Baada ya Kujifanya ' anakosoa ' sasa Mwandishi huyu ' amejirudi ' kwa kuwa ' typical sycophant ' ili Nduguye amteue Kisiwani Puerto Rico

Hatimaye yule Mwandishi wa Habari Mr. Hungry kutoka Kisiwani Puerto Rico ambaye mara nyingi alikuwa akionyesha yupo sana katika ' Ukosoaji ' wa Rais na Serikali yake hapa Kisiwani baada ya Yeye pia kuona hali yake ya Uchumi pamoja na Media yake ameamua sasa ' Kujirudi ' na Kuanza ' Kujikomba ' kwa Kuandika ' Makala ' za kuwa upande ule ambao mara nyingi alikuwa akiupinga japo wenye akili tulijua mapema kuwa nini alikuwa anakitafuta.

Ni matumaini yangu makubwa sana kuwa kuanzia sasa hasa baada ya Kuziona ' Makala ' zake mbili tatu mahala fulani huku nikiamini kuwa zingine kama hizi nyingi zipo njiani zinakuja basi si ajabu kama Rais wa Kisiwa cha Puerto Rico atafanya ' uteuzi ' wowote hivi karibuni nina uhakika safari hii hatomsahau ' Wa Nyumbani ' Kwake Mr. Hungry ambaye kutokana na Uchumi wa Puerto Rico kuwa mbaya hata Yeye pia ' ameathirika ' vilivyo kupelekea ' Kuhamahama ' Ofisi kama Ndege anayetafuta malisho ili tu kuendana na Kasi.

Laiti kama Waandishi wa Habari wa hapa Puerto Rico wangekuwa hawapendi Kujipendekeza na Kujikomba kama Wenzao wa Tanzania nina uhakika Puerto Rico ingekuwa na ' a very strong Media ' ila hali ni tofauti mno hadi nimekuwa nikitamani hata Siku moja tu Waandishi wa Habari makini, weledi, wasio na njaa wala wasiopelekeshwa wa Tanzania waje tu kufanya ' Ziara ' hapa ili ' wawaambukize ' huo ' Ujasiri ' wao hawa wa hapa wakiongozwa na Mr. Hungry.

Nawasilisha.
Mjifunze kusoma lugha

Makala zake anaandika lugha za mafumbo sana, Huwezi kuelewa Kama umesoma shule au vyuo vya Kata

Enzi hizo ukiandikiwa sentensi tuliita tungo tata yahitaji ufikiri Sana

Kwa ufupi wewe unahitaji aandike lugha kavu ya moja kwa moja hiyo haiwezekani yeye ni verified user anafahamika

Wewe unaweza andika Hata Siri za mkeo humu kwa kutumia hiyo Fake ID

Kikubwa Jifunze kusoma lugha kwa jicho la Tatu, Usisome Kama gazeti

Makala zote za jamaa huwa anaficha ukweli Katika ya sentensi ,Soma vizuri lugha au nenda Udsm Pale Taasisi ya uchunguzi wa kiswahili TUKI zamani
 
Majizi chadema wakipewa hii nchi wanaiuza kwa wazungu .

Kila wakati wanajipendekeza kwa wazungu kama mazuzu na washamba fulani wasiojua historia ya wazungu kwenye nchi hii.
 
44 Reactions
Reply
Back
Top Bottom