#COVID19 Baada ya Kukubali Chanjo, na Rais Samia Kuchanja, Kiongozi yeyote anayepinga Chanjo hadharani ni 'Insubordination' na usaliti

Wanabodi,

Hii ni mada mwendelezo wa mada hii ya wiki iliyopita

View attachment 1881240
Kwa vile zoezi la chanjo ya Uviko linaendelea, Kwa Maslahi ya Taifa inaendelea kujikita kwenye chanjo, leo nikiangazia hoja ya uhiari wa Chanjo. Japo chanjo ni hiari, hiari ya chanjo ni hiari ya consent kama ilivyo kwenye mahusiano ya ndoa, ndoa ni hiari, na sio ule uhiari wa choice kama kwenye uchaguzi, mtu uko huru kujiandikisha kupiga kura, au kutokujiandikisha, na hata ukijiandikisha, bado uko huru kupiga kura au kutokupiga kura, hiyo na uhiari wa choice, lakini uhiari wa chanjo ni uhiari wa consent, kama ulivyo uhiari wa kuingia kwenye mahusiano ya ndoa, ukiisha ridhia kuingia kwenye ndoa, uhiari wa ndoa unaishi hapo, kinachofuata ni wajibu, kuihudumia ndoa sasa inakuwa sio hiyari tena, ni wajibu, mwanaume lazima awajibike kumhudumia mkewe, sio hiri ni wajibu, na wanandoa hao wana wajibu wa kuihudumia ndoa, ndia maana kwenye ndoa za kiafrika kuna baadhi ya malalamiko ya wanawake wa kizungu, huku kwetu huwezi kuyasikia. Wenzetu wazungu, hata baada ya kuingia kwenye ndoa, ili mwanandoa kupata huduma za kindoa, lazima aombe tena ruhusa, aridhiwe ndipo akubaliwe, hivyo hiari inaendelezwa hadi kwenye huduma wakati ni wajibu.

Hivyo ndivyo ulivyo uhiari wa kwenye hii chanjo ya Uviko, kwa vile lengo la chanjo ni kinga, kuzuia kuenea kwa uviko, una chanja ili kujikinga wewe na kuwakingi wengine, mtu unapokataa kuchanja, sio tuu unahatarisha maisha yako, bali una hatarisha kuwaambukiza wengine, hii ya kuwakinga wengine sasa sio choice, ni wajibu. Ili kupata chanjo ile hiari ni kwenye kuridhia tuu, yaani ku consent, na sio hiari ya choice kuamua uchanjwe au usichanje, hivyo baada ya nchi kukubali chanjo, na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na Amiri Jeshi Mkuu, wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Mhe Rais Samia Suluhu Hassan Kuchanja, akifuatiwa na viongozi, kitendo hicho japo ni hiari, hiyo ni silent marching order, amri ya kimya kimya, hivyo viongozi wote wa umma, wana wajibu wa kuchanja, sio hiari!. Jee viongozi wetu wote wa umma, wanajua, kuwa baada ya nchi kuibali chanjo na Rais Samia na viongozi wakuu kuchanja, kiongozi yoyote wa umma, anayeipinga chanjo hadharani, kitendo hicho ni Insubordination?. Tunamuomba Mhe Rais Samia, "Please stop this nonsense !"

True Story Yangu na Insubordination.
Mimi nilikuwa mtumishi wa umma pale TBC, enzi hizo TVT, nikiendesha vipindi vya siasa, "Ulingo wa Siasa", tayari nchi yetu ilikuwa ndani ya mfumo wa vyama vingi, hivyo mtu kuwa mtumishi wa umma, hakuna ulazima kuulizwa uko chama gani. Wakati Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2000, katika vipindi vyangu niliwakaribisha wanasiasa. Kwa vile CCM ndio chama tawala na Tanzania tunaingia chaguzi zote huku CCM ikiwa tayari na uhakika wa ushindi, hivyo nikiwaalika wagombea wa CCM kwenye urais, wanakuwa busy, after all si uhakika wa ushindi upo, ila ukiwaita wapinzani ni fasta.

Baadhi ya watu wakajenga dhana kuwa huyu mwendeshaji wa kipindi, Pasco Mayalla ni pro-oppostion, anawapendelea wapinzani!. Hawajui kuwa ukiwaalika CCM, wanakuwa busy. Nikaenda kupiga kambi Zanzibar, huko nako hali ni ile ile kwenye wagombea urais.

