Mtemi mpambalioto
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,261
- 7,396
PASCHAL MAYALLA
Tafuta maana ya neno Mayalla...utajua majina yanasadifu tabiaHatimaye yule Mwandishi wa Habari Mr. Hungry kutoka Kisiwani Puerto Rico ambaye mara nyingi alikuwa akionyesha yupo sana katika ' Ukosoaji ' wa Rais na Serikali yake hapa Kisiwani baada ya Yeye pia kuona hali yake ya Uchumi pamoja na Media yake ameamua sasa ' Kujirudi ' na Kuanza ' Kujikomba ' kwa Kuandika ' Makala ' za kuwa upande ule ambao mara nyingi alikuwa akiupinga japo wenye akili tulijua mapema kuwa nini alikuwa anakitafuta.
Ni matumaini yangu makubwa sana kuwa kuanzia sasa hasa baada ya Kuziona ' Makala ' zake mbili tatu mahala fulani huku nikiamini kuwa zingine kama hizi nyingi zipo njiani zinakuja basi si ajabu kama Rais wa Kisiwa cha Puerto Rico atafanya ' uteuzi ' wowote hivi karibuni nina uhakika safari hii hatomsahau ' Wa Nyumbani ' Kwake Mr. Hungry ambaye kutokana na Uchumi wa Puerto Rico kuwa mbaya hata Yeye pia ' ameathirika ' vilivyo kupelekea ' Kuhamahama ' Ofisi kama Ndege anayetafuta malisho ili tu kuendana na Kasi.
Laiti kama Waandishi wa Habari wa hapa Puerto Rico wangekuwa hawapendi Kujipendekeza na Kujikomba kama Wenzao wa Tanzania nina uhakika Puerto Rico ingekuwa na ' a very strong Media ' ila hali ni tofauti mno hadi nimekuwa nikitamani hata Siku moja tu Waandishi wa Habari makini, weledi, wasio na njaa wala wasiopelekeshwa wa Tanzania waje tu kufanya ' Ziara ' hapa ili ' wawaambukize ' huo ' Ujasiri ' wao hawa wa hapa wakiongozwa na Mr. Hungry.
Nawasilisha.
Mkuu GENTAMYCINE huko Puerto Rico ukimbizi ni vipi, nimekinukisha huku.
Mjifunze kusoma lugha
Makala zake anaandika lugha za mafumbo sana, Huwezi kuelewa Kama umesoma shule au vyuo vya Kata
Enzi hizo ukiandikiwa sentensi tuliita tungo tata yahitaji ufikiri Sana
Kwa ufupi wewe unahitaji aandike lugha kavu ya moja kwa moja hiyo haiwezekani yeye ni verified user anafahamika
Wewe unaweza andika Hata Siri za mkeo humu kwa kutumia hiyo Fake ID
Kikubwa Jifunze kusoma lugha kwa jicho la Tatu, Usisome Kama gazeti
Makala zote za jamaa huwa anaficha ukweli Katika ya sentensi ,Soma vizuri lugha au nenda Udsm Pale Taasisi ya uchunguzi wa kiswahili TUKI zamani
Majizi chadema wakipewa hii nchi wanaiuza kwa wazungu .
Kila wakati wanajipendekeza kwa wazungu kama mazuzu na washamba fulani wasiojua historia ya wazungu kwenye nchi hii.
Yule jamaa ni akili kubwa..huwa hamumuelewi tu
Ni kweli ukiwa verified user huwezi fikisha ujumbe moja kwa moja, ujumbe wako lazima uwe fikirishi hasa unaohusu serikali na watu maarufuMjifunze kusoma lugha
Makala zake anaandika lugha za mafumbo sana, Huwezi kuelewa Kama umesoma shule au vyuo vya Kata
Enzi hizo ukiandikiwa sentensi tuliita tungo tata yahitaji ufikiri Sana
Kwa ufupi wewe unahitaji aandike lugha kavu ya moja kwa moja hiyo haiwezekani yeye ni verified user anafahamika
Wewe unaweza andika Hata Siri za mkeo humu kwa kutumia hiyo Fake ID
Kikubwa Jifunze kusoma lugha kwa jicho la Tatu, Usisome Kama gazeti
Makala zote za jamaa huwa anaficha ukweli Katika ya sentensi ,Soma vizuri lugha au nenda Udsm Pale Taasisi ya uchunguzi wa kiswahili TUKI zamani
Yule jamaa ni akili kubwa..huwa hamumuelewi tu
Mr Hungry ana akili nyingi, ukisoma mada zake between the lines, anamkejeli Mr president kimafumbo na kwa ajili kubwa. Hiyo 'African democracy' Ndio udikteta wenyewe , ila ukisoma kiukilaza utaambulia patupu
Kakioshe mama!!! Kwani siku ya ngapi akijapigwa sabuni?!??Mkuu GENTAMYCINE huko Puerto Rico ukimbizi ni vipi, nimekinukisha huku.
Unamuuliza mkuu wa nchi swali ambalo waandishi wengine wangesita kuuliza, unakosoa na kusifia ukiwa na verified id Vs Mkosoaji anayetumia mafumbo kufikisha ujumbe wake, kubadili uhusika wa watu na nchi kwa kutumia majina ya kusadikika na Fake I'd.
Mkuu japo umetumia mafumbo(sijajua kwann umekosa ujasiri wa kumtaja moja kwa moja) lakini unayemuongelea ni jasiri.
Ndo maana mnaitwa mapopoma,Mwandishi akiamua kutumia lugha ya mafumbo kwa nn ninyi msitumie lugha hiyo hiyo?Pascal Mayalla jaribu kufikiri kwa usahihi na kuenenda kwa usahihi
Ndo maana mnaitwa mapopoma,Mwandishi akiamua kutumia lugha ya mafumbo kwa nn ninyi lugha hiyo hiyo?
Mfano huyo uliyemtaja katajwa wapi kwenye habari?
Au ndo mnajifanya waelewa kuliko wengine?