Haha eti mtakuwa mnawaweka kwenye hatari wakati watakuwa na chanjo zao jamaniKumbe na wewe ubongo wako ni mdogo kama wa mamba!?,kuona watu kwenye foleni ndo unadhani watu wamekubaliana na chanjo!?,fanya research ndogo, pita mtaa wowote katika mkoa wowote uliopo jaribu kuuliza watu tofauti tofauti kuhusu chanjo, majibu utayapata. Fanya hivyo hata kwa wiki nzima. Walio tayari kuchanjwa huwezi kuwakosa, Ila waweza wasifike hata 1% ya watanzania milioni 60. Tusibezane mnaotaka mkachanjwe, wengine hatuchanji hata kwa mtutu wa bunduki.