Baada ya uchaguzi, ikafanya tathmini, na wafanya tathmini, ikaonekana Pasco Mayalla ni kama alipendelea upinzani!. Wakatumwa watu kutoka huko walikotumwa, wakaja pale TBC, nikaitwa ofisini kwa Mkurugenzi, nikatambulishwa kwa wageni, na kuulizwa mimi ni chama gani?. Kwanza nilishangaa swali gani hili?!, kwani kuwa mtumishi wa umma, kuna takwa la chama?!. Nikawajibu watu wale ukweli wangu kabisa kuwa mimi Pasco Mayalla sina chama chochote!. Kumbe jibu hilo ni kama kosa!. Mahojiano yakaishia hapo. Baada ya muda, nikaletewa barua ya summary dismissal kwa kosa la insubordination!. Barua ya termination kabla haujakabidhiwa, yule mtu wa despatch anaanzia getini, anapewa FFU wawili wenye silaha, na kuja huku wameshika silaha standby!. Ndipo unakabidhiwa barua, kisha askari hao wanakusindikiza hadi kwenye meza yako. chukua kilicho chako, kabidhi ofisi, kisha unasindikizwa hadi nje ya geti!. Kiukweli nililia!.

Kesho yake nikaenda Utumishi kuuliza hiyo summary dismissal imekaaje, ndipo nikajulishwa kwa mujibu wa utumishi wa umma, ukifukuzwa kazi kwa insubordination, hata kama ni majungu, hakuna popote pa kwenda, you just pack and go!.

Kiongozi wa Umma Kupinga Chanjo Hadharani Sio Tuu ni Usaliti, Bali Pia ni Insubordination!.
Kwenye vita yoyote ya kitaifa, kama ilivyo vita ya Corona, ili kushinda vita, viongozi wote, lazima wasimame pamoja na kuwa kitu kimoja na kuzungumza kwa kauli moja. (must stand as one). Tanzania kama Taifa likiisha kubali Chanjo ya Covid Ndio Maslahi ya Taifa, Viongozi wote wa umma, wanakuwa bind na a collective responsibility clause, they must support, msimamo wa serikali.

Na kama kuna kiongozi yoyote wa umma, hukubaliani na chanjo, hakubaliani na msimamo huo wa serikali, wa kuhimiza Watanzania tuchanje, then kiongozi huyu unapaswa kunyamaza kimya. Kama rais anesema tuchanje, anahimiza Watanzania tujitokeze kwa wingi kwenda kuchanja, sio tuu ili kujikinga sisi wenyewe, bali kuwakinga wengine na kulikinga taifa, kitendo cha kiongozi yoyote wa umma, kujitokeza hadharani, kuwapotosha Watanzania tusichanje, huku ni kwenda kinyume cha rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ni highest order of insubordination ambayo haipaswi kuvumiliwa au kufumbiwa macho.

Kitendo cha kupingana na msimamo wa serikali wazi wazi ni usaliti, mtu wa aina hii anatakiwa kushughulikiwa haraka iwezekanavyo kama wanavyoshughulikiwa wasaliti wengine wote, na jinsi kosa la insubordination linavyoshughulikiwa na hatua ya kwanza ni kiongozi wa aina hiyo, kuachia ngazi kama mtumishi wa umma.

Kama mtu aliweza kupewa summary dismissal kwa kudhaniwa tuu kuwa sio mwenzetu, jee mtu anayepingana na rais wazi wazi katika jambo lenye maslahi kwa taifa, anaachajwe kuendelea kuipotosha jamii?!. Au Tanzania tuna watu wa aina mbili, the touchables, na untouchables?. Tunakuomba sana Mhe, Presidaa SSH, P'se Stop This Nonsense!.

Wasalaam

Paskali
Ndugu Mayalla "njaa" kisukuma, kumbuka kuna Genge la aliyetangulia linamhujumu SSH.
huu mtandao bila kuvunja baraza la mawaziri haufi.
 
Hata kama wengi wanapinga chanjo ya uviko, lakini viongozi wote walitakiwa kuwa na lugha moja. Tatizo baadhi ya viongozi naopinga hii wanaogopeka sana kaka.
Angepatikana mmoja mwenye imani hata kama ni kidogo kama chembe ya haladali angeweza kulikemea hili.
 
Kaka Paskali, hili napinga na wewe kwa more than 100%
Labda naomba unijibu hili...WALIMAANISHA NINI WALIPOSEMA KUCHANJA NI HIARI?
Mkuu Ngalikihinja , hiari, ni consent, yaani lazima uridie wewe mwenyewe, mwisho wa uhuru wako ni pale ambapo hautaingilia uhuru wa mwingine, hivyo unapokataa kuchanjwa ni hiyari yako, lakini pia una wajibu wa kuwalinda wengine, hivyo usipochanjwa, wewe ndio utawaharisha wengine kwa kuwaambukiza, hivyo hata kama wewe hutaki chanjo, lakini kwa ajili ya wengine, hiyo chanjo inageuka wajibu.
Ndani ya chama CCM na ndani ya serikali, kuna kitu kinachoitwa uwajibikaji wa pamoja, a collective responsibility, mkiisha kubaliana jambo, then wote mnasimama pamoja, kama wewe hukubaliani nalo, unanyamaza, ukiamua kulipinga hadharani, unapaswa kwanza u fall out, then pinga!.

