Kuna daktari Mtaalamu epidemiologists wa South Africa amesema omicron inawashika waliochanjwa tuu!.Chanjo imetusaidia sana kipindi hiki cha Omicron. Unaugua siku mbili ya tatu unaamka na kuendelea na shughuli kama kawaida.
Kama tungepuuzia chanjo, tungeziona TANZIA nyingi sana kama mwanzo wa mwaka huu na mwaka jana wote.
Tutasikia yakisemwa mengi. Labda kuna ukweli kuanzia jumatano najisikia hovyo tu, koo kavu sana na nikiamka asubuhi mwili umechoka.Kuna daktari Mtaalamu epidemiologists wa South Africa amesema omicron inawashika waliochanjwa tuu!.
P
Huo ndio ukweli wenyewe, UK hivi sasa wamepigwa ban kwenda Germany kwa sababu wengi waliochanjwa imewafuata kwa kasi. Hapo bado, waliochanjwa wote lazima wateketee wabaki wasiochanjwa, ndio watafahamu nani amekurupuka, muda utaongea.Kuna daktari Mtaalamu epidemiologists wa South Africa amesema omicron inawashika waliochanjwa tuu!.
P
Ni kama kuna kaukweli, ila pia siyo kweli, hii homa ya mafua, ni ya kawaida na imepitia kuanzia watoto wadogo hadi watu wazima, na watoto wadogo hawajapewa chanjo.Kuna daktari Mtaalamu epidemiologists wa South Africa amesema omicron inawashika waliochanjwa tuu!.
P
Mkuu acha hizi siasa za kitoto.Huo ndio ukweli wenyewe, UK hivi sasa wamepigwa ban kwenda Germany kwa sababu wengi waliochanjwa imewafuata kwa kasi. Hapo bado, waliochanjwa wote lazima wateketee wabaki wasiochanjwa, ndio watafahamu nani amekurupuka, muda utaongea.
Joined Dec 29 2015. Is that the year you were born?Mkuu acha hizi siasa za kitoto.
I was born more than forty one years before the date of joining in here.Joined Dec 29 2015. Is that the year you were born?