Masanja
JF-Expert Member
- Aug 1, 2007
- 4,819
- 8,884
Mzungu akiitaka hii nchi ana uwezo wa kuichukua bure na huna uwezo wa kumfanya chochote!
Tena tutawapa wenyewe!
Mzungu akiitaka hii nchi ana uwezo wa kuichukua bure na huna uwezo wa kumfanya chochote!
Nimekusoma kalamera. Si lazima tufanane kwenye maana ya neno jasiri Ila kwa tafsiri yangu mm huyu mtu unayemuongelea ni jasiri. Ukumbuke pia ujasiri una mipaka. Ndo maana na sisi pamoja na ujasiri wetu wa kupambana na ushoga, waziri alimkana makonda na operesheni yake.Kumbe Mr. Hungry nae ni ' Jasiri ' Mkuu? Nilikuwa silijui hilo na itanibidi sasa niende BAKITA ili wakanipe ufafanuzi ' Kuntu ' wa neno ' Jasiri ' lako. Na kuhusu kutumia jina halisi nimeshasema Siku nyingi sana hapa ' Jamvini ' kuwa ' Kiuhalisia ' naitwa Mr. Kalemera Rwigyema Mazimpaka ila ' Kiubatizo ' naitwa GENTAMYCINE ANTIBIOTIQUE.
Nadhani nimekupa ufafanuzi uliokuwa unauhitaji.
Nimekusoma kalamera. Si lazima tufanane kwenye maana ya neno jasiri Ila kwa tafsiri yangu mm huyu mtu unayemuongelea ni jasiri. Ukumbuke pia ujasiri una mipaka. Ndo maana na sisi pamoja na ujasiri wetu wa kupambana na ushoga, waziri alimkana makonda na operesheni yake.
Itakuwa nimechanganya gentaMkuu mbona huku Kisiwani Puerto Rico nilipo Mimi hatuna Mtu aitwae Makonda na wala hapajawahi kuwa na ' Oparesheni ' ya aina yoyote ile? Samahani unazungumzia Puerto Rico au nchi nyingine?
Sasa hivi kila nyuzi akiitoa lazima alambe sakafu za magogoni njaa imemsambaratisha sanaNaona Waandishi wa Kweli, Wakosoaji na tusiokuwa Wanafiki na ' typical flatterers ' kama Mr. Hungry wa hapa Kisiwani Puerto Rico tunazidi tu Kukimbiwa kila Uchao. Tena bora Mwenzetu alikuwa na Ofisi yake na amepanga Floor nzima japo sasa amerejea ' Stoo ' Kujihifadhi kwa muda huku akisubiri ' Uteuzi ' ila Mimi GENTAMYCINE ndiyo hata pa Kulala tu sina na maisha yangu yenyewe nayo ni ya ' Kuunga Unga ' tu kama Mabehewa mabovu ya TRL ya hapa Kisiwani Puerto Rico. Sijui na Mimi nianze pia Kujipendekeza na Kujikomba masikini ya Mungu kwani kama Nyangumi kanyoosha mikono yake Mimi Samaki Tasi ni nani nami nisitii bila shuruti?
Njaa unaitwa huku Pascal MayallaHatimaye yule Mwandishi wa Habari Mr. Hungry kutoka Kisiwani Puerto Rico ambaye mara nyingi alikuwa akionyesha yupo sana katika ' Ukosoaji ' wa Rais na Serikali yake hapa Kisiwani baada ya Yeye pia kuona hali yake ya Uchumi pamoja na Media yake ameamua sasa ' Kujirudi ' na Kuanza ' Kujikomba ' kwa Kuandika ' Makala ' za kuwa upande ule ambao mara nyingi alikuwa akiupinga japo wenye akili tulijua mapema kuwa nini alikuwa anakitafuta.
Ni matumaini yangu makubwa sana kuwa kuanzia sasa hasa baada ya Kuziona ' Makala ' zake mbili tatu mahala fulani huku nikiamini kuwa zingine kama hizi nyingi zipo njiani zinakuja basi si ajabu kama Rais wa Kisiwa cha Puerto Rico atafanya ' uteuzi ' wowote hivi karibuni nina uhakika safari hii hatomsahau ' Wa Nyumbani ' Kwake Mr. Hungry ambaye kutokana na Uchumi wa Puerto Rico kuwa mbaya hata Yeye pia ' ameathirika ' vilivyo kupelekea ' Kuhamahama ' Ofisi kama Ndege anayetafuta malisho ili tu kuendana na Kasi.
Laiti kama Waandishi wa Habari wa hapa Puerto Rico wangekuwa hawapendi Kujipendekeza na Kujikomba kama Wenzao wa Tanzania nina uhakika Puerto Rico ingekuwa na ' a very strong Media ' ila hali ni tofauti mno hadi nimekuwa nikitamani hata Siku moja tu Waandishi wa Habari makini, weledi, wasio na njaa wala wasiopelekeshwa wa Tanzania waje tu kufanya ' Ziara ' hapa ili ' wawaambukize ' huo ' Ujasiri ' wao hawa wa hapa wakiongozwa na Mr. Hungry.
Nawasilisha.
Mkuu naona unajaribu kutumia technic za Pascal Mayalla... unajitahidi ila unajulikana mapema unakoelekeaHatimaye yule Mwandishi wa Habari Mr. Hungry kutoka Kisiwani Puerto Rico ambaye mara nyingi alikuwa akionyesha yupo sana katika ' Ukosoaji ' wa Rais na Serikali yake hapa Kisiwani baada ya Yeye pia kuona hali yake ya Uchumi pamoja na Media yake ameamua sasa ' Kujirudi ' na Kuanza ' Kujikomba ' kwa Kuandika ' Makala ' za kuwa upande ule ambao mara nyingi alikuwa akiupinga japo wenye akili tulijua mapema kuwa nini alikuwa anakitafuta.
Ni matumaini yangu makubwa sana kuwa kuanzia sasa hasa baada ya Kuziona ' Makala ' zake mbili tatu mahala fulani huku nikiamini kuwa zingine kama hizi nyingi zipo njiani zinakuja basi si ajabu kama Rais wa Kisiwa cha Puerto Rico atafanya ' uteuzi ' wowote hivi karibuni nina uhakika safari hii hatomsahau ' Wa Nyumbani ' Kwake Mr. Hungry ambaye kutokana na Uchumi wa Puerto Rico kuwa mbaya hata Yeye pia ' ameathirika ' vilivyo kupelekea ' Kuhamahama ' Ofisi kama Ndege anayetafuta malisho ili tu kuendana na Kasi.
Laiti kama Waandishi wa Habari wa hapa Puerto Rico wangekuwa hawapendi Kujipendekeza na Kujikomba kama Wenzao wa Tanzania nina uhakika Puerto Rico ingekuwa na ' a very strong Media ' ila hali ni tofauti mno hadi nimekuwa nikitamani hata Siku moja tu Waandishi wa Habari makini, weledi, wasio na njaa wala wasiopelekeshwa wa Tanzania waje tu kufanya ' Ziara ' hapa ili ' wawaambukize ' huo ' Ujasiri ' wao hawa wa hapa wakiongozwa na Mr. Hungry.
Nawasilisha.