Rais wako na Mwenyekiti wa chama wako, awahimiza Watanzania tuchanje, halafu wewe ni mwanachama, kiongozi, unawaambia watu wasichanje!, hiyo ni insubordination na usaliti.
If you have your cake and you love it, you have only two options, if you love it so much and you desire to eat it, una mawili, ama control your desires usiile hiyo keki ubaki ukiiangalia tuu na itakuwepo, au tamaa ya kula keki imekuzidia, ukaila hiyo keki, then its gone!, you can't have both, you cant eat your cake and still have it.
P
 
Mkuu Ngalikihinja , hiari, ni consent, yaani lazima uridie wewe mwenyewe, mwisho wa uhuru wako ni pale ambapo hautaingilia uhuru wa mwingine, hivyo unapokataa kuchanjwa ni hiyari yako, lakini pia una wajibu wa kuwalinda wengine, hivyo usipochanjwa, wewe ndio utawaharisha wengine kwa kuwaambukiza, hivyo hata kama wewe hutaki chanjo, lakini kwa ajili ya wengine, hiyo chanjo inageuka wajibu.
Ndani ya chama CCM na ndani ya serikali, kuna kitu kinachoitwa uwajibikaji wa pamoja, a collective responsibility, mkiisha kubaliana jambo, then wote mnasimama pamoja, kama wewe hukubaliani nalo, unanyamaza, ukiamua kulipinga hadharani, unapaswa kwanza u fall out, then pinga!.

Rais wako na Mwenyekiti wa chama wako, awahimiza Watanzania tuchanje, halafu wewe ni mwanachama, kiongozi, unawaambia watu wasichanje!, hiyo ni insubordination na usaliti.
If you have your cake and you love it, you have only two options, if you love it so much and you desire to eat it, una mawili, ama control your desires usiile hiyo keki ubaki ukiiangalia tuu na itakuwepo, au tamaa ya kula keki imekuzidia, ukaila hiyo keki, then its gone!, you can't have both, you cant eat your cake and still have it.
P
Uliiona ile sirenji Pascal Mayalla . Kwamba alichanjwa ?!. Hila hizo. Mimi mwenyewe naunga chanjo lakini siungi zidumu fikra za mwenyekiti. Nyerere mwenyewe aliikataa hii kitu.
 
Mkuu Ngalikihinja , hiari, ni consent, yaani lazima uridie wewe mwenyewe, mwisho wa uhuru wako ni pale ambapo hautaingilia uhuru wa mwingine, hivyo unapokataa kuchanjwa ni hiyari yako, lakini pia una wajibu wa kuwalinda wengine, hivyo usipochanjwa, wewe ndio utawaharisha wengine kwa kuwaambukiza, hivyo hata kama wewe hutaki chanjo, lakini kwa ajili ya wengine, hiyo chanjo inageuka wajibu.
Ndani ya chama CCM na ndani ya serikali, kuna kitu kinachoitwa uwajibikaji wa pamoja, a collective responsibility, mkiisha kubaliana jambo, then wote mnasimama pamoja, kama wewe hukubaliani nalo, unanyamaza, ukiamua kulipinga hadharani, unapaswa kwanza u fall out, then pinga!.

Rais wako na Mwenyekiti wa chama wako, awahimiza Watanzania tuchanje, halafu wewe ni mwanachama, kiongozi, unawaambia watu wasichanje!, hiyo ni insubordination na usaliti.
If you have your cake and you love it, you have only two options, if you love it so much and you desire to eat it, una mawili, ama control your desires usiile hiyo keki ubaki ukiiangalia tuu na itakuwepo, au tamaa ya kula keki imekuzidia, ukaila hiyo keki, then its gone!, you can't have both, you cant eat your cake and still have it.
P
Mbona unazidi kujichanganya?

Je, ukichanjwa hauwezi kuambukiza?

Je, ukichanjwa hauwezi kuambukizwa?

Je, Ukichanjwa na tayari umeambukizwa utapona?

Je, Chanjo hiyo inaponyesha UVIKO-19?

Kwanini unavaa barakoa hata unapochanjwa?

Tuchambulie mahusiano ya chanjo ya UVIKO-19 na DNA, MRN na Nanotechnology kuhusu afya ya mnufaika wa chanjo inayoendelea


Unatumia nguvu nyingi mno ambazo sio za kisayansi kushawishi watu wakuunge mkono kuhusu chanjo; ndugu yangu HIARI YASHINDA UTUMWA usilazimishe. Nakushauri uanze kuhamasisha baada ya miezi sita au mwaka ndipo utapata wa kukuamini vinginevyo 'you are lost'
 
Hii ni kwa viongozi tu wa umma au Hadi watumish wa Serikali wa kawaida tusio na cheo
Public servants ni watu wote wanaolipwa by taxpayers money, ndani yao wapo watumishi wa serikali, wa wizara, wakala na idara zinazojitegemea, watumishi wa mashirika ya umma, na vyama vya siasa vinavyopokea ruzuku.

