Baada ya kujaribu mara tatu sasa google amenikubalia

Mgumu04

JF-Expert Member
Jul 15, 2011
1,934
1,043
Husika na kichwa cha habari hapo juu, nilikuwa na google adsence account youtube channel , baadaye nikapata wazo la ku upgrade wakaniambia lazima niwe na top domain nikanunua godaddy kisha nikafungua blog yangu na kuforward domain.

Sikuishia hapo kwa sababu madhumuni yangu ilikuwa nikupata google ads nikaomba wakasema blog ina contents chache nafupi nikarekebisha mistakes nikaomba tena mara ya pili wakazingua wakaniambia kuna links amabazo hazifanyi kazi.

Baada ya kurekebisha links nikaomba kwa mara ya tatu siku iliyofuata wakanitumia email ya kuwa approved. kwa vile kizuri kula na nduguyo nimeamua kushare na wana jamvii, cha msingi ni kuthubutu na sio kuambiwa tu.

Kama utakuwa na swali uliza nipo ili tusaidiane.
 
husika na kichwa cha habari hapo juu, nilikuwa na google adsence account youtube channel , baadaye nikapata wazo la ku upgrade wakaniambia lazima niwe na top domain nikanunua godaddy kisha nikafungua blog yangu na kuforward domain. Sikuishia hapo kwa sababu madhumuni yangu ilikuwa nikupata google ads nikaomba wakasema blog ina contents chache nafupi nikarekebisha mistakes nikaomba tena mara ya pili wakazingua wakaniambia kuna links amabazo hazifanyi kazi.
Baada ya kurekebisha links nikaomba kwa mara ya tatu siku iliyofuata wakanitumia email ya kuwa approved. kwa vile kizuri kula na nduguyo nimeamua kushare na wana jamvii, cha msingi ni kuthubutu na sio kuambiwa tu.
kama utakuwa na swali uliza nipo ili tusaidiane.
waweza icheki blog yangu hii hapa mjasitech
Hii Ads yako hutotoa Hela Ads na Propeller Unachanganya hahaha wew jamaa hauko SERIOUS na Google ooooh
 
Unaweza kunitajia baadhi ya vigezo vinavyotakiwa kwenye blog vitavyosabaisha nipate Google adds mapema?
contents ziwe nyingi usi attach images nyingi ,unaweza andika Post kama tano tu lakini Za maana basi Google Adsense account itakuwa approved for ads . Kingine usitumie kibantu.
 
Back
Top Bottom