Mlendamboga
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 664
- 334
Kampuni ya usafirishaji ya Sumry imeifanyia Sumatra Mchezo wa kuigiza nakufanikiwa baada ya kusajiri magari manne ya injini nyuma kwa jina la Kampuni nyingine ya MBEYA express ambayo hufanya safari zake kati ya Mbeya Na sumbawanga.
Taarifa za kiintelijensia tulizonazo, hatua hiyo inalenga kutosimamisha Biashara ya usafirishaji baada ya kufungiwa Kwa mabasi yake Kwa barabara ya Mbeya hadi Dar kutokana Na matukioya ajali za mfululizo.
Taarifa za kiintelijensia tulizonazo, hatua hiyo inalenga kutosimamisha Biashara ya usafirishaji baada ya kufungiwa Kwa mabasi yake Kwa barabara ya Mbeya hadi Dar kutokana Na matukioya ajali za mfululizo.