Rais wa JMT ndio mtumishi no.1, akiishasema tuchanje, wewe mtumishi wa umma usiokubali chanjo, usichange ila jikalie tuu kimya, usianze kuhamasisha in public watu wakatae chanjo, hii ni insubordination, na kumsaliti bosi wako!.

Hata Jeshini, baada ya CinC kuchanja, huko ni amri, sio hiyari.

Uhiyari wa chanjo ni kwenye kupata tuu ridhaa, consent, kama ilivyo ndoa, ukiisha ridhia kuingia kwenye ndoa, huna mamlaka juu ya mwili wako kwenye kuihudumia ndoa, ukitaka huduma, lazima upewe, ule sasa unakuwa ni wajibu.

Kwa vile kutokuchanja, hakukuhatarishi wewe pekee bali wewe unayekataa kuchanja, unawahatarisha wengine, hivyo unawajibu wa kuwalinda wengine. Kama unavyowajibika kwenye ndoa, kuna siku mwanandoa mmoja hajisikii kuwajibika, yuko kwenye bad mood, au amechoka sana, lakini huduma inapohitajika hujikuta japo hataki lakini lazima ahudumu. Vivyo hivyo kwa wasiotaka chanjo, wana wajibu wa kuchanja ili kuwalinda wengine, hivyo ni hiyari yenye wajibu.

P
 
Public servants ni watu wote wanaolipwa by taxpayers money, ndani yao wapo watumishi wa serikali, wa wizara, wakala na idara zinazojitegemea, watumishi wa mashirika ya umma, na vyama vya siasa vinavyopokea ruzuku.

Rais wa JMT ndio mtumishi no.1, akiishasema tuchanje, wewe mtumishi wa umma usiokubali chanjo, usichange ila jikalie tuu kimya, usianze kuhamasisha in public watu wakatae chanjo, hii ni insubordination, na kumsaliti bosi wako!.

Hata Jeshini, baada ya CinC kuchanja, huko ni amri, sio hiyari.

Uhiyari wa chanjo ni kwenye kupata tuu ridhaa, consent, kama ilivyo ndoa, ukiisha ridhia kuingia kwenye ndoa, huna mamlaka juu ya mwili wako kwenye kuihudumia ndoa, ukitaka huduma, lazima upewe, ule sasa unakuwa ni wajibu.

Kwa vile kutokuchanja, hakukuhatarishi wewe pekee bali wewe unayekataa kuchanja, unawahatarisha wengine, hivyo unawajibu wa kuwalinda wengine. Kama unavyowajibika kwenye ndoa, kuna siku mwanandoa mmoja hajisikii kuwajibika, yuko kwenye bad mood, au amechoka sana, lakini huduma inapohitajika hujikuta japo hataki lakini lazima ahudumu. Vivyo hivyo kwa wasiotaka chanjo, wana wajibu wa kuchanja ili kuwalinda wengine, hivyo ni hiyari yenye wajibu.

P
Mkuu,

Huko jeshini vyeo vya chini kunafukuta wakitumia amri ya kuchanja wote hoja zako ni nadharia inayokinzana na uhalisia.
 
Public servants ni watu wote wanaolipwa by taxpayers money, ndani yao wapo watumishi wa serikali, wa wizara, wakala na idara zinazojitegemea, watumishi wa mashirika ya umma, na vyama vya siasa vinavyopokea ruzuku.

Rais wa JMT ndio mtumishi no.1, akiishasema tuchanje, wewe mtumishi wa umma usiokubali chanjo, usichange ila jikalie tuu kimya, usianze kuhamasisha in public watu wakatae chanjo, hii ni insubordination, na kumsaliti bosi wako!.

Hata Jeshini, baada ya CinC kuchanja, huko ni amri, sio hiyari.

Uhiyari wa chanjo ni kwenye kupata tuu ridhaa, consent, kama ilivyo ndoa, ukiisha ridhia kuingia kwenye ndoa, huna mamlaka juu ya mwili wako kwenye kuihudumia ndoa, ukitaka huduma, lazima upewe, ule sasa unakuwa ni wajibu.

Kwa vile kutokuchanja, hakukuhatarishi wewe pekee bali wewe unayekataa kuchanja, unawahatarisha wengine, hivyo unawajibu wa kuwalinda wengine. Kama unavyowajibika kwenye ndoa, kuna siku mwanandoa mmoja hajisikii kuwajibika, yuko kwenye bad mood, au amechoka sana, lakini huduma inapohitajika hujikuta japo hataki lakini lazima ahudumu. Vivyo hivyo kwa wasiotaka chanjo, wana wajibu wa kuchanja ili kuwalinda wengine, hivyo ni hiyari yenye wajibu.

P
Mkuu,
Kipengele hiki huna hoja ya mashiko na ushawisho wowote kwa sababu kama umechanjwa au hujachanjwa tishio ni lilelile tu halina upungufu au nyongeza ya kuzuia au kulinda kikamilifu afya ya mtu basi ni kujilisha upepo bure.
"....Kwa vile kutokuchanja, hakukuhatarishi wewe pekee bali wewe unayekataa kuchanja, unawahatarisha wengine, hivyo unawajibu wa kuwalinda wengine...."

