meli au nyambizi za kivita

Kwa hiyo Israel kutumia siku 11kuwashambulia huku wao wakijibu bila ushindi ni aibu

Dhana ya ushindi kwenye vita si kuua raia wasio na hatia(wanawake, wazee na watoto) ni kinyume na haki za binadamu na kanuni za umoja wa mataifa


Dhana ya ushindi ni kumdhibiti adui yako Kila nyanja Hadi akubali kushindwa na kuweka silaha chini
Israel hajatumia hata robo ya silaha zake kuiponda ponda Palestine.
 
Vyombo vilivyotumika kwenye taarifa yako ni FARS ambao ni Wairan na kwingine cha Palestina. Sasa tofauti na kuongopa wangefanyaje hapo, unawezaje kusikiliza taarifa za Yanga kutoka kwa Haji Manara ukaziamini directly
 
Kwa hiyo hii vita mmeshinda wa palestina?
Hesabu ndogo
Waliokufa 2476
Palestine 2446
Israel 30
Vita siyo Ushindi tu...!! Hesabu nyingi ni :-
Vijana kukkomaa
Vijana kujenga ari, ushujaa na MOYO wa kupambana
Taifa la Falestin lina ishi kwa siku..siku Amani siku vikwazo siku vita siku mashambulizo siku kukemewa bila hatia..nk nk nk..
NAOMBA MUNGU hawa wasili ISR na FELST waishi Pamoja kwa Amani salamacsalmini....
 
Unapigana na adui aliyefungwa kamba mikononi na miguuni halafu unajiita mshindi

Israel level yake sio kundi la HAMAS level yake ni uturuki, Iran India,China Pakistani na wengineo...

Kundi la Hamas ni wananchi wa kawaida ambao hawana kambi za jeshi, kambi za mafunzo, hawatambuliki kwenye medani yoyote ya kijeshi, hawana viwanda vya silaha, ndege za kivita, vifaru, meli au nyambizi za kivita

Kwa hiyo Israel kutumia siku 11kuwashambulia huku wao wakijibu bila ushindi ni aibu

Dhana ya ushindi kwenye vita si kuua raia wasio na hatia(wanawake, wazee na watoto) ni kinyume na haki za binadamu na kanuni za umoja wa mataifa


Dhana ya ushindi ni kumdhibiti adui yako Kila nyanja Hadi akubali kushindwa na kuweka silaha chini
Sasa mkuu mtu anapotaka kushambulia eneo anatoa taarifa kabisa kuwa watu watoke hiyo itakuwa vita?!ndio anashambulia!!!na Hamasi huwa nafuu yake ni kutumia wananchi kama ngao lasivyo ingekuwa hatari sana!!halafu warabu ni akili mbovu tu, wanachokoza wanapata kichapo, majumba yanabomolewa, watu wanakufa, badaye wanatulia maisha yanaendelea tena, !!sasa wanapodai kuwa wao ndio washindi huwa wanatumia kigezo gani?hii imani hizi!!
 
Huu ni ushabiki maandazi...hivi Israel imepoteza ni na Palestina imepoteza kiasi gani?
Huu uarabu na Uyahudi wa Mafia ni ujinga wa kiwango cha SGR
Baada ya kula kipigo Israel, Yair Lapid asema, siku za Netanyahu zinahesabika

May 21, 2021 12:58 UTC

[https://media]

Yair Lapid aliyepewa jukumu la kuunda serikali ya utawala wa Kizayuni amekiri kwamba Wazayuni hawakupata matunda yoyote katika vita vya siku 11 vilivyoisha jana usiku na kusisitiza kuwa, wakati wa kuondoka Benjamin Netanyahu umewadia.

Shirika la habari la FARS limemnukuu Lapid akisema hayo leo Ijumaa kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter na kuongeza kuwa, siku za waziri mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, sasa zinahesabika.

Shirika la habari la Shahab la Palestina limefasiri baadhi ya ujumbe huo wa Twitter wa Yair Lapid, aliyepewa jukumu la kuunda serikali mpya ya utawala wa Kizayuni akisema: "Wakazi wa viongoji (vya Kizayuni) hasa wakazi wa vitongoji vilivyoko karibu na Ghaza, wamekumbwa na mvua ya makombora na maroketi na hakuna matunda yoyote yaliyopatikana."

[https://media]Yair Lapid

Amesema, kuboronga Netanyahu kumeshuhudiwa katika sehemu nyingi, kuanzia Meron (akikusudia kuangamizwa Wazayuni katika Mlima Merono huko Ghaza), hadi (katika Msikiti wa) al Aqsa na mpaka (mjini) Lod (akikusudia maandamano ya Wapalestina katika mji huo); kote huko Netanyahu ameboronga, hivyo wakati wa kuondoka umefika.

Lawama kali zimemuelemea waziri mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu katika hali ambayo baada ya utawala wa Kizayuni kushindwa na makundi ya wanamapambano wa Palestina kwenye vita vya siku 11 vya "Saifil Quds" vilivyoisha jana usiku, televisheni ya Russia al Yaum imelinukuu gazeti la The Times of Israel likiripoti kuwa, Avigdor Lieberman, waziri wa zamani wa vita wa utawala wa Kizayuni ambaye pia ni mkuu wa chama cha Yisrael Beiteinu na viongozi wengine mbalimbali wa utawala wa Kizayuni pamoja na wabunge wa Israel, wanaendelea kumlaumu vikali Netanyahu kwa kukubali kusimamisha vita kwa aibu na fedheha kubwa.

View attachment 1794178
 
Unapigana na adui aliyefungwa kamba mikononi na miguuni halafu unajiita mshindi

Israel level yake sio kundi la HAMAS level yake ni uturuki, Iran India,China Pakistani na wengineo...

Kundi la Hamas ni wananchi wa kawaida ambao hawana kambi za jeshi, kambi za mafunzo, hawatambuliki kwenye medani yoyote ya kijeshi, hawana viwanda vya silaha, ndege za kivita, vifaru, meli au nyambizi za kivita

Kwa hiyo Israel kutumia siku 11kuwashambulia huku wao wakijibu bila ushindi ni aibu

Dhana ya ushindi kwenye vita si kuua raia wasio na hatia(wanawake, wazee na watoto) ni kinyume na haki za binadamu na kanuni za umoja wa mataifa


Dhana ya ushindi ni kumdhibiti adui yako Kila nyanja Hadi akubali kushindwa na kuweka silaha chini

Kwahiyo unamchagulia wa kupigana nao Wabongo bana!
 
Unapigana na adui aliyefungwa kamba mikononi na miguuni halafu unajiita mshindi

Israel level yake sio kundi la HAMAS level yake ni uturuki, Iran India,China Pakistani na wengineo...

Kundi la Hamas ni wananchi wa kawaida ambao hawana kambi za jeshi, kambi za mafunzo, hawatambuliki kwenye medani yoyote ya kijeshi, hawana viwanda vya silaha, ndege za kivita, vifaru, meli au nyambizi za kivita

Kwa hiyo Israel kutumia siku 11kuwashambulia huku wao wakijibu bila ushindi ni aibu

Dhana ya ushindi kwenye vita si kuua raia wasio na hatia(wanawake, wazee na watoto) ni kinyume na haki za binadamu na kanuni za umoja wa mataifa


Dhana ya ushindi ni kumdhibiti adui yako Kila nyanja Hadi akubali kushindwa na kuweka silaha chini
Mavi matupu haya
 
Back
Top Bottom