erastosichila
Member
- Jun 8, 2017
- 70
- 42
Uuuu eee napita ,ILa ni mkweli he is also bright,ican see.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuko Wote mkuu.. na Mr Hungry ameshasoma bandiko lako. Kama ndio hivi namshauri abadilishe ID.Unamuongelea nani labda hapa? Kwani na Wewe kumbe tupo Wote hapa Kisiwani Puerto Rico?
Aaaha kafata nyayo za kachero mbobezi
Tafasiri ya Mayalla kwa lugha adhimu ya wakazi wa kisisiwani hapa ni Njaa.Nawasilisha ya hapa nilipo Kisiwani Puerto Rico na siwasilishi yaliyopo nje na hapa hivyo sihitaji nilishwe maneno tafadhali.
Njaa (P) mbaya sana...Hhahah Sasa mtu asiwasirishe mawazo yake jamani?
Asante.
Swal gann aliuliza mkuuKiukweli jamaa tangu aulize lile swali kwa bwana mkubwa, Bwana mkubwa hana hamu nae tena.
Mjifunze kusoma lughaHatimaye yule Mwandishi wa Habari Mr. Hungry kutoka Kisiwani Puerto Rico ambaye mara nyingi alikuwa akionyesha yupo sana katika ' Ukosoaji ' wa Rais na Serikali yake hapa Kisiwani baada ya Yeye pia kuona hali yake ya Uchumi pamoja na Media yake ameamua sasa ' Kujirudi ' na Kuanza ' Kujikomba ' kwa Kuandika ' Makala ' za kuwa upande ule ambao mara nyingi alikuwa akiupinga japo wenye akili tulijua mapema kuwa nini alikuwa anakitafuta.
Ni matumaini yangu makubwa sana kuwa kuanzia sasa hasa baada ya Kuziona ' Makala ' zake mbili tatu mahala fulani huku nikiamini kuwa zingine kama hizi nyingi zipo njiani zinakuja basi si ajabu kama Rais wa Kisiwa cha Puerto Rico atafanya ' uteuzi ' wowote hivi karibuni nina uhakika safari hii hatomsahau ' Wa Nyumbani ' Kwake Mr. Hungry ambaye kutokana na Uchumi wa Puerto Rico kuwa mbaya hata Yeye pia ' ameathirika ' vilivyo kupelekea ' Kuhamahama ' Ofisi kama Ndege anayetafuta malisho ili tu kuendana na Kasi.
Laiti kama Waandishi wa Habari wa hapa Puerto Rico wangekuwa hawapendi Kujipendekeza na Kujikomba kama Wenzao wa Tanzania nina uhakika Puerto Rico ingekuwa na ' a very strong Media ' ila hali ni tofauti mno hadi nimekuwa nikitamani hata Siku moja tu Waandishi wa Habari makini, weledi, wasio na njaa wala wasiopelekeshwa wa Tanzania waje tu kufanya ' Ziara ' hapa ili ' wawaambukize ' huo ' Ujasiri ' wao hawa wa hapa wakiongozwa na Mr. Hungry.
Nawasilisha.
Majizi chadema wakipewa hii nchi wanaiuza kwa wazungu .
Kila wakati wanajipendekeza kwa wazungu kama mazuzu na washamba fulani wasiojua historia ya wazungu kwenye nchi hii.