Tumieni mbinu na njia zingine kushawishi na kuhamasisha lakini sio hii , 'You will never make it'.
 
Paschal,
Napenda watu wachanje lakini sipendi ulivyoifikisha hoja yako.

Unaposema kwamba ni usaliti unatufanya wote tunaopenda chanjo kama tuna akili za kibabe kama wana CCM maana ndiyo huwa wanatum maneno hayo wanapokosa ushawishi.

Sisi tuna utajiri mwingi wa facts kuhusu chanjo, kwanza hata hatukuhitaji Samia ajionyeshe hadharani.

Mimi nitachanja wiki ijayo.


Wanabodi,

Hii ni mada mwendelezo wa mada hii ya wiki iliyopita

View attachment 1881240
Kwa vile zoezi la chanjo ya Uviko linaendelea, Kwa Maslahi ya Taifa inaendelea kujikita kwenye chanjo, leo nikiangazia hoja ya uhiari wa Chanjo. Japo chanjo ni hiari, hiari ya chanjo ni hiari ya consent kama ilivyo kwenye mahusiano ya ndoa, ndoa ni hiari, na sio ule uhiari wa choice kama kwenye uchaguzi, mtu uko huru kujiandikisha kupiga kura, au kutokujiandikisha, na hata ukijiandikisha, bado uko huru kupiga kura au kutokupiga kura, hiyo na uhiari wa choice, lakini uhiari wa chanjo ni uhiari wa consent, kama ulivyo uhiari wa kuingia kwenye mahusiano ya ndoa, ukiisha ridhia kuingia kwenye ndoa, uhiari wa ndoa unaishi hapo, kinachofuata ni wajibu, kuihudumia ndoa sasa inakuwa sio hiyari tena, ni wajibu, mwanaume lazima awajibike kumhudumia mkewe, sio hiri ni wajibu, na wanandoa hao wana wajibu wa kuihudumia ndoa, ndia maana kwenye ndoa za kiafrika kuna baadhi ya malalamiko ya wanawake wa kizungu, huku kwetu huwezi kuyasikia. Wenzetu wazungu, hata baada ya kuingia kwenye ndoa, ili mwanandoa kupata huduma za kindoa, lazima aombe tena ruhusa, aridhiwe ndipo akubaliwe, hivyo hiari inaendelezwa hadi kwenye huduma wakati ni wajibu.

Hivyo ndivyo ulivyo uhiari wa kwenye hii chanjo ya Uviko, kwa vile lengo la chanjo ni kinga, kuzuia kuenea kwa uviko, una chanja ili kujikinga wewe na kuwakingi wengine, mtu unapokataa kuchanja, sio tuu unahatarisha maisha yako, bali una hatarisha kuwaambukiza wengine, hii ya kuwakinga wengine sasa sio choice, ni wajibu. Ili kupata chanjo ile hiari ni kwenye kuridhia tuu, yaani ku consent, na sio hiari ya choice kuamua uchanjwe au usichanje, hivyo baada ya nchi kukubali chanjo, na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na Amiri Jeshi Mkuu, wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Mhe Rais Samia Suluhu Hassan Kuchanja, akifuatiwa na viongozi, kitendo hicho japo ni hiari, hiyo ni silent marching order, amri ya kimya kimya, hivyo viongozi wote wa umma, wana wajibu wa kuchanja, sio hiari!. Jee viongozi wetu wote wa umma, wanajua, kuwa baada ya nchi kuibali chanjo na Rais Samia na viongozi wakuu kuchanja, kiongozi yoyote wa umma, anayeipinga chanjo hadharani, kitendo hicho ni Insubordination?. Tunamuomba Mhe Rais Samia, "Please stop this nonsense !"

True Story Yangu na Insubordination.
Mimi nilikuwa mtumishi wa umma pale TBC, enzi hizo TVT, nikiendesha vipindi vya siasa, "Ulingo wa Siasa", tayari nchi yetu ilikuwa ndani ya mfumo wa vyama vingi, hivyo mtu kuwa mtumishi wa umma, hakuna ulazima kuulizwa uko chama gani. Wakati Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2000, katika vipindi vyangu niliwakaribisha wanasiasa. Kwa vile CCM ndio chama tawala na Tanzania tunaingia chaguzi zote huku CCM ikiwa tayari na uhakika wa ushindi, hivyo nikiwaalika wagombea wa CCM kwenye urais, wanakuwa busy, after all si uhakika wa ushindi upo, ila ukiwaita wapinzani ni fasta.

Baadhi ya watu wakajenga dhana kuwa huyu mwendeshaji wa kipindi, Pasco Mayalla ni pro-oppostion, anawapendelea wapinzani!. Hawajui kuwa ukiwaalika CCM, wanakuwa busy. Nikaenda kupiga kambi Zanzibar, huko nako hali ni ile ile kwenye wagombea urais.

