chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 11,632
- 19,860
Ninadhani mtego huu umenasa wengi na umetutoa kwenye hoja,mpaka nawaza,je kwa nini matukio yamewekwa kwa wing I kipindi cha bajeti?
Kuna mhimili unaficha jinsi ulivyokwama kutekeleza bajeti iliyopita hivyo umeamua kutengeneza matukio kuhamisha watu katika mijadala? Tunajua bajeti imetekelezwa kwa asilimia 38,chini ya nusu kabisa na mwaka ujao itakuwa chini zaidi
Ukiangalia bunge,wabunge hawajadili bajeti, "nampongeza fulani". " nampongeza fulani" hatujiulizi maswali ya kibajeti na kiuchumi,mtu analipwa milioni 12 kwenda kuongeza!
Wapinzani pia,kiuhakika hawajafanikiwa kuwaeleza wananchi kiuhalisia mapungufu yaliyokuwepo,yaliyopo na nini maoni yao! Hawana mpango mkakati wowote hata ya kuitisha makongamano,wapo tu,wapo wapo wanaingia na kutoka bungeni,wanaelea angani.
Ila natabiri kwamba bajeti hii italeta mzozo mkubwa sana ndani ya miezi mitatu,
Wananchi tuanzishe bunge letu tujadili hii bajeti
N.B
Ukiona serikali ina makelele sana,ujue imekwama,mambo yamegoma,solution ni kuleta confusion,misinformation and disinformation
Kuna mhimili unaficha jinsi ulivyokwama kutekeleza bajeti iliyopita hivyo umeamua kutengeneza matukio kuhamisha watu katika mijadala? Tunajua bajeti imetekelezwa kwa asilimia 38,chini ya nusu kabisa na mwaka ujao itakuwa chini zaidi
Ukiangalia bunge,wabunge hawajadili bajeti, "nampongeza fulani". " nampongeza fulani" hatujiulizi maswali ya kibajeti na kiuchumi,mtu analipwa milioni 12 kwenda kuongeza!
Wapinzani pia,kiuhakika hawajafanikiwa kuwaeleza wananchi kiuhalisia mapungufu yaliyokuwepo,yaliyopo na nini maoni yao! Hawana mpango mkakati wowote hata ya kuitisha makongamano,wapo tu,wapo wapo wanaingia na kutoka bungeni,wanaelea angani.
Ila natabiri kwamba bajeti hii italeta mzozo mkubwa sana ndani ya miezi mitatu,
Wananchi tuanzishe bunge letu tujadili hii bajeti
N.B
Ukiona serikali ina makelele sana,ujue imekwama,mambo yamegoma,solution ni kuleta confusion,misinformation and disinformation