Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 11,643
- 8,578
Pasco kwa hili bandiko lako, I beg to differ. Yaani mtu kagoma kukuandika barua siku 14 alizopewa halafu Rais amsamehe tu! Kwangu hapana! Huyu kesi iendelee mpaka hadi aidha mahakama imtie hatiani au imwone hana Hata. Najua kwamba Pasco unajua Hata nchi zingine, ukigomea amnesty kama hii maana yake uko tayari kufuata utaratibu wa kawaida wa kimahakama. Ingawa nasikia ukitiwa hatiani adhabu yake inakuwa kubwa kweli kweli kwasababu ya "Kuisumbua" mahakama.