Baada ya uchaguzi, ikafanya tathmini, na wafanya tathmini, ikaonekana Pasco Mayalla ni kama alipendelea upinzani!. Wakatumwa watu kutoka huko walikotumwa, wakaja pale TBC, nikaitwa ofisini kwa Mkurugenzi, nikatambulishwa kwa wageni, na kuulizwa mimi ni chama gani?. Kwanza nilishangaa swali gani hili?!, kwani kuwa mtumishi wa umma, kuna takwa la chama?!. Nikawajibu watu wale ukweli wangu kabisa kuwa mimi Pasco Mayalla sina chama chochote!. Kumbe jibu hilo ni kama kosa!. Mahojiano yakaishia hapo. Baada ya muda, nikaletewa barua ya summary dismissal kwa kosa la insubordination!. Barua ya termination kabla haujakabidhiwa, yule mtu wa despatch anaanzia getini, anapewa FFU wawili wenye silaha, na kuja huku wameshika silaha standby!. Ndipo unakabidhiwa barua, kisha askari hao wanakusindikiza hadi kwenye meza yako. chukua kilicho chako, kabidhi ofisi, kisha unasindikizwa hadi nje ya geti!. Kiukweli nililia!.

Kesho yake nikaenda Utumishi kuuliza hiyo summary dismissal imekaaje, ndipo nikajulishwa kwa mujibu wa utumishi wa umma, ukifukuzwa kazi kwa insubordination, hata kama ni majungu, hakuna popote pa kwenda, you just pack and go!.

Kiongozi wa Umma Kupinga Chanjo Hadharani Sio Tuu ni Usaliti, Bali Pia ni Insubordination!.
Kwenye vita yoyote ya kitaifa, kama ilivyo vita ya Corona, ili kushinda vita, viongozi wote, lazima wasimame pamoja na kuwa kitu kimoja na kuzungumza kwa kauli moja. (must stand as one). Tanzania kama Taifa likiisha kubali Chanjo ya Covid Ndio Maslahi ya Taifa, Viongozi wote wa umma, wanakuwa bind na a collective responsibility clause, they must support, msimamo wa serikali.

Na kama kuna kiongozi yoyote wa umma, hukubaliani na chanjo, hakubaliani na msimamo huo wa serikali, wa kuhimiza Watanzania tuchanje, then kiongozi huyu unapaswa kunyamaza kimya. Kama rais anesema tuchanje, anahimiza Watanzania tujitokeze kwa wingi kwenda kuchanja, sio tuu ili kujikinga sisi wenyewe, bali kuwakinga wengine na kulikinga taifa, kitendo cha kiongozi yoyote wa umma, kujitokeza hadharani, kuwapotosha Watanzania tusichanje, huku ni kwenda kinyume cha rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ni highest order of insubordination ambayo haipaswi kuvumiliwa au kufumbiwa macho.

Kitendo cha kupingana na msimamo wa serikali wazi wazi ni usaliti, mtu wa aina hii anatakiwa kushughulikiwa haraka iwezekanavyo kama wanavyoshughulikiwa wasaliti wengine wote, na jinsi kosa la insubordination linavyoshughulikiwa na hatua ya kwanza ni kiongozi wa aina hiyo, kuachia ngazi kama mtumishi wa umma.

Kama mtu aliweza kupewa summary dismissal kwa kudhaniwa tuu kuwa sio mwenzetu, jee mtu anayepingana na rais wazi wazi katika jambo lenye maslahi kwa taifa, anaachajwe kuendelea kuipotosha jamii?!. Au Tanzania tuna watu wa aina mbili, the touchables, na untouchables?. Tunakuomba sana Mhe, Presidaa SSH, P'se Stop This Nonsense!.

Wasalaam

Paskali
 
Mkuu Ngalikihinja , hiari, ni consent, yaani lazima uridie wewe mwenyewe, mwisho wa uhuru wako ni pale ambapo hautaingilia uhuru wa mwingine, hivyo unapokataa kuchanjwa ni hiyari yako, lakini pia una wajibu wa kuwalinda wengine, hivyo usipochanjwa, wewe ndio utawaharisha wengine kwa kuwaambukiza, hivyo hata kama wewe hutaki chanjo, lakini kwa ajili ya wengine, hiyo chanjo inageuka wajibu.
Ndani ya chama CCM na ndani ya serikali, kuna kitu kinachoitwa uwajibikaji wa pamoja, a collective responsibility, mkiisha kubaliana jambo, then wote mnasimama pamoja, kama wewe hukubaliani nalo, unanyamaza, ukiamua kulipinga hadharani, unapaswa kwanza u fall out, then pinga!.

