Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,444
- 7,806
Andrew Chenge amejitokeza baada ya kuwepo tetesi za kuhamia chama cha ACT-Wazalendo na kuongelea tetesi hizo zinasombaa kwenye mitandao ya kijamii. Chenge amewashukuru viongozi wa chama cha Mapinduzi kwa heshma waliyompatia tangu 2005 kupeperusha bendera ya CCM kukomboa jimbo kutoka upinzani.
Chenge amesema anaona kwenye mitandao na maneno mengine ya kipuuzi yanasemwa na kusisitiza kuanzia sasa hakuna kundi la Chenge wala Nkundo bali kundi lao ni la CCM.
Mgombea ubunge jimbo la Bariadi, Injinia Andrea Kundo amechukua fomu kuwania nafasi hiyo kupitia chama cha mapinduzi, nafasi ambayo ilikuwa inashikiliwa na Andrew Chenge aliyemaliza muda wake na kutopitishwa na CCM kuendelea.
Chenge amesema anaona kwenye mitandao na maneno mengine ya kipuuzi yanasemwa na kusisitiza kuanzia sasa hakuna kundi la Chenge wala Nkundo bali kundi lao ni la CCM.
Mgombea ubunge jimbo la Bariadi, Injinia Andrea Kundo amechukua fomu kuwania nafasi hiyo kupitia chama cha mapinduzi, nafasi ambayo ilikuwa inashikiliwa na Andrew Chenge aliyemaliza muda wake na kutopitishwa na CCM kuendelea.