Rais wako na Mwenyekiti wa chama wako, awahimiza Watanzania tuchanje, halafu wewe ni mwanachama, kiongozi, unawaambia watu wasichanje!, hiyo ni insubordination na usaliti.
If you have your cake and you love it, you have only two options, if you love it so much and you desire to eat it, una mawili, ama control your desires usiile hiyo keki ubaki ukiiangalia tuu na itakuwepo, au tamaa ya kula keki imekuzidia, ukaila hiyo keki, then its gone!, you can't have both, you cant eat your cake and still have it.
P
Waliposema kuchanja inabaki kuwa HIARI ya mtu, walijua uhuru wangu unaishia wapi..!! Nasema walijua na ndiyo maana wakasema hakuna atakayelazimishwa..!!! Usaliti ni pale tunapokubaliana jambo, halafu mmoja anakwenda tofauti na mlichokubaliana.. Lakini kama tumekubaliana kwamba iwe hiari, how come mimi ninayefuata makubaliano ionekane ni msaliti??? WANGESEMA BASI KUCHANJA NI LAZIMA NA ATAKAYEKATAA KUCHANJWA HUYO NDO MSALITI

BADO HUJANIPA JIBU KWANINI WALISEMA KUCHANJA NI HIARI?
 
Wanabodi,

Hii ni mada mwendelezo wa mada hii ya wiki iliyopita

View attachment 1881240
Kwa vile zoezi la chanjo ya Uviko linaendelea, Kwa Maslahi ya Taifa inaendelea kujikita kwenye chanjo, leo nikiangazia hoja ya uhiari wa Chanjo. Japo chanjo ni hiari, hiari ya chanjo ni hiari ya consent kama ilivyo kwenye mahusiano ya ndoa, ndoa ni hiari, na sio ule uhiari wa choice kama kwenye uchaguzi, mtu uko huru kujiandikisha kupiga kura, au kutokujiandikisha, na hata ukijiandikisha, bado uko huru kupiga kura au kutokupiga kura, hiyo na uhiari wa choice, lakini uhiari wa chanjo ni uhiari wa consent, kama ulivyo uhiari wa kuingia kwenye mahusiano ya ndoa, ukiisha ridhia kuingia kwenye ndoa, uhiari wa ndoa unaishi hapo, kinachofuata ni wajibu, kuihudumia ndoa sasa inakuwa sio hiyari tena, ni wajibu, mwanaume lazima awajibike kumhudumia mkewe, sio hiri ni wajibu, na wanandoa hao wana wajibu wa kuihudumia ndoa, ndia maana kwenye ndoa za kiafrika kuna baadhi ya malalamiko ya wanawake wa kizungu, huku kwetu huwezi kuyasikia. Wenzetu wazungu, hata baada ya kuingia kwenye ndoa, ili mwanandoa kupata huduma za kindoa, lazima aombe tena ruhusa, aridhiwe ndipo akubaliwe, hivyo hiari inaendelezwa hadi kwenye huduma wakati ni wajibu.

Hivyo ndivyo ulivyo uhiari wa kwenye hii chanjo ya Uviko, kwa vile lengo la chanjo ni kinga, kuzuia kuenea kwa uviko, una chanja ili kujikinga wewe na kuwakingi wengine, mtu unapokataa kuchanja, sio tuu unahatarisha maisha yako, bali una hatarisha kuwaambukiza wengine, hii ya kuwakinga wengine sasa sio choice, ni wajibu. Ili kupata chanjo ile hiari ni kwenye kuridhia tuu, yaani ku consent, na sio hiari ya choice kuamua uchanjwe au usichanje, hivyo baada ya nchi kukubali chanjo, na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na Amiri Jeshi Mkuu, wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Mhe Rais Samia Suluhu Hassan Kuchanja, akifuatiwa na viongozi, kitendo hicho japo ni hiari, hiyo ni silent marching order, amri ya kimya kimya, hivyo viongozi wote wa umma, wana wajibu wa kuchanja, sio hiari!. Jee viongozi wetu wote wa umma, wanajua, kuwa baada ya nchi kuibali chanjo na Rais Samia na viongozi wakuu kuchanja, kiongozi yoyote wa umma, anayeipinga chanjo hadharani, kitendo hicho ni Insubordination?. Tunamuomba Mhe Rais Samia, "Please stop this nonsense !"

True Story Yangu na Insubordination.
Mimi nilikuwa mtumishi wa umma pale TBC, enzi hizo TVT, nikiendesha vipindi vya siasa, "Ulingo wa Siasa", tayari nchi yetu ilikuwa ndani ya mfumo wa vyama vingi, hivyo mtu kuwa mtumishi wa umma, hakuna ulazima kuulizwa uko chama gani. Wakati Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2000, katika vipindi vyangu niliwakaribisha wanasiasa. Kwa vile CCM ndio chama tawala na Tanzania tunaingia chaguzi zote huku CCM ikiwa tayari na uhakika wa ushindi, hivyo nikiwaalika wagombea wa CCM kwenye urais, wanakuwa busy, after all si uhakika wa ushindi upo, ila ukiwaita wapinzani ni fasta.

Baadhi ya watu wakajenga dhana kuwa huyu mwendeshaji wa kipindi, Pasco Mayalla ni pro-oppostion, anawapendelea wapinzani!. Hawajui kuwa ukiwaalika CCM, wanakuwa busy. Nikaenda kupiga kambi Zanzibar, huko nako hali ni ile ile kwenye wagombea urais.

Baada ya uchaguzi, ikafanya tathmini, na wafanya tathmini, ikaonekana Pasco Mayalla ni kama alipendelea upinzani!. Wakatumwa watu kutoka huko walikotumwa, wakaja pale TBC, nikaitwa ofisini kwa Mkurugenzi, nikatambulishwa kwa wageni, na kuulizwa mimi ni chama gani?. Kwanza nilishangaa swali gani hili?!, kwani kuwa mtumishi wa umma, kuna takwa la chama?!. Nikawajibu watu wale ukweli wangu kabisa kuwa mimi Pasco Mayalla sina chama chochote!. Kumbe jibu hilo ni kama kosa!. Mahojiano yakaishia hapo. Baada ya muda, nikaletewa barua ya summary dismissal kwa kosa la insubordination!. Barua ya termination kabla haujakabidhiwa, yule mtu wa despatch anaanzia getini, anapewa FFU wawili wenye silaha, na kuja huku wameshika silaha standby!. Ndipo unakabidhiwa barua, kisha askari hao wanakusindikiza hadi kwenye meza yako. chukua kilicho chako, kabidhi ofisi, kisha unasindikizwa hadi nje ya geti!. Kiukweli nililia!.

Kesho yake nikaenda Utumishi kuuliza hiyo summary dismissal imekaaje, ndipo nikajulishwa kwa mujibu wa utumishi wa umma, ukifukuzwa kazi kwa insubordination, hata kama ni majungu, hakuna popote pa kwenda, you just pack and go!.

Kiongozi wa Umma Kupinga Chanjo Hadharani Sio Tuu ni Usaliti, Bali Pia ni Insubordination!.
Kwenye vita yoyote ya kitaifa, kama ilivyo vita ya Corona, ili kushinda vita, viongozi wote, lazima wasimame pamoja na kuwa kitu kimoja na kuzungumza kwa kauli moja. (must stand as one). Tanzania kama Taifa likiisha kubali Chanjo ya Covid Ndio Maslahi ya Taifa, Viongozi wote wa umma, wanakuwa bind na a collective responsibility clause, they must support, msimamo wa serikali.

Na kama kuna kiongozi yoyote wa umma, hukubaliani na chanjo, hakubaliani na msimamo huo wa serikali, wa kuhimiza Watanzania tuchanje, then kiongozi huyu unapaswa kunyamaza kimya. Kama rais anesema tuchanje, anahimiza Watanzania tujitokeze kwa wingi kwenda kuchanja, sio tuu ili kujikinga sisi wenyewe, bali kuwakinga wengine na kulikinga taifa, kitendo cha kiongozi yoyote wa umma, kujitokeza hadharani, kuwapotosha Watanzania tusichanje, huku ni kwenda kinyume cha rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ni highest order of insubordination ambayo haipaswi kuvumiliwa au kufumbiwa macho.

Kitendo cha kupingana na msimamo wa serikali wazi wazi ni usaliti, mtu wa aina hii anatakiwa kushughulikiwa haraka iwezekanavyo kama wanavyoshughulikiwa wasaliti wengine wote, na jinsi kosa la insubordination linavyoshughulikiwa na hatua ya kwanza ni kiongozi wa aina hiyo, kuachia ngazi kama mtumishi wa umma.

Kama mtu aliweza kupewa summary dismissal kwa kudhaniwa tuu kuwa sio mwenzetu, jee mtu anayepingana na rais wazi wazi katika jambo lenye maslahi kwa taifa, anaachajwe kuendelea kuipotosha jamii?!. Au Tanzania tuna watu wa aina mbili, the touchables, na untouchables?. Tunakuomba sana Mhe, Presidaa SSH, P'se Stop This Nonsense!.

Wasalaam

Paskali
Tuliza kinyeo p ulijipendekeza kwa maccm ukakosa ubunge
Sasa unaleta majungu kumfitinisha mbunge na chama chake Ili afukuzwe

Unadhani hiyo nafsi yake utaipata!,?
 
The guy is a conman
Alisema keshanunua treni
Alisema anapeleka watu birmingham
Katukana serikali kwamba inaongozwa na wapinga kristu
Kakinzana wazi wazi na rais aliye madaraka ni kuhusu chanjo
Alituma na nadharia I cardinal pengo

sijaelewa serikali na ccm vinamucha huru

huyu jamaa ni proof kwamba even conmen are untouchable
Ameshirikishwa ugaidi wa sukuma gang
Wanogopa atawa blackmail
 
Back
